Blog yenu ya wananchi yenye habari motomoto za kijamii, Blog yenye kuelimisha, kuburudisha na kufurahisha. Wapenzi na wasomaji wetu tunaomba ushirikiano wenu ili kuendeleza Blog yetu, kwa pamoja tunaweza kuleta mabadiliko ya kweli.

Saturday, January 14, 2012

Ngeleja atembelea mgodi wa tulawaka


Ngereja akitoa maelekezo kwa watendaji wa mgodi wa Tulawaka unaomilikiwa na Barrick, alikuwa akiwa kwenye machimbo
Waziri Ngereja akiwa wenye mgodi wa Kabanga Nickel uliko wilayani Biharamulo alikuwa akionyeshwa eneo la machimbo na meneja mkuu wa mgodi huo Kevin Olshefsk.
Ujumbe ulioambatana na Ngereja ukiwa tayari kuingia kwenye mgodi wa Tulawaka ulioko wilayani Ngara unaomiliwa na kampuni ya Barrick.
Sehemu ya machimbo ya mgidi wa Tulawaka uliko wilayani Biharamulo uliotembelewa na Waziri Ngereja.
Picha na Audax Mtiganzi

No comments:

Post a Comment

Msomaji wetu hakikisha unaheshimu mila na tamaduni za mwafrika,lugha zenye utata au kumkashifu mtu haitapendeza kuonekana kwenye post.Kumbuka vigezo na masharti ya comments kuzingatiwa.Asanteni sana kwa kuwa nasi kwenye blog yenu.