Blog yenu ya wananchi yenye habari motomoto za kijamii, Blog yenye kuelimisha, kuburudisha na kufurahisha. Wapenzi na wasomaji wetu tunaomba ushirikiano wenu ili kuendeleza Blog yetu, kwa pamoja tunaweza kuleta mabadiliko ya kweli.

Sunday, February 26, 2012

CUF WAJIKONGOJA TABORA,-Mtatiro na Sakaya walonga

MTATIRO NA WANANCHI WAKINYESHEWA NA MVUA LAKINI HAWAKUTOKA UWANJANI
Naibu Katibu mkuu wa CUF Julius Mtatiro amesisitiza ulazima mkubwa wa kujengwa viwanda vya Tumbaku Tabora na kulaani vikali vitendo vya polisi kunyanyasa raia na kuwanyang'anya raia mifugo yao.Nae Magdalena Sakaya ameponda sana shule za kata ambapo kuna wanafunzi Tabora wanakaa chini. Ziara ilianzia wilaya ya Igunga, Urambo, Kaliua, Sikonge na inaendealea wilaya zingine za mkoa wa Tabora.Ona baadhi ya picha
MTATIRO AKIHUTUBIA KALIUWA URAMBOMTATIRO JUKWAANI KALIUAWANCHI WAKIMSIKILIZA KWA MAKINI MTATIROMTATIRO AKIMUHOJI JAMBO MTOTO URAMBO MJINIWANANCHI WA URAMBO MJINI WAKIMSIKLIZA MTATIROWANANCHI WA URAMBO MJINI WAKIMSIKLIZA MTATIROClick image for larger version. 

Name: DSC07212.JPG 
Views: 0 
Size: 520.6 KB 
ID: 48204Click image for larger version. 

Name: DSC07218.JPG 
Views: 0 
Size: 626.3 KB 
ID: 48205Click image for larger version. 

Name: Mbunge wa viti maalumu kwa tiketi ya chama cha wananchi cuf akisalimiana na wazee wa jadi katika.JPG 
Views: 0 
Size: 573.5 KB 
ID: 48206Click image for larger version. 

Name: DSC07260.JPG 
Views: 0 
Size: 475.8 KB 
ID: 48207KALIUA
MAGDALENA SAKAYA AKIHUTUBIA WAKAZI WA URAMBO MJINI
MTOTO MWENYEKIPAJI CHA KUIMBA ALIPOOMBA NAFASI YA KUIMBA NA MTATIRO JUKWAANI SIKONGEJULIUS SAMAMBA MJUMBE WA BARAZA KUU AKIHUTUBIA SIKONGE
Attached Thumbnails Attached Thumbnails Click image for larger version. 

Name: Bibi kizee aliyebomolew  nyumba bila kulipwa fidia.JPG 
Views: 0 
Size: 1.02 MB 
ID: 48198   
 Jamiiforums
 

No comments:

Post a Comment

Msomaji wetu hakikisha unaheshimu mila na tamaduni za mwafrika,lugha zenye utata au kumkashifu mtu haitapendeza kuonekana kwenye post.Kumbuka vigezo na masharti ya comments kuzingatiwa.Asanteni sana kwa kuwa nasi kwenye blog yenu.