Blog yenu ya wananchi yenye habari motomoto za kijamii, Blog yenye kuelimisha, kuburudisha na kufurahisha. Wapenzi na wasomaji wetu tunaomba ushirikiano wenu ili kuendeleza Blog yetu, kwa pamoja tunaweza kuleta mabadiliko ya kweli.

Tuesday, February 14, 2012

SIKU MAALUM YA VALENTINE KWA WATEJA WA AIRTEL

Mkurugenzi  wa huduma kwa wateja wa Airtel Bi Adriana Lyamba (Kulia) akikabidhi zawadi ya ua kwa mteja aliyetembelea duka la Airtel lililopo Mlima City Dar es Saalam  ikiwa ni katika kuonyesha upendo kwa wateja katika siku hii maalumu ya valentine anayeshuhudia ni Edina Mlay Afisa Msimamizi huduma kwa wateja Airtel Tanzania.
Mteja wa Airtel (kushoto) akifurahi baada ya kukabidhiwa ua na maafisa wakuu wa huduma kwa wateja pale alipotembea duka la Airtel lililopo Mlimani City Dar es Saalam, kulia ni Mkurugenzi  wa huduma kwa wateja wa Airtel Bi Adriana Lyamba.…
Mkurugenzi  wa huduma kwa wateja wa Airtel Bi Adriana Lyamba (Kulia) akikabidhi zawadi ya ua kwa mteja aliyetembelea duka la Airtel lililopo Mlima City Dar es Saalam  ikiwa ni katika kuonyesha upendo kwa wateja katika siku hii maalumu ya valentine anayeshuhudia ni Edina Mlay Afisa Msimamizi huduma kwa wateja Airtel Tanzania.
Mteja wa Airtel (kushoto) akifurahi baada ya kukabidhiwa ua na maafisa wakuu wa huduma kwa wateja pale alipotembea duka la Airtel lililopo Mlimani City Dar es Saalam, kulia ni Mkurugenzi  wa huduma kwa wateja wa Airtel Bi Adriana Lyamba.
Meneja huduma kwa wateja Godfrey Kavishe (kulia) akikabidhi zawadi ya ua kwa mteja aliyetembelea duka la Airtel lililopo Mlima City Dar es Saalam  ikiwa ni katika kuonyesha upendo kwa wateja katika siku hii maalumu ya valentine anayeshuhudia (wa pili kulia) ni Edina Mlay Afisa Msimamizi huduma kwa wateja Airtel akifuatiwa na Mkurugenzi  wa huduma kwa wateja wa Airtel Bi Adriana Lyamba.
Wafanyakazi wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel wakiwa katika picha ya pamoja na wateja waliotembeleaa maduka ya Airtel na kuzawadiwa ua ikiwa ni katika kuonyesha upendo kwa wateja katika siku hii maalumu ya valentine.
Mwakilishi wa  huduma kwa wateja (kushoto ) akikabidhi zawadi ya ua kwa mteja aliyetembelea duka la Airtel lililopo Makao Makuu ya Airtel Morocco  ikiwa ni katika kuonyesha upendo kwa wateja katika siku hii maalumu ya valentine.

Source: Global Publishers

No comments:

Post a Comment

Msomaji wetu hakikisha unaheshimu mila na tamaduni za mwafrika,lugha zenye utata au kumkashifu mtu haitapendeza kuonekana kwenye post.Kumbuka vigezo na masharti ya comments kuzingatiwa.Asanteni sana kwa kuwa nasi kwenye blog yenu.