Blog yenu ya wananchi yenye habari motomoto za kijamii, Blog yenye kuelimisha, kuburudisha na kufurahisha. Wapenzi na wasomaji wetu tunaomba ushirikiano wenu ili kuendeleza Blog yetu, kwa pamoja tunaweza kuleta mabadiliko ya kweli.

Saturday, January 21, 2012

mh.jeremia sumari aagwa leo karimjee


 Mh. William Lukuvi akitoa salamu za rambirambi kwa niaba ya serikali
 Mh.Freeman Mbowe akitoa salamu kwa niaba ya kambi rasmi ya upinzani
 Jeneza lililobeba mwili wa marehemu Mh.Jeremiah Sumari
 Wageni waliofika kutoa heshima zao za mwisho wakiongozwa na Mh rais ndg Jakaya Kikwete
 Waliofika kutoa heshima ya mwisho

Na Mdau wa Mjengwablog,Dar es salaam

No comments:

Post a Comment

Msomaji wetu hakikisha unaheshimu mila na tamaduni za mwafrika,lugha zenye utata au kumkashifu mtu haitapendeza kuonekana kwenye post.Kumbuka vigezo na masharti ya comments kuzingatiwa.Asanteni sana kwa kuwa nasi kwenye blog yenu.