Blog yenu ya wananchi yenye habari motomoto za kijamii, Blog yenye kuelimisha, kuburudisha na kufurahisha. Wapenzi na wasomaji wetu tunaomba ushirikiano wenu ili kuendeleza Blog yetu, kwa pamoja tunaweza kuleta mabadiliko ya kweli.

Monday, December 12, 2011

JK Alipotembelea Maonyesho Ya Miaka 50 Ya Uhuru Dar

Rais Kikwete akisaini kitabu cha wageni banda la Benki Kuu
Rais kikwete akitembelea bustani ya wanyama pori katika banda la Wizara ya Maliasili na utalii
 Rais Kikwete akipata maelezo ya mashine ya kisasa ya kufyatulia matofali kwenye banda la JWTZ
Rais Kikwete akiangalia gramophone ya 'His Masters Voice' katika banda la Wilaya  ya Moshi
Rais Kikwete akiangalia bonge la boga


Rais Kikwete akiongea na wanafunzi wa Versity Secondary School juu ya maabada ya sayansi.
Picha na IKULU

Sunday, December 11, 2011

The health benefits of being single RealBuzz

Single life is underrated. When you’re single you can dance like a crazy thing, flirt with your cute colleague and if your friends ask you to go to LA, then (money aside) why not? Not only can the single life be far more fun, it also has some major health perks. So, if you’re feeling glum about not finding The One, cheer yourself up knowing that being single means you have.

Healthier finances

Although marriage can lower costs and create financial opportunities, the event itself costs a huge amount. The average wedding costs £18,500 in the UK – flowers, food and favors certainly add up. However, not only is getting married costly, ending the union is a rather expensive process too. The average cost of ending a marriage through the British courts is about £13,000 per divorce; whilst in the USA the average cost of a divorce is estimated to be around $20,000. And how does this affect your health? The wealthy enjoy significantly better health whilst they are alive, and they live longer than those in low socio-economic groups.

Singletons keep fitter

It seems that when you get married, you not only gain a spouse, you also gain a considerable amount of weight. A poll commissioned by the Department of Health found that only 27 percent of adults met the recommended 150 minutes of physical activity each week. Of those 27 per cent, the majority were married. So how much weight does a pair in couple-kingdom gain? According to US researchers it depends on your gender. 46 per cent of the 5,000 ladies who took part in the US study gained at least 20 pounds. However, for the guys the increased weight risk was not as high. Unlike women, men gained the most weight during divorce.

More friends

Ditching your buddies for cheeky nights in and romantic dates out is a classic sign of a serious relationship. However, friendship is a hugely undervalued resource. A 10 year Australian study found that older people with a large amount of friends were 22 per cent less likely to die during the study than those older people with fewer friends. Also Harvard researchers suggested that strong social ties may promote brain health as we age and another study found that those with high social relationships were 50 per cent more likely to survive during the period of study.  So it turns out friends are not just there for secret sharing and karaoke fun.

Less fights

It’s pretty obvious that screaming until you’re hoarse and yelling at your partner is no fun. However, research has shown that there may be more sinister health risks associated with fighting with your loved one. One recent study concluded that a stressful marriage can be as bad for the heart as smoking. Other research suggests that a stressful marriage can also be worse for women than men. Women who didn’t speak their minds during a fight were found to be four times more likely to die in the 10-year study period than those women who always told their partners their thoughts.

Smaller portions

The fairytale goes… girl meets boy, they fall in love, marry and live happily ever after. What the fairytale doesn’t tell us is that when you meet that someone special you will find yourself feasting on man-sized portions and calorific meals. Women typically gain weight when they begin a relationship because they eat man-sized portions; but men tend to burn calories faster than women. Similarly men gain weight because couples order in more takeaways and eat out too. Considering that the average Indian takeaway contains 1,338 calories and a similar sized Chinese takeaway contains 1,436 calories it is not surprising that couples pile on the pounds.

Healing powers

We don’t mean to imply that if you’re single then you can cure broken limbs and nasty cuts with a wink of your eye and a sprinkle of magic dust. However, if you are in a bad relationship with high levels of hostility then your body will take longer to heal injuries. Research was conducted in America to measure how a bad relationship affects people’s immune system.  The researchers blistered participants’ arms to measure how quickly the wounds healed. They found that the blisters on the couples who had a lot of marital stress took a full two days longer to heal than those of couples who had less hostility.
Read more on realbuzz.com...
The health benefits of being in love
Top 10 relationship fat traps
Follow realbuzz on Facebook

LIES THAT CAN KILL A MARRIAGE

- Marriage Message #177

We are confronted by lies every day --our culture lies to us, advertisers lie to us, we even lie to ourselves. One of the biggest lies people grab onto is the fairytale ending where it reads, "and they all lived happily ever after." But the fairytale never tells you about the hard work that goes into making the "happily" into an "ever after." Often, when reality hits home, many married couples are more likely to live "miserably ever after" than the other way around.

It seems that somewhere in between "living happily ever after" and "living miserably ever after" is the truth and reality of the mission of marriage. Marriage is made up of two imperfect human beings, living in union with a perfect God, for His glory (we often overlook that part) through serving and edifying Him and each other... for as long as we both shall live.

To live out this mission of marriage we need to STOP believing lies that can kill our marriages. The enemy of our faith --the "father of lies" will try everything possible to tear our marriages apart. So, we're going to share some of the common lies we believe AND the truth --from God's word. These thoughts come from Dr. Chris Thurman's book, "The Lies We Believe."

LIE # 1-- IT'S ALL YOUR FAULT: One of the most frequent lies couples engage in is a form of the "It's Not My Fault" lie, which points the finger of blame at the marriage partner. It implies that the actions of one spouse make the other spouse react in a bad way and are the only things making the marriage rotten. Simply put, it's all his or her fault.

SCRIPTURAL TRUTH: Romans 2:1, "You therefore, have no excuse, you who pass judgement on someone else, for at whatever point you judge the other, you are condemning yourself, because you who pass judgement do the same things."

As much as humanly possible, couples need to take to heart the biblical teaching to be honest about our own flaws and work on them. As Matthew puts it, we should make a point of looking at the plank in our OWN eye before we point out the speck in our spouse's eye. We cannot allow the speck in our spouse's eye to make our plank larger and more blinding. Can you imagine a marriage in which each spouse puts this one teaching into practice?

LIE #2-- IF IT TAKES HARD WORK, WE MUST NOT BE RIGHT FOR EACH OTHER: Let's face it, marriage is hard work. Make that: Marriage is VERY hard work-- tremendously hard work. Underline it, bold face it, tattoo it on your forearm. This is the first rule of marriage: Any marriage that stays healthy and happy through the years has been worked on. It's a truth, that very few understand. So when the marriage isn't smooth, couples begin to wonder: "are we right for each other?" I'd argue that hard work in marriage often suggests you married the right person. Overall, the difficult struggles in our marriages often show us where our own personalities are deficient & give us the chance to work on it.

SCRIPTURAL TRUTH: 1 Corinthians 7:28, "But those who marry WILL face many troubles in this life."

LIE #3-- YOU CAN AND SHOULD MEET ALL MY NEEDS: No one person can meet all your needs. [As Christ-Followers we need to understand there is only One who can meet our needs.]

SCRIPTURAL TRUTH: Philippians 4:19, "And my God will meet all your needs to His glorious riches in Christ Jesus."

LIE #4-- YOU OWE ME: Remember when you first started dating your spouse? You were glad to do things for him or her and didn't really want much in return, other than his or company. For some reason, maybe because familiarity really does breed contempt, we go from our dating years (when we did things out of desire with little sense of what we were owed in return) to our "stuck with each other" married years (when everything is totaled up for payback). This "you owe me" marriage style is destructive and rooted in the lie that people, specifically our spouses, should pay us back for everything we do. You might be saying, "But what do I do when my spouse doesn't give me what I want?" You have a number of options, some healthy and some unhealthy.

On the unhealthy side, you can yell and scream, withdraw, demean, manipulate, or intimidate your spouse into giving you what you want. You may actually get what you are after, but you have won the battle and lost the war because your style will create ill will and a lack of love and respect, and harmony in the marriage. On the healthy side, you can ask your spouse to reconsider, or you can become a little more flexible, compromise, give up wanting it, or, if all else fails, go take care of it yourself without being bitter. The truth is that spouses “owe” each other nothing in marriage. The healthiest marriages are those in which each spouse gives because it is right to do so, not because it was owed or in order to be owed something in return.

SCRIPTURAL TRUTH: 1 Peter 5:5, "Clothe yourselves with humility because God resists the proud, but gives grace to the humble."

LIE #5-- I SHOULDN'T HAVE TO CHANGE: There is the lie that in a good marriage spouses don't have to-- or shouldn't have to-- alter who they are for each other. What garbage! Of course we need to change who we are to fit our spouses better. The challenge is deciding WHAT to change.

When we marry, all of us have aspects of our personalities that are deficient & need to be tuned up or overhauled. More often than not, our weaknesses are our spouses’ strengths. Marriage involves improving our weaknesses, not wrapping ourselves in an “accept me as I am” flag.

SCRIPTURAL TRUTH: Hebrews 12:14, "Make every effort to live at peace with all and to be holy."

LIE #6-- YOU SHOULD BE LIKE ME: This seems absurd in print, but I know many couples who make this lie a lifestyle. We are unique. It’s good that we are all different, even if it does lead to conflict, because maturely handled differences can give us a clearer sense of our own individuality and a greater appreciation for how different human beings really are. [Someone once said, "Perhaps God so often puts opposites together because if we were just alike we would be an ineffective team." Think about how true that statement can be!]

SCRIPTURAL TRUTH: 1 Corinthians 12:18-19, "God has arranged the parts in the body, every one of them, just as He wanted them to be. If they were all one part, where would the body be?"
.......................
Just so you know, we have even more supportive help on this subject in this article on our web site at www.marriagemissions.com, if you want to explore this issue further.

Jesus said over and over again in the Gospels, "I tell you the truth..." Read the Truth in God's Word and start applying what you learn in your marriage and you will be amazed with how God will bless your lives together!

Cindy and Steve Wright

P.S. If you think of others who may benefit from these free weekly messages, please forward this and encourage them to subscribe. They can go to our web site at marriagemissions.com, click on “Subscribe” and fill in the necessary information. Every week we add new articles, and others add helpful comments to the web site, so return often. If you don’t have access to the Internet, send an email to subscribe@marriagemissions.com with “Subscribe” in the subject line. NOTE: If you receive our messages at work you may need to ask the Administrator of email accounts to add Marriage Missions to their list of acceptable IP addresses to prevent spam filter blockers. Also, we're on facebook at facebook.com/marriagemissions and Twitter at twitter.com/mrgmissions.

Saturday, December 10, 2011

Maadhimisho Ya Miaka 63 Ya Haki Za Binadamu Duniani


  |
      
                                                                          



  Maadhimisho haya yameandaliwa na kituo cha sheria na haki za binadamu.Yamefanyika katika viwanja vya wazi kijitonyama karibu na jengo la TTCL.Mgeni rasmi alikuwa Anne Kilango Malechela MB.
Na Mjengwablog

NAJUTA KWA NINI NILIKUBALI KUOLEWA?


Na: Patrick Sanga
Baada ya mwaka mmoja wa ndoa, Merian asema anajuta kwa nini alikubali kuolewa. Merian na Joseph (haya siyo majina yao halisi) ni mtu na mumewe. Nikiwa katika Mkoa wao kikazi, niliamua kuwatembela wanandoa hawa. Merian alinipokea na kunikaribisha ndani kwa furaha sana. Tukaanza kuongea nami nikamuuliza, Joseph yupo? Akaniambia bado hajarudi kutoka kazini, hata hivyo kaniambia yupo njiani anakuja.
Tukaanza kuzungumuza mambo kadha wa kadha na kisha nikamuuliza mnaendeleaje na ndoa yenu changa? Baada ya kuwa nimemuliza swali hili akacheka na kisha akaanza kwa kusema, nyie maisha haya ya ndoa yaacheni tu, kwa kweli najuta kwa nini nilikubali kuolewa? Kauli hii ilinishtua sana kwa sababu kwanza sikuitegemea na pia ndoa hii ilikuwa ndio imetoka kutimiza mwaka  wa kwanza tu.
Kwa haraka kabla hajaendelea nikamzuia asiseme hayo maneno tena, maana nilijua kadri anavyosema ndivyo anavyozidi kuumba uharibifu kwenye ndoa yake. Akaniambia usinizuie, si umeuliza tunaendeleaje, subiri nimalize kukuelezea. Ndipo akaanza kuniambia kile kilichompelekea kusema anajuta kwa nini alikubali kuolewa (Kwa ufupi ni changamoto ambazo kwa ujumla naweza kusema za kawaida, hata hivyo sitaweza kuziandika hapa kwa sababu maalum).
Katika maelezo yake Merian aliniambia, vijana wengi sana walinifuata ili kunioa, mie nikawakataa, natamani ningeolewa na yoyote kati ya wale wengine, lakini si hapa nilipo na laiti likitokea lolote sasa (kwa maana ya mwenzake kufa) sitakubali kuolewa tena.
Mpenzi msomaji sijui kama unakiona ninachokushirikisha kupitia maisha ya wanandoa wenzetu hawa. Kumbuka ni mwaka mmoja tu wa ndoa, na leo tunashuhudia Merian akijutia maamuzi yake ya kuolewa na Joseph. Licha ya kwamba ni mwaka wa kwanza tu, lakini wawili hawa wameokoka pia.
Maelezo ya dada Merian yaliniletea maswali matano (5) ndani yangu ambayo ndiyo ninayotaka tujifunze kutoka kwake;
Swali la kwanza; Je! Merian, alijua nini maana ya ndoa kabla ya kuolewa?
Swali la pili: Je, Merian alijua aina ya maamuzi anayotaka kufanya kabla ya kuolewa?
Swali la tatu: Je, Merian alimuhusisha Mungu kabla ya kuolewa ili ampate mwenzi sahihi wa kuishi naye?
Swali la nne: Je, Merian alikuwa amejiandaa/andaliwa kifikra kuishi kama mke?
Swali la tano: Je, mpaka sasa, Merian anajua wajibu wake ni nini kwenye ndoa?
Kutokana na maswali haya niliwaza mambo matatu ambayo, nafikiri kama vijana wangefahamu yatawasaidia katika ndoa zao;
  • Moja, ni vema vijana wajifunze kumshirikisha Mungu awaongoze kupata mwenzi sahihi wa maisha, kabla hawajaingia kwenye hizo ndoa. 
  • Mbili, ni vema vijana wakajifunza kufikiri kimapana kabla ya kuingia kwenye ndoa. Swali la msingi katika kufungua tafakuri hii, ni kwa nini mtu aoe au kuolewa? Ni swali fupi lakini kama wewe ni mtu ambaye hufikiri kimapana swali hili litakujengea msingi mzuri wa baadaye. Naam kile kitabu cha 1 Wakorinto sura nzima ya saba kikuongoze katika tafakuri hii.
  • Tatu, ni vema vijana wangefunzwa/kuandaliwa vya kutosha kuhusu ndoa na hasa wajibu uliopo mbele yao. Endapo kama Serikali inawasomesha watumishi wake kwa lengo la kuwaongezea uwezo na maarifa ya kutekeleza majukumu yao, basi ifike mahali kanisa, wazazi, viongozi wa vijana nk makundi haya yaone umuhimu wa kuwaandaa vijana wao kuyakabili maisha ya ndoa.
Watu wengi hufikiri chanzo cha matatizo kwenye ndoa zao ni Shetani. Ndio hii ni sababu moja, lakini sababu nyingine kubwa, ni watu wengi kukosa ufahamu wa masuala ya ndoa kabla na baada ya kuingia kwenye hizo ndoa. Naam wakati watu wanasema Shetani anaangamiza ndoa zetu, Mungu anasema, ndoa za watoto wangu zinaangamizwa kwa kukosa maarifa (Hosea 4:6).
Ni imani yangu kwamba, kama mambo haya yatazingatiwa, sehemu kubwa ya changamoto ambazo wanandoa wanapitia, zingepata ufumbuzi wa haraka. Natoa wito kwa wadau mbalimbali wa masuala ya ndoa na hasa Wachungaji, Walimu na Viongozi wa makundi ya kiroho, kuanzisha utaratibu wa kuwa na mafunzo maalum kuhusu ndoa, kwa vijana ambao wameweka wazi dhamira zao za kuingia kwenye maisha ya ndoa.
Ni vema pia, hata kwa wale ambao wako ndani ya ndoa, wakawekewa utaratibu wa kuwa na mafunzo ya mara kwa mara, maana kwa mtazamo wangu ndoa ni shule ambayo, wahusika wanapaswa kuongeza (kujifunza) ufahamu wao kila siku, ili kulitumikia vema kusudi la Mungu.
Bwana Yesu na utusaidie watoto wako, Amen!

NIFANYE NINI ILI KUSHINDA TAMAA ZA MWILI?


Na: Patrick Sanga
Septemba mwaka huu, Mwanafunzi mmoja wa shule ya Sekondari alinitembelea nyumbani kwangu hapa Dodoma. Alipofika nilimkaribisha ndani nikajua amekuja kunisalimia tu. Baada ya muda akaniambia kaka Sanga nina swali nahitaji msaada wako sana. Tukatoka nje mahala penye utulivu ndipo akaniambia tamaa za mwili kwa maana ya uasherati/zinaaa zinanitesa nifanye nini ili kushinda? Jambo hili linanitesa kiasi kwamba nahisi kama vile sijaokoka kutokana na vita niliyonayo katika fahamu zangu na mwilini mwangu?
Kwa kuwa vijana wengi wamekuwa wakiuliza swali hili kwa namna tofauti tofauti na kwa njia mbalimbali, nimeona ni vema nikaliweka somo hili kwenye ‘blog’ hii  kwa kuwa tunao vijana wengi ambao changamoto hii inawakabili pia. Naam yafuatayao ni mambo ya msingi kuzingatia ili kijana aweze kuwa na ushindi dhidi ya tamaa za  mwili (dhambi) nk.
  • Kwa kutii na kulifuata neno la Mungu
Biblia katika Zaburi 119:9 inasema ‘Jinsi gani kijana aisafishe njia yake? Kwa kutii, akilifuata neno lako’. Ukisoma Mstari huu katika tafsiri ya Biblia ya Kiingereza ya GNB unasema How can young people keep their lives pure? By obeying your commands’. Mtazamo wa tafsiri hii ya kiingerza ni kujaribu kutafuta ufumbuzi wa namna ambayo vijana wanaweza kuishi maisha ya utakatifu na yenye ushuhuda. Inawezekana mwandishi huyu wa Zaburi aliona namna vijana wanavyohangaika katika eneo hili, ndipo ikabidi amuulize Mungu, ni jinsi gani kijana aisafishe njia/au anaweza kusihi maisha ya utakatifu? Kipengele cha pili kinatupa jibu la swali la kwanza kwamba ni kwa kutii, akilifuata neno lako.
Naam hii ina maana ni lazima kwanza kijana achukua hatue  ya kuliweka neno la Mungu moyoni mwake kwa wingi, maana hawezi kutii neno ambalo halimo ndani yake au hajalisoma na kulitafakari. Zaburi 119:11 inasema ‘Moyoni mwangu nimeleiweka neno lako, Nisije nikakutenda dhambi’. Maana yake ni kwamba, kama kijana atajijengea tabia ya kuhakikisha analiweka neno la Bwana moyoni mwake kwa kulitafakari kila siku, kwa vyovyote vile lazima atakuwa na ushindi dhidi ya tamaa za mwili na kazi zote za Shetani. Naam usiishie tu kuliweka moyoni mwako bali fuatilia sauti ya neno uliloliweka ndani yako, ukaiitii.
  • Kuacha michezo ya mapenzi na kuwa makini na nini unatazama/unasikia.
Michezo ya mapenzi (foreplay) ni maalumu kwa ajili ya wanandoa. Kwa bahati mbaya vijana wetu nao sasa wamekuwa wakifanya mambo haya ambayo kimsingi si yao. Michezo ya mapenzi ni sehemu ya vitendo vyvyote ambavyo hupelekea ashiki ya kufanya tendo la ndoa hii ni pamoja na kushikana shikana/kugusana maeneo mbalimbali ya mwili na pia kunyonyana ndimi.
Zaidi Katika dunia ya sasa Shetani ametumia teknolojia iliyopo kuteka fikra za vijana wengi. Vijana wengi kupitia simu, computer, video nk wanaangalia picha chafu za ngono na kusoma jumbe za aina hiyo kitu ambacho kinaharibu fahamu zao bila wao kujua. Na kwa kufanya hivyo wanakuwa wanayachochea mapenzi na kuamsha tamaa zao za mwili. Naam mambo haya ni hatari tena kinyume na mapenzi ya Mungu. Na kwa bahati mbaya vijana wetu tena waliokoka baadhi yao bado wamefungwa katika kufanya mambo haya.
Katika kile kitabu cha Wimbo Ulio Bora 2:7 Biblia inasema ‘Nawasihi, enyi binti za Yerusalemu, Kwa paa na kwa ayala wa porini, Msiyachochee mapenzi, wala kuyaamsha, Hata yatakapoona vema yenyewe’. Kulingana na mstari huu tunajua kwamba, kumbe mapenzi yanaweza kuchochewa na kuamshwa, naam na hili ni jambo hatari sana kama litafanywa na wahusika ambao si wanandoa kwa maana ya (foreplay) hata kama wana kiroho cha iana gani.
Jambo la msingi kuepuka hapa ni kuwa kwenye mazingira ambayo yanaweza yakawashawishi kufanya mambo haya. Vijana ambao si wanandoa kutembeleana mahali wanaposihi kwa maana ya eneo ambalo wako pekee yao, au kwenda guest na  maeneo yote ya namna hii eti kwa lengo la kupanga mipango yenu. Fahamu kwamba kitendo cha vijana wawili ambao si wanandoa kukaa katika mazingira ya aina hii ni kumpa Iblisi nafasi ya kuwamaliza, naam kijana uwe makini usifanye ujinga huu, Shetani asije akakumaliza.
  • Kuenenda kwa Roho.
Mtume Paulo alikutana na kesi ya aina hii kwa wandugu wa kanisa la Galatia. Moja ya ufumbuzi juu ya suala hili aliwataka waenende kwa Roho ili wasisitimize kamwe taamaa za mwili. Wagalatia 5:16 ‘Basi nasema, Enendeni kwa Roho, wala hamtazitimiza kamwe tamaa za mwili’. Kuenenda kwa Roho ndio kukoje? Ni kuishi/kuenenda kwa kufuata utaratibu/uongozi wa Roho Mtakatifu maishani mwako (Zaburi 32:8). Jambo la msingi ni kuwa mtiifu kwa Roho Mtakatifu, naam atakusaidia kushinda dhambi kama alivyomsaidia Bwana Yesu alipokuwa hapa duniani.
  • Kujitenga na marafiki/makundi mabaya
Zaburi 1;1 inasema ‘Heri mtu yule asiyekwenda katika shauri la wasio haki; Wala hakusiamama katika njia ya wakosaji; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha’. Jiulize muda wako mwingi unautumia kwa kufanya nini? Na kama ni marafiki ni marafiki wa aina gani?  Siku zote wale unaokuwa nao karibu wanachangia sana kujenga (kushape) mfumo wa maisha yako. Biblia katika 1 Wakorinto 15:33 inatuambia ‘Msindanganyike; Mazungumzo mabaya huharibu tabia njema’. Naam kama utakuwa na marafiki wabaya basi tegemea na mazungumzo yao yatakuwa mabaya na hivyo tegemea na wewe kuwa na tabia mbaya. Jambo la msingi ni kujitenga nao usiende katika shauri lao, wala njia yao na pia kuketi katika baraza yao.
Mtume Paulo akizungumza na kijana wake Paulo alimwambia hivi ‘Mtu awaye yote asiudharau ujana wako, bali uwe kielelezo kwao waaminio, katika usemi na mwenendo, na katika upendo na imani na usafi’ 1 Timotheo 4:12. Wazo ninalotaka ulipate hapa ni kwamba kama Paulo angejua kwamba vijana hawawezi kuishi maisha ya utakatifu na yenye ushuhuda katika dunia hii, asingemwambia Timotheo afanye haya. Basi kwa kuwa alijua inawezekana, ndiyo maana Roho Mtakatifu alimwongoza kuandika haya ili kumwagiza Timotheo na sisi vijana wa leo katika jambo hili. Naam uwe kielelezo katika shule, chuo, kanisa, kazini nk ili Mungu aone sababu ya kuendelea kukutumia kwa utukufu wake.
Neema ya Mungu iwe nanyi

Friday, December 9, 2011

1961-2011
M. M. Mwanakijiji Utenzi wa Miaka Hamsini ya Tanzania
UTENZI WA TANZANIA
KUTAMALAKI KWA TAIFA
Miaka 50 ya Uhuru
Utangulizi
Nilipata wazo la kuandika utenzi huu kuanzia mwaka jana. Nilikuwa nimekusudia kuandika Utenzi wenye beti 1000 kwa ajili ya maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania. Lakini katika uvivu wangu na mihangaiko ya dunia nimejikuta nimeishia kwenye hizi beti 100 za utenzi huu wa Tanzania.
Maadhimisho ya miaka hamsini ya Uhuru ni maadhimisho siyo ya mipaka ya nchi, siyo ya jina na kwa hakika kabisa siyo maadhimisho ya kupita kwa muda. Ni maadhimisho – naamini- ya utu wetu. Kwamba, katika miaka hamsini iliyopita tumeweza kufanya kile ambacho hakikuwahi kufanywa kwa miaka 2000 iliyopita katika eneo letu. Yaani, kuwaunganisha watu watu wetu wote, chini ya mipaka ile ile, wakiwa huru na haki sawa.
Katika utenzi huu nimeelezea jinsi eneo letu lilivyojulikana kama Azania katika masimulizi ya Wagiriki au kama Zenji kwa Waarabu na wakati mwingine kuhusiana na majina ya maeneo ya Kushi na Nubia katika Biblia. Kama jamii ya watu tumepitia mambo karibu yote ambayo yamepitiwa na jamii nyingine za dunia. Kuanzia maisha ya ujima, utumwa, vita, mapigano, na hatimaye uhuru. Kumbe basi historia yetu haina tofauti sana na historia ya jamii nyingine za watu ambazo zimesimama katika pande za dunia.
Unaposoma utenzi huu ni matumaini yangu utakufanya ujisikie fahari kuwa wewe kama vile mimi ni zao la historia hii. Tumefungamanishwa na historia kiasi kwamba haiwezi kufunguka. Mbele yetu wametutangulia wengi katika historia ambao nao walisimama kutambua utu wao na kuudai mbele ya watawala wa zama zao. Ni hiki ndicho tunachokifurahia kwamba leo tuko huru kuwa watu sawa na wengine – kwa kila hali. Ni utu wetu ndio ulikuwa msingi wa kupigania uhuru wetu na unatakiwa kuwa ndio kiini cha kushangilia uhuru huo.
Ni vipi tumetumia uhuru huo kuinua utu wetu hili ni swali jingine ambalo kizazi chetu kama kizazi kinachokuja kitahiji kujibu. Je, mambo tunayoyafanya na kufanyiana yanalingana na utu huo? Je, tunatendeana kama watu wenye utu katika sera, sharia, mipango, na mambo tunayoyafanya? Utenzi huu basi ni kukumbushia utu wetu.
MMM
Disemba 5, 2011
SIFA KWA MUNGU!
1. Ee Mola ninakujia
Kwako ninasujudia
Sifa nakurudishia
Utukufu enzi pia
2. Ewe uliye Jalia
Mmiliki wa Dunia
Hukumu ni zako pia
Na adhabu ya Jehania
UTANGULIZI
3. Kalamu naishikia
Naandika beti mia
Kwa tungo nazipangia
Zinasifu Tanzania
4. Ni tungo za historia
Ni wapi tulianzia,
Na wapi tumefikia,
Lengo ni kukumbushia
5. Nataka kusimulia,
Kwa hizi tungo mia,
Huku nawahisabia,
Mpaka zitapotimia,
6. Tangu walipoingia
Wageni toka Asia,
Na wale wa Yuropia,
Makabila yalohamia.
7. Ishirini na mia,
Makabila ya Tanzania,
Makubwa madogo pia
Hapa nawasimulia
8. Na beti zikitimia
Zikifika hizo mia
Kalamu nitaachia
Lengo nitalifikia.
9. Ujumbe nauanzia
Wa hizi beti mia
Kwa kina nitagusia
Ni wapi tulianzia
HISTORIA YA AZANIA
10. Kwanza ni jiografia
Iko wapi Tanzania
Ni bara la Afrikiya
Upande wa Masharikia!
11. Ethiopia na Somalia
Juu zimetangulia
Kenya nayo yafuatia
Halafu ni Tanzania
12. Na katika historia
Hakuna jina Tanzania
Jina tumejipatia
Muungano tulipoingia
13. Wagiriki waliitia
Eneo letu Azania
Ni kabla ya kuingia
Kwa ukoloni Afrikiya
14. Kama vile wa Misria
Au watu wa Nubia
Na wale Wahabeshia
Sisi ni wa Azania!
15. Hivyo nawasimulia
Ni wapi tulianzia
Katika Historia
Hadi kuwa Tanzania
WATU WA AZANIA
16. Makabila yaliingia
Toka pande za dunia
Ni mengi kuwatajia
Alama zimebakia
17. Watu toka Arabia
Na pia Nigeria
Wakushi waliingia
Waliipenda Azania
18. Wangoni waliingia
Wana wa Zulu kwa mamia
Kutoka Kongo na Nubia
Wakatua Azania
19. Kwa miaka kwa mamia
Historia yatuambia
Mahusiano yalitulia
Wageni na Waafrikia
20. Ishirini zimefikia
Kati ya zile beti mia
Sasa nitasimulia
Ni nini kilitukia!
21. Biashara ya Azania
Uchina hadi India
Kilwa ilifanyikia
Shahidi ni historia
22. Waarabu walipofikia
Karne ya saba ilipotimia
Waliikuta Azania
Jamii iliyotulia
23. Walikuja na kuhamia
Nchi ilivyowavutia
Wakaishi na kuzalia
Na watu wa Azania
24. Jina wakatupatia
Kwa lugha ya Arabia
Ni ‘Zenji’ waliitia
Palipoitwa Azania
25. Sultani Selemania
Kutoka Ushirazia
Na meli kede kafikia
Pale Kilwa kahamia
26. Mrimba kampatia
Kisiwani ardhia
Utawala ukaingia
Na utamaduni wa Arabia
27. Lugha wakachangia
Misamiati ikaingia
Lugha ya Waswahilia
Utamaduni na dini pia
28. Jina waliitia
Ni ‘Zenji’ Naawambia
Mbali wakalifutia
Lile jina Azania!
29. Ni la kale Arabia
Al-Jahiz katuambia
Yule wa Mesopotamia
Siku hizi Iraqiya
30. Al-Muqadasi pia
Naye kayasimulia
Chuki hakuifichia
Ya Wazenj Arabia
31. Thelatha zimetimia
Ya tenzi zangu mia
Aroba nakimbilia
Hapa nawakumbushia
32. Ibn Batuta kajia
Kilwa akaifikia
Kafika kashuhudia
Kwa maneno kasifia!
33. Mji ulivyotulia
Umepangwa kuvutia
Na utumwa upo pia
Batuta kasimulia
KUKUA KWA UTUMWA
34. Zama za Waazania
Utumwa uliingia
Enzi za Waarabia
Kilele ulifikia
35. Wazee wetu mamia
Maelfu ya mia na mia
Nchi waliiachia
Kuchukuliwa Asia
36. Utumwa ukaivunjia
Familia ya Afrikiya
Mwangwi tukausikia
Ukipasua historia
37. Dini hawakuishikia
Utumwa kushikilia
Utu walituvunjia
Laana wakajipatia
38. Leo wanailipia
Na sisi tumetulia
Wao sasa wanalia
Maskini Arabia
KUINGIA KWA WARENO
39. Wareno walipoingia
Da Gama katungulia
Safari akipania
Ili afike India
40. Mombasa kaipitia
Malindi Sofala pia
Na pia akafikia
Kilwa iliyotulia
41.. Mara ya pili kajia
Na bunduki kashikia
Kilwa ikaangukia
Wazungu wakaingia
42. Miaka ikapitia
Na karne zikaishia
Mwarabu kajishindia
Mreno akakimbia
UTAWALA WA OMANI NA TAWALA ZA JADI
43. Omani ikashikia
Pwani ikashikilia
Malindi Zanzibar pia
Mombasa na Kilwa pia
44. Pwani ikiangukia
Kwa wale wa Arabia
Bara nawasimulia
Ni nini kilitukia
45. Jamii zilitulia
Za Wabantu asilia
Tawala kujiundia
Makabila kwa mamia
46. Imani walishikia
Za jadi kuabudia
Kazi wakajifanyia
Familia kujitunzia
47. Wachagga Wapare pia
Wanyakyusa wa Nubia
Wangoni waliingia
Kina Bambu kwa mamia
48. Wasukuma wakatulia
Maelfu ya Mamia
Biashara wakafanyia
Shahidi ni historia
49. Bara na Pwani pia
Falme na tawala mia
Ndivyo ilivyotukia
Hadi Mdachi kuingia!
50. Hamsa zimetimia
Kwenye zile beti mia
Pumzi naishushia
Nusu imenibakia
UJIO WA MJERUMANI
51. Mjerumani kuingia
Ni upya wa historia
Nchi akajigawia
Mikataba akaingia
52. Karli Petero kapitia
Uzigua kafikia
Usagara nako pia
Wazee kahadaia
53. Mikataba wakaingia
Nchi wakampatia
Na walipozindukia
Nchi wameiachia!
MASHUJAA MABABU
54. Wazee wakanuia
Mdachi kumpingia
Harakati kuanzia
Dhulma kuikatalia
55. Bushiri alianzia
Wadachi kushambulia
Ndipo walimvamia
Kwa kamba kaning’inia
56. Bwana Heri kaingia
Uzigua akipigania
Mdachi akamjia
Heri akasalimia
57. Kilwa ikaibukia
Hapa nawakumbushia
Makunganya na mamia
Mdachi kumpigia
58. Mdachi karudishia
Chifu akakimanyia
Kilwa ikaangukia
Kivinje akaning’inia
59. Wayao wakapigia
Machemba katangulia
Miaka kenda ikapitia
Na mwisho kasalimia
60. Isike kapigania
Tabora kuizuia
Mdachi kamzidia
Isike akakimbia
61. Kuliko kusalimia
Amori kajifungia
Shujaa kawaapia
Baruti kajipigia!
62. Sasa nawasimulia
Mwana wa Mtwa sikia
Uhehe kairithia
Mkwawa nawaambia
63. Lugalo akavamia
Wadachi kawazidia
Silaha kazipakia
Kalenga katimkia
64. Vita kavipigania
Na mwaka ukapitia
Wadachi wakamhofia
Sifa kumtangulia
65. Wa tatu ulipoingia
Wadachi wameumia
Ndipo wakajipangia
Mtwa kummalizia
66. Kalenga wakavamia
Mkwawa kawakimbia
Msituni kaingia
Bado kawang’ang’ania
67. Wadachi wanasimulia
Jinsi walimhofia
Tuzo waliahidia
Hakuna msalitia
68. Miaka ikapitia
Minne nawaambia
Ndipo wakampatia
Jeshi kumzungukia
69. Mkwawa kadhamiria
Uhai kuuachia
Kuliko kuabia
Risasi kajipigia!
70. Kwenye zile beti mia
Sabini zimetimia
Zinahusu Tanzania
Ni wapi ilianzia
VITA VYA MAJIMAJI
71. Wadachi hawakutulia
Amani hawakujulia
Kusini uliibukia
Uasi wa kihistoria
72. Mdachi katangazia
Kila kijiji kusikia
Pamba kujilimia
Na kodi kulipia
73. Mababu wakachukia
Jerumani kumtumikia
Kinjekitile kusikia
Mizimu kumshukia
74. Uasi ukalipukia
Mahenge na Kilwa pia
Rufiji ulifikia
Umatumbi kuingia
75. Chabruma kaingia
Lumecha kapigania
Na mashujaa mamia
Nchi walipigania!
76. Mdachi kawazidia
Silaha alitumia
Bunduki mabomu pia
Mbali kawamalizia
77. Mwisho ulipofikia
Songea kasalimia
Kama waliotangulia
Shujaa kaning’inia!
VITA YA KWANZA YA DUNIA
78. Kwa muda tulitulia
Miaka ikapitia
Ndipo nchi kuingia
Vita ya kwanza ya dunia
79. Mdachi kaachilia
Vita hakujishindia
Mwingereza kuingia
Nchi kuidhaminia
HARAKATI ZA UHURU
80. Miaka ikipitia
Watu wakiamkia
Fikra kuzikumbatia
Utu kuupigania
81. Jumuiya wakajiundia
Na vyama vya kushirikia
Mwanza na Moshi Pia
Tanga na vilifikia
82. TAA ilipoanzia
Mashujaa kuingia
Uhuru kupigania
Wakati ulipotimia
83. Vita ya pili ya dunia
Mwamko uliwazidia
Kutaka kujitawalia
Hilo walitamania
84. Mwingereza kumkatalia
Meru hadi Mwanza pia
Makuli kuwakatalia
Utu wao kudaia
85. Nyerere anaingia
Wakati ulitimia
Abdulwahid katulia
Yupo Mzee Rupia
86. Mengine nawatajia
Wale waliotangulia
Mashujaa wa Tanzania
Wachache nakumbushia
87. Dossa Azizi naanzia
Stephen Mhando pia
Kyaruzi kaingia
Na Shehe Amir Pia
88. TANU ilipoanzia
Yumo Mohammed Ramia
Jumbe Tambaza pia
Bibi Titi nawaambia
89. Nchi wakazungukia
Taifa kuamshia
Umoja kuupigania
Uhuru wakililia!
90. Muda ulipofikia
Mwingereza kaachia
Disemba tisa kuingia
Uhuru kutangazia
MUNGU IBARIKI TANZANIA
91. Tisini zimeishia
Kwenye zile beti mia
Mengi nimekumbushia
Ni wapi tuliianzia.
92. Mengi tumeyapitia
Ya machungu na kulia
Muungano tukaingia
Umoja kuurudishia
93. Tukaunda Tanzania
Mkoloni hakutupatia
Hila wamezitumia
Wengine wamedandia
94. Leo wanapigania
Kuivunja Tanzania
Ati wanakililia
Mkoloni alituachia
95. Damu ilimwagikia
Kuilinda Tanzania
Vipi tunawaachia
Wasotaka Tanzania?
96. Yote tuliyopitia
Sehemu ya historia
Makosa yalotukia
Hatuwezi kukimbia
97. Sasa tunashangilia
Tulipofika tumefikia
Na mengi yamebakia
Vizazi twaviachia
98. Wito ni kuwaachia
Ilo bora Tanzania
Waje kuifurahia
Mema tukiwaachia
99. Mwisho ninaufikia
Wa zile beti mia
Ee Mola ibarikia
Nchi yetu Tanzania
100. Iishi na kubakia
Nchi moja Tanzania
Kalamu naiachia
Zimetimu betie mia!
Ω
1961-2011
M. M. Mwanakijiji Utenzi wa Miaka Hamsini ya Tanzania
UTENZI WA TANZANIA
KUTAMALAKI KWA TAIFA
Miaka 50 ya Uhuru
Utangulizi
Nilipata wazo la kuandika utenzi huu kuanzia mwaka jana. Nilikuwa nimekusudia kuandika Utenzi wenye beti 1000 kwa ajili ya maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania. Lakini katika uvivu wangu na mihangaiko ya dunia nimejikuta nimeishia kwenye hizi beti 100 za utenzi huu wa Tanzania.
Maadhimisho ya miaka hamsini ya Uhuru ni maadhimisho siyo ya mipaka ya nchi, siyo ya jina na kwa hakika kabisa siyo maadhimisho ya kupita kwa muda. Ni maadhimisho – naamini- ya utu wetu. Kwamba, katika miaka hamsini iliyopita tumeweza kufanya kile ambacho hakikuwahi kufanywa kwa miaka 2000 iliyopita katika eneo letu. Yaani, kuwaunganisha watu watu wetu wote, chini ya mipaka ile ile, wakiwa huru na haki sawa.
Katika utenzi huu nimeelezea jinsi eneo letu lilivyojulikana kama Azania katika masimulizi ya Wagiriki au kama Zenji kwa Waarabu na wakati mwingine kuhusiana na majina ya maeneo ya Kushi na Nubia katika Biblia. Kama jamii ya watu tumepitia mambo karibu yote ambayo yamepitiwa na jamii nyingine za dunia. Kuanzia maisha ya ujima, utumwa, vita, mapigano, na hatimaye uhuru. Kumbe basi historia yetu haina tofauti sana na historia ya jamii nyingine za watu ambazo zimesimama katika pande za dunia.
Unaposoma utenzi huu ni matumaini yangu utakufanya ujisikie fahari kuwa wewe kama vile mimi ni zao la historia hii. Tumefungamanishwa na historia kiasi kwamba haiwezi kufunguka. Mbele yetu wametutangulia wengi katika historia ambao nao walisimama kutambua utu wao na kuudai mbele ya watawala wa zama zao. Ni hiki ndicho tunachokifurahia kwamba leo tuko huru kuwa watu sawa na wengine – kwa kila hali. Ni utu wetu ndio ulikuwa msingi wa kupigania uhuru wetu na unatakiwa kuwa ndio kiini cha kushangilia uhuru huo.
Ni vipi tumetumia uhuru huo kuinua utu wetu hili ni swali jingine ambalo kizazi chetu kama kizazi kinachokuja kitahiji kujibu. Je, mambo tunayoyafanya na kufanyiana yanalingana na utu huo? Je, tunatendeana kama watu wenye utu katika sera, sharia, mipango, na mambo tunayoyafanya? Utenzi huu basi ni kukumbushia utu wetu.
MMM
Disemba 5, 2011
SIFA KWA MUNGU!
1. Ee Mola ninakujia
Kwako ninasujudia
Sifa nakurudishia
Utukufu enzi pia
2. Ewe uliye Jalia
Mmiliki wa Dunia
Hukumu ni zako pia
Na adhabu ya Jehania
UTANGULIZI
3. Kalamu naishikia
Naandika beti mia
Kwa tungo nazipangia
Zinasifu Tanzania
4. Ni tungo za historia
Ni wapi tulianzia,
Na wapi tumefikia,
Lengo ni kukumbushia
5. Nataka kusimulia,
Kwa hizi tungo mia,
Huku nawahisabia,
Mpaka zitapotimia,
6. Tangu walipoingia
Wageni toka Asia,
Na wale wa Yuropia,
Makabila yalohamia.
7. Ishirini na mia,
Makabila ya Tanzania,
Makubwa madogo pia
Hapa nawasimulia
8. Na beti zikitimia
Zikifika hizo mia
Kalamu nitaachia
Lengo nitalifikia.
9. Ujumbe nauanzia
Wa hizi beti mia
Kwa kina nitagusia
Ni wapi tulianzia
HISTORIA YA AZANIA
10. Kwanza ni jiografia
Iko wapi Tanzania
Ni bara la Afrikiya
Upande wa Masharikia!
11. Ethiopia na Somalia
Juu zimetangulia
Kenya nayo yafuatia
Halafu ni Tanzania
12. Na katika historia
Hakuna jina Tanzania
Jina tumejipatia
Muungano tulipoingia
13. Wagiriki waliitia
Eneo letu Azania
Ni kabla ya kuingia
Kwa ukoloni Afrikiya
14. Kama vile wa Misria
Au watu wa Nubia
Na wale Wahabeshia
Sisi ni wa Azania!
15. Hivyo nawasimulia
Ni wapi tulianzia
Katika Historia
Hadi kuwa Tanzania
WATU WA AZANIA
16. Makabila yaliingia
Toka pande za dunia
Ni mengi kuwatajia
Alama zimebakia
17. Watu toka Arabia
Na pia Nigeria
Wakushi waliingia
Waliipenda Azania
18. Wangoni waliingia
Wana wa Zulu kwa mamia
Kutoka Kongo na Nubia
Wakatua Azania
19. Kwa miaka kwa mamia
Historia yatuambia
Mahusiano yalitulia
Wageni na Waafrikia
20. Ishirini zimefikia
Kati ya zile beti mia
Sasa nitasimulia
Ni nini kilitukia!
21. Biashara ya Azania
Uchina hadi India
Kilwa ilifanyikia
Shahidi ni historia
22. Waarabu walipofikia
Karne ya saba ilipotimia
Waliikuta Azania
Jamii iliyotulia
23. Walikuja na kuhamia
Nchi ilivyowavutia
Wakaishi na kuzalia
Na watu wa Azania
24. Jina wakatupatia
Kwa lugha ya Arabia
Ni ‘Zenji’ waliitia
Palipoitwa Azania
25. Sultani Selemania
Kutoka Ushirazia
Na meli kede kafikia
Pale Kilwa kahamia
26. Mrimba kampatia
Kisiwani ardhia
Utawala ukaingia
Na utamaduni wa Arabia
27. Lugha wakachangia
Misamiati ikaingia
Lugha ya Waswahilia
Utamaduni na dini pia
28. Jina waliitia
Ni ‘Zenji’ Naawambia
Mbali wakalifutia
Lile jina Azania!
29. Ni la kale Arabia
Al-Jahiz katuambia
Yule wa Mesopotamia
Siku hizi Iraqiya
30. Al-Muqadasi pia
Naye kayasimulia
Chuki hakuifichia
Ya Wazenj Arabia
31. Thelatha zimetimia
Ya tenzi zangu mia
Aroba nakimbilia
Hapa nawakumbushia
32. Ibn Batuta kajia
Kilwa akaifikia
Kafika kashuhudia
Kwa maneno kasifia!
33. Mji ulivyotulia
Umepangwa kuvutia
Na utumwa upo pia
Batuta kasimulia
KUKUA KWA UTUMWA
34. Zama za Waazania
Utumwa uliingia
Enzi za Waarabia
Kilele ulifikia
35. Wazee wetu mamia
Maelfu ya mia na mia
Nchi waliiachia
Kuchukuliwa Asia
36. Utumwa ukaivunjia
Familia ya Afrikiya
Mwangwi tukausikia
Ukipasua historia
37. Dini hawakuishikia
Utumwa kushikilia
Utu walituvunjia
Laana wakajipatia
38. Leo wanailipia
Na sisi tumetulia
Wao sasa wanalia
Maskini Arabia
KUINGIA KWA WARENO
39. Wareno walipoingia
Da Gama katungulia
Safari akipania
Ili afike India
40. Mombasa kaipitia
Malindi Sofala pia
Na pia akafikia
Kilwa iliyotulia
41.. Mara ya pili kajia
Na bunduki kashikia
Kilwa ikaangukia
Wazungu wakaingia
42. Miaka ikapitia
Na karne zikaishia
Mwarabu kajishindia
Mreno akakimbia
UTAWALA WA OMANI NA TAWALA ZA JADI
43. Omani ikashikia
Pwani ikashikilia
Malindi Zanzibar pia
Mombasa na Kilwa pia
44. Pwani ikiangukia
Kwa wale wa Arabia
Bara nawasimulia
Ni nini kilitukia
45. Jamii zilitulia
Za Wabantu asilia
Tawala kujiundia
Makabila kwa mamia
46. Imani walishikia
Za jadi kuabudia
Kazi wakajifanyia
Familia kujitunzia
47. Wachagga Wapare pia
Wanyakyusa wa Nubia
Wangoni waliingia
Kina Bambu kwa mamia
48. Wasukuma wakatulia
Maelfu ya Mamia
Biashara wakafanyia
Shahidi ni historia
49. Bara na Pwani pia
Falme na tawala mia
Ndivyo ilivyotukia
Hadi Mdachi kuingia!
50. Hamsa zimetimia
Kwenye zile beti mia
Pumzi naishushia
Nusu imenibakia
UJIO WA MJERUMANI
51. Mjerumani kuingia
Ni upya wa historia
Nchi akajigawia
Mikataba akaingia
52. Karli Petero kapitia
Uzigua kafikia
Usagara nako pia
Wazee kahadaia
53. Mikataba wakaingia
Nchi wakampatia
Na walipozindukia
Nchi wameiachia!
MASHUJAA MABABU
54. Wazee wakanuia
Mdachi kumpingia
Harakati kuanzia
Dhulma kuikatalia
55. Bushiri alianzia
Wadachi kushambulia
Ndipo walimvamia
Kwa kamba kaning’inia
56. Bwana Heri kaingia
Uzigua akipigania
Mdachi akamjia
Heri akasalimia
57. Kilwa ikaibukia
Hapa nawakumbushia
Makunganya na mamia
Mdachi kumpigia
58. Mdachi karudishia
Chifu akakimanyia
Kilwa ikaangukia
Kivinje akaning’inia
59. Wayao wakapigia
Machemba katangulia
Miaka kenda ikapitia
Na mwisho kasalimia
60. Isike kapigania
Tabora kuizuia
Mdachi kamzidia
Isike akakimbia
61. Kuliko kusalimia
Amori kajifungia
Shujaa kawaapia
Baruti kajipigia!
62. Sasa nawasimulia
Mwana wa Mtwa sikia
Uhehe kairithia
Mkwawa nawaambia
63. Lugalo akavamia
Wadachi kawazidia
Silaha kazipakia
Kalenga katimkia
64. Vita kavipigania
Na mwaka ukapitia
Wadachi wakamhofia
Sifa kumtangulia
65. Wa tatu ulipoingia
Wadachi wameumia
Ndipo wakajipangia
Mtwa kummalizia
66. Kalenga wakavamia
Mkwawa kawakimbia
Msituni kaingia
Bado kawang’ang’ania
67. Wadachi wanasimulia
Jinsi walimhofia
Tuzo waliahidia
Hakuna msalitia
68. Miaka ikapitia
Minne nawaambia
Ndipo wakampatia
Jeshi kumzungukia
69. Mkwawa kadhamiria
Uhai kuuachia
Kuliko kuabia
Risasi kajipigia!
70. Kwenye zile beti mia
Sabini zimetimia
Zinahusu Tanzania
Ni wapi ilianzia
VITA VYA MAJIMAJI
71. Wadachi hawakutulia
Amani hawakujulia
Kusini uliibukia
Uasi wa kihistoria
72. Mdachi katangazia
Kila kijiji kusikia
Pamba kujilimia
Na kodi kulipia
73. Mababu wakachukia
Jerumani kumtumikia
Kinjekitile kusikia
Mizimu kumshukia
74. Uasi ukalipukia
Mahenge na Kilwa pia
Rufiji ulifikia
Umatumbi kuingia
75. Chabruma kaingia
Lumecha kapigania
Na mashujaa mamia
Nchi walipigania!
76. Mdachi kawazidia
Silaha alitumia
Bunduki mabomu pia
Mbali kawamalizia
77. Mwisho ulipofikia
Songea kasalimia
Kama waliotangulia
Shujaa kaning’inia!
VITA YA KWANZA YA DUNIA
78. Kwa muda tulitulia
Miaka ikapitia
Ndipo nchi kuingia
Vita ya kwanza ya dunia
79. Mdachi kaachilia
Vita hakujishindia
Mwingereza kuingia
Nchi kuidhaminia
HARAKATI ZA UHURU
80. Miaka ikipitia
Watu wakiamkia
Fikra kuzikumbatia
Utu kuupigania
81. Jumuiya wakajiundia
Na vyama vya kushirikia
Mwanza na Moshi Pia
Tanga na vilifikia
82. TAA ilipoanzia
Mashujaa kuingia
Uhuru kupigania
Wakati ulipotimia
83. Vita ya pili ya dunia
Mwamko uliwazidia
Kutaka kujitawalia
Hilo walitamania
84. Mwingereza kumkatalia
Meru hadi Mwanza pia
Makuli kuwakatalia
Utu wao kudaia
85. Nyerere anaingia
Wakati ulitimia
Abdulwahid katulia
Yupo Mzee Rupia
86. Mengine nawatajia
Wale waliotangulia
Mashujaa wa Tanzania
Wachache nakumbushia
87. Dossa Azizi naanzia
Stephen Mhando pia
Kyaruzi kaingia
Na Shehe Amir Pia
88. TANU ilipoanzia
Yumo Mohammed Ramia
Jumbe Tambaza pia
Bibi Titi nawaambia
89. Nchi wakazungukia
Taifa kuamshia
Umoja kuupigania
Uhuru wakililia!
90. Muda ulipofikia
Mwingereza kaachia
Disemba tisa kuingia
Uhuru kutangazia
MUNGU IBARIKI TANZANIA
91. Tisini zimeishia
Kwenye zile beti mia
Mengi nimekumbushia
Ni wapi tuliianzia.
92. Mengi tumeyapitia
Ya machungu na kulia
Muungano tukaingia
Umoja kuurudishia
93. Tukaunda Tanzania
Mkoloni hakutupatia
Hila wamezitumia
Wengine wamedandia
94. Leo wanapigania
Kuivunja Tanzania
Ati wanakililia
Mkoloni alituachia
95. Damu ilimwagikia
Kuilinda Tanzania
Vipi tunawaachia
Wasotaka Tanzania?
96. Yote tuliyopitia
Sehemu ya historia
Makosa yalotukia
Hatuwezi kukimbia
97. Sasa tunashangilia
Tulipofika tumefikia
Na mengi yamebakia
Vizazi twaviachia
98. Wito ni kuwaachia
Ilo bora Tanzania
Waje kuifurahia
Mema tukiwaachia
99. Mwisho ninaufikia
Wa zile beti mia
Ee Mola ibarikia
Nchi yetu Tanzania
100. Iishi na kubakia
Nchi moja Tanzania
Kalamu naiachia
Zimetimu betie mia!
Ω
 
`
G
overnment commitment to disburse 40% which is Tsh10,000/- at the beginning of school year in 2011 was notmet.
`
In July-December 2010 schools received only Tsh 2,087which is less that Tsh 10,000/-
`
Question of mechanism in place to disbursed full capitationgrant on time.
 
R
ecommendations
`
Responsible authorities -to look why this situation,and address it urgently
`
Authorities need to commit to be moretransparent
-
Some
H
ead teachers refused to provideinformation.
 
³I 
f we don¶t address these issues, SEDP 
II 
 promise may not be realized´ 
³ 
Students will continue to finish school without the basic skills and competence to do well´ 
 
Thanks for listening

RAIS DK. JAKAYA KIKWETE AONGOZA WATANZANIA KATIKA SHEREHE ZA MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA

Friday, December 9, 2011


Rais Dk. Jakaya Kikwete akisalimiana na viongozi wa nchi mbalimbali waliohudhuria katika maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru wa Tanzania yanayofanyika kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam mchana huu hapa akisalimiana na Rais wa Namibia Mhshimiwa Hifikepunye Pohamba. FULLSHANGWE inakumuvuzishia moja kwa moja matukio ya maadhimisho hayo kutoka kwenye uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam ili kukujuza mambo mbalimbali yaliyojiri katika sherehe hizo.
Rais Jakaya Kikwete akielekea Jukwaa kuu mara baada ya kukagua gwaride katika sherehe za miaka 50 ya uhuru wa Tanzania kwenye uwanja wa Uhuru huku akiwa ameongoza na na Mkuu wa Majeshi nchini Jenerari Davis Mwamunyange.
Rais Jakaya Kikwete akikagua vikosi vya ulinzi na usalama wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru wa Tanzania kikosi hiki ni cha Jeshi la Wananchi wanawake
Rais Jakaya Kikwete akikagua vikosi vya ulinzi na usalama wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru wa Tanzania kikosi hiki ni cha Jeshi la Wananchi wanaume.
Rais jakaya Kikwete akipokea heshima wakati mizinga ikipigwa na jeshi la wananchi kwa heshima ya Rais.
Hiki ni kikosi cha Jeshi la wananchi wanamaji kikiwa tayari kutoa heshima kwa amiri jeshi mkuu na Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tamnzania Dk. Jakaya Kikwete.
Rais Dk. Jakaya Kikwete akipungia mkono wananchi wakati alipowasili kwenye uwanja wa uhuru kwa ajili ya kuongoza sherehe za miaka 50 ya Tanzania.
Msafara wa Rais Dk Jakaya Kikwete ukiwasili kwenye uwanja wa Uhuru tayari kwa kuongoza watanzania katika sherehe za miaka 50 ya Tanzania.
Walinzi wa rais walikuwa kivutio katika sherehe.wakati msafara wa Rais Dk. Jakaya Kikwete ukiwasili katika uwanja wa Uhuru leo.

Lulu amgeukia Mungu wake !

Friday, December 9, 2011



MatejaBAADA ya kufanya jitihada za hapa na pale za kujisafisha kufuatia kuandamwa na msururu wa skendo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, (pichani) ameamua kumgeukia Mungu, The Udaku Master, Ijumaa lina fulu data.
 

ANAKIRI KUTENDA DHAMBI NYINGI
Staa huyo mkali wa muvi za Kibongo na video za wanamuziki wa Kizazi Kipya, anakiri kutenda dhambi nyingi pamoja na umri wake mdogo wa miaka 18 hivyo kuhitaji utakaso kutoka kwa Mungu.

SASA ATEMBEA NA BIBLIA
Akizungumza na gazeti hili katika ‘intaviyu’ maalum ndani ya bustani mwanana za hoteli ya kifahari ya The Atriums iliyopo Sinza-Afrikasana, Dar es Salaam mwanzoni mwa wiki hii, Lulu alisema kwa sasa anatembea na Biblia ikiwa ni sehemu ya kutambua uwepo wa Mungu kila sehemu anapokwenda.

KISA CHA YOTE
Lulu alisema kuna siku alikaa na rafiki yake, akamwambia kuwa hivi sasa dunia imeharibika na kila wanachokifanya (maovu) ni marudio tu kwani kuna watu walishafanya uozo, lakini hawapo duniani.

AJIWEKA KARIBU NA MUNGU
Lulu aliweka kweupe kuwa tangu siku hiyo, aliamua kujiweka karibu na Mungu hivyo akatafuta kitabu hicho kitakatifu ili ajifunze Neno la Mungu kiundani ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kwenda mbinguni.
 

Lulu anayesali Kanisa Katoliki Parokia ya Kristo Mfalme Tabata, Dar es Salaam alifunguka:
“Sasa hivi popote ninapokwenda lazima niwe na Biblia. Hata katika kitanda ninacholala, ukibinua mto utakutana nayo.
“Ukweli ni kwamba katika kila ninachofanya ni lazima nisali kwanza.

AKIRI HIZI NI SIKU ZA UOVU
“Katika maisha tunayoishi na siku tulizonazo ni za uovu uliopindukia, nimegundua ni vyema kila ulipo uwe na utukufu wa Mungu kwa sababu hakuna anayejua siku wala saa ya kuondoka hapa duniani hivyo nawasihi watu wote kumjua Mungu,” Lulu.

KUTOKA IJUMAA
Kama Lulu amejitambua na kuamua kumrudia Mungu ni jambo zuri na anastahili pongezi, lakini tahadhari ni kwamba anapaswa kushikilia aina hiyo ya maisha na siyo baada ya siku mbili tusikie karudi tena kulekule.Chanzo ni http://www.globalpublishers.

Makamu Wa Rais Mgeni Rasmi Mkesha Wa Maadhimisho Ya Miaka 50 Ya Uhuru


|
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza kuwahutubia wananchi waliohudhuria mkesha wa sherehe za Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru, zilizofanyika usiku wa kuamkia leo Desemba 8 kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam.
Makamu wa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamanda Suleiman Koba, baada ya kuwasili kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo kuhudhuria Mkesha wa Sherehe za Maadhimisho ya sherehe za miaka 50 ya Uhuru.


Mafataki yakifyatuka baada ya kuzinduliwa rasmi na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akibonyesha Rimoti  kufyatua Mafataki ikiwa ni sehemu ya kuzindua rasmi Mkesha wa Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 50 Uhuru zilizofanyika kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja usiku wa kuamkia leo. Kutoka (kushoto) ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Idd, Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Mke wa Makamu wa Rais, Mama Zakhia Bilal na (kulia) ni Mke wa Makamu wa Rais, Mama Asha Bilal.
Rapa na mwimbaji wa Bendi ya TOT Plus, Jua Kali, akighani rap zake jukwaani wakati wa mkesha wa sherehe hizo.
Wasanii wa Kundi la Sanaa la Safi Theatre, wakionyesha umahiri wao jukwaani wa kucheza Sarakasi.
Baadhi ya Vijana waliohudhuria sherehe hizo
Baadhi ya Viongozi wa Kisiasa na wananchi waliohudhuria sherehe hizo
Wasanii wa Kikundi cha Sanaa cha JKT Mgulani, wakishambulia jukwaa kwa kucheza ngoma ya Bugobogobo ya Kabila la Wasukuma, wakati wa sherehe hizo.

HAPPY UHURU DAY: TANGANYIKA 50 YEARS!

|

Ndugu zangu,
Mjengwablog inawatakia WaTanzania furaha ya uhuru wa Tanganyika ambayo sasa ni Tanzania. Hii ni siku kubwa. Ni siku ya kutafakari kwa bidii. Miaka hamsini ijayo, wakati wengi wetu hatutakuwa duniani tena, watoto na wajukuu zetu watasheherekea jubilei ya Tanganyika kutimiza miaka 100!
Tujiulize sasa tulikotoka, tulipo sasa na tunakokwenda?
Siku Njema ya Uhuru kwenu nyote.
Maggid Mjengwa,
Iringa, Desemba 9, 2011.

Sherehe Za Miaka 50 Ya Uhuru Ujerumani

|

FFU wa Ngoma Africa Band kutoa burudani ya kukata na Mundu
CD ya "50 Uhuru Anniversary" inatamba Redioni
Watanzania wanaoishi Ujerumani ! na Full Shangwe ya Miaka 50 ya Uhuru !
Berlin Chereko !Chereko !

Umoja wa Tanzania Ujerumani (UTU) kuzinduliwa rasmi ! 10-12-2011 Berlin!

Kikosi Kazi cha Ngoma Africa band aka FFU,kimeshatua mjini Berlin kwa kazi moja tu,
nayo ni kushambulia na muziki wake katika kusherekea miaka 50 ya uhuru wa Tanzania.

Kuanzia 9 hadi 10-Dec-2011 mjini Berlin ambako ndipo hupo Ubalozi wa Tanzania na ndio
mji mkuu wa Ujerumani,kutakuwa hapatoshi kwani sherehe hizo zitaambatana na ufunguzi
wa UMOJA WA WATANZANIA UJERUMANI (UTU) siku ya jumamosi 10-12-2011,umoja
huo unawaunganisha watanzania wote waishio ujerumani,ulitiliwa nguvu na balozi Mh.Ngemera, umeshasajiliwa na viongozi wake ni Bw.Mfundo Peter Mfundo(mwenyekiti) na
Bi.Tullalumba Mloge (katibu),utaratibu unaonyesha kuwa sherehe hizo mjini Berlin zitaanza saa 9 mchana hadi usiku usio kwisha ambapo Ngoma Africa Band aka FFU,watatumbuiza na muziki wao,mahala patakapo fanyika sherehe Apostelkirche 1, 10738 Berlin,
UMOJA NI NGUVU WATANZANIA JITOKEZENI ! KUSHREKEA MIAKA 50 YA UHURU !
sikiliza muziki at www.ngoma-africa.com

WaTanganyika Walijawa Na Furaha Kuu Siku Kama Ya Leo......!

|


Desemba 9, 1961. Ni miaka 50 iliyopita. Nasi tunapaswa kufurahia na kutafakari, kwa bidii.