Blog yenu ya wananchi yenye habari motomoto za kijamii, Blog yenye kuelimisha, kuburudisha na kufurahisha. Wapenzi na wasomaji wetu tunaomba ushirikiano wenu ili kuendeleza Blog yetu, kwa pamoja tunaweza kuleta mabadiliko ya kweli.

Monday, February 27, 2012

MTU ANAYEAMINIKA KUWA MFUPI KULIKO WOTE DUNIANI

IMETHIBITISHWA WAZI KUWA HUYU NDIYE MTU MFUPI KULIKO WOTE DUNIANI


Chandra Dangi akiwa ameshikilia yveti vyake viwili vya rekodi ya dunia kwa ufupi wake.

Dangi akiwa katika meza ya chakula akijumika na jamaa zake .
Dangi akiwa kafunga mkanda ndani ya ndege kuelekea katika mji wa Kathmandu ambako ndipo alipokwenda kutambua  kuwa ndie yeye mtu mfupi kuliko wote duniani.
 
 

No comments:

Post a Comment

Msomaji wetu hakikisha unaheshimu mila na tamaduni za mwafrika,lugha zenye utata au kumkashifu mtu haitapendeza kuonekana kwenye post.Kumbuka vigezo na masharti ya comments kuzingatiwa.Asanteni sana kwa kuwa nasi kwenye blog yenu.