Blog yenu ya wananchi yenye habari motomoto za kijamii, Blog yenye kuelimisha, kuburudisha na kufurahisha. Wapenzi na wasomaji wetu tunaomba ushirikiano wenu ili kuendeleza Blog yetu, kwa pamoja tunaweza kuleta mabadiliko ya kweli.

Wednesday, February 29, 2012

HAKUNA KULALA MPAKA KIELEWEKE-IRINGA

 
http://mbungeiringamjini.blogspot.com/

mikutano ya chadema yaendelea iringa mjini moto wa msigwa haushikiki.


akina mama wamtwivila wakijipanga kununua kadi za chadema
 
Mhe. Msigwa akicheza na wanachama wa chadema wakati wakichangia chama.
katika mkutano huu wananchi walichangia Tsh.52000, pichani diwani kata ya mivinjeni chadema Mhe. Nyalusi.

akina mama wafurahia chadema
mitaa ya mtwivila watu wakishangila chadema mara baada ya mkutano.

umati wa wananchi wa mkwawa ukimsikiliza msigwa katika mkutano mkubwa ulio fanyika siku ijumaa.
ikiwa hata bibi wazee walikuepo kumsikiliza msigwa, hii nidhahili kuwa chama kinaungwa mkono na rika zote.
pamoja nakuwepo kwa mvua iliyo taka kuzuia mkutano, lakini watu walimuomba msigwa aendelee kuhutubia, wengine wakitumia viti kujikinga na mvua kama inavyo onekana katika picha juu.
vijana wakimsikiliza kwamakini Mhe. Msigwa.

peeeepoooooooozz?????? POWER
                                      
Mbunge Msigwa akiwahamasisha wananchi

akihutubia umati ulio kuwa ukimsikiliza kwa makini.
moto wa msigwa waendele kupamba katika maeneo mbalimbali ya jimbo la iringa huku leo katika maeneo ya mivinjeni zaidi ya wanchama wapya 60 kujiunga na chadema, muendelezo huu wa ufunguzi wa matawi ya chadema wananchi wameweza changia zaidi ya sh laki mbili na nusu wakati leo pekee ni shilingi 80000 ileweza changwa na watu katika harambee hizo, huku akina mama wengi kujitokeza kujiunga na chadema nakuonekana kumuelewa zaidi Mhe Msigwa kwamba si mbunge wa kuwapa samaki bali ni mbunge wa kuwafundisha kuvua samaki.

mbunge msigwa akisikiliza nakujibu maswali kutoka kwa wanchi.

 60 wajiunga chadema l ipogolo.



No comments:

Post a Comment

Msomaji wetu hakikisha unaheshimu mila na tamaduni za mwafrika,lugha zenye utata au kumkashifu mtu haitapendeza kuonekana kwenye post.Kumbuka vigezo na masharti ya comments kuzingatiwa.Asanteni sana kwa kuwa nasi kwenye blog yenu.