Blog yenu ya wananchi yenye habari motomoto za kijamii, Blog yenye kuelimisha, kuburudisha na kufurahisha. Wapenzi na wasomaji wetu tunaomba ushirikiano wenu ili kuendeleza Blog yetu, kwa pamoja tunaweza kuleta mabadiliko ya kweli.

Wednesday, February 29, 2012

Mh. Jerry Slaa aongoza Kongamano la umoja wa vijana wa CCM Mkoa wa Mjini magharibi,Zanzibar

Mjumbe wa halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Meya wa Ilala,Jerry Slaa akihutubia kwenye Kongamano la umoja wa vijana wa CCM Mkoa wa Mjini magharibi kuhusu maadili katika uchaguzi wa kuchagua viongozi wa jumuiya za chama hicho,halfla hiyo ilifanyika katika Ofisi kuu ya CCM Mjini Magharibi Zanzibar juzi.
Mjumbe wa halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi na Meya wa Ilala,Jerry Slaa (kulia) akimkabidhi cheti cha Shukrani katika kutumikia Chama,Katibu wa UVCCM wa Wilaya ya Mjini Unguja, Mohamed Ali Khalfani wakati wa ufunguzi wa Kongamano la umoja wa vijana wa CCM Mkoa wa Mjini magharibi kuhusu maadili katika uchaguzi wa kuchagua viongozi wa jumuiya za chama hicho,hafla hiyo ilifanyika katika Ofisi kuu ya CCM Mjini Magharibi Zanzibar juzi.
Mwenyekiti wa UVCCM wa Wilaya ya Mjini Unguja, Omary Justas Morris akihutubia kwenye Kongamano la Umoja wa vijana wa CCM Mkoa wa Mjini Magharibi kuhusu maadili katika uchaguzi wa kuchagua viongozi wa jumuiya za chama hicho,halfla hiyo ilifanyika katika Ofisi kuu ya CCM Mjini Magharibi Zanzibar juzi. Katikati ni Mjumbe wa halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi na Meya wa Ilala,Jerry Slaa na Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Mjini Magharibi,Tauhida Cassian Galos. 
Mjumbe wa halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi na Meya wa Ilala,Jerry Slaa (kushoto),Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Mjini Magharibi,Tauhida Cassian Galos (katikati) na Mjumbe wa halmashauri kuu,Hamadi Yusufu Masauni, wakipiga makofi wakati wa ufunguzi wa Kongamano la umoja wa vijana wa CCM Mkoa wa Mjini magharibi kuhusu maadili katika uchaguzi wa kuchagua viongozi wa jumuiya za chama hicho,halfla hiyo ilifanyika katika Ofisi kuu ya CCM Mjini Magharibi Zanzibar juzi.
Wanachama wa umoja wa vijana (UVCCM) wakimtunza Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Mjini Magharibi,Tauhida Cassian Galos (katikati) baada ya Mjumbe wa halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi na Meya wa Ilala,Jerry Slaa (hayupo pichani) kufungua rasmi Kongamano la umoja wa vijana wa CCM Mkoa wa Mjini magharibi kuhusu maadili katika uchaguzi wa kuchagua viongozi wa jumuiya za chama hicho,halfla hiyo ilifanyika katika Ofisi kuu ya CCM Mjini Magharibi Zanzibar juzi.
 

No comments:

Post a Comment

Msomaji wetu hakikisha unaheshimu mila na tamaduni za mwafrika,lugha zenye utata au kumkashifu mtu haitapendeza kuonekana kwenye post.Kumbuka vigezo na masharti ya comments kuzingatiwa.Asanteni sana kwa kuwa nasi kwenye blog yenu.