Blog yenu ya wananchi yenye habari motomoto za kijamii, Blog yenye kuelimisha, kuburudisha na kufurahisha. Wapenzi na wasomaji wetu tunaomba ushirikiano wenu ili kuendeleza Blog yetu, kwa pamoja tunaweza kuleta mabadiliko ya kweli.

Wednesday, February 29, 2012

Mitt Romney ashinda uteuzi wa Republican

Mitt Romney ashinda uteuzi wa chama cha Republican jimbo la Michigan


Mgombea anayepigiwa upatu kushinda uteuzi wa urais wa chama cha Republican katika uchaguzi mkuu wa mwezi novemba nchini Marekani, ameshinda uteuzi wa chama hicho katika jimbo la Michigan alikozaliwa.
Romney alishinda uteuzi huo baada ya kinyanganyiro kikali dhidi ya mpinzani wake wa karibu Rick Santorum.
Ushindi huo katika jimbo la Michigan umeonekana kuwa muhimu kwa bwana Romney kujikatia tikiti ya chama hicho kupambana na rais Barrack Obama.
Ameshukuru waliompigia kura na kuahidi kuendelea na juhudi zake za kutafuta uungwaji mkono.
Wachanganuzi wa masuala ya kisaisa wanasema ushindi wa Romney utampa nguvu zaidi hasa kwa kuwa kura za maoni zilikuwa zimeashiria kuwa mgombea mwenzake Bw Santorum huenda angeshinda.
Mitt Romney vile vile ameshinda uteuzi wa chama hicho katika jimbo la

BBC

No comments:

Post a Comment

Msomaji wetu hakikisha unaheshimu mila na tamaduni za mwafrika,lugha zenye utata au kumkashifu mtu haitapendeza kuonekana kwenye post.Kumbuka vigezo na masharti ya comments kuzingatiwa.Asanteni sana kwa kuwa nasi kwenye blog yenu.