Blog yenu ya wananchi yenye habari motomoto za kijamii, Blog yenye kuelimisha, kuburudisha na kufurahisha. Wapenzi na wasomaji wetu tunaomba ushirikiano wenu ili kuendeleza Blog yetu, kwa pamoja tunaweza kuleta mabadiliko ya kweli.

Saturday, January 14, 2012

BILL GATE NA MKEWE WACHANGIA MBEGU ZA MAHINDI


Wajumbe wa Baraza la Seneti la Marekani pamoja na Melinda Gates wakimkabidhi mkulima wa Arusha mbegu maalumu za mahindi kama sehemu ya dhamira ya Mfuko wa Bill na Melinda Gates, kuchangia maendeleo nchini. Hafla hiyo ilifanyika katikati ya wiki hii, mkoani humo. (Picha ya Ubalozi wa Marekani).

No comments:

Post a Comment

Msomaji wetu hakikisha unaheshimu mila na tamaduni za mwafrika,lugha zenye utata au kumkashifu mtu haitapendeza kuonekana kwenye post.Kumbuka vigezo na masharti ya comments kuzingatiwa.Asanteni sana kwa kuwa nasi kwenye blog yenu.