Blog yenu ya wananchi yenye habari motomoto za kijamii, Blog yenye kuelimisha, kuburudisha na kufurahisha. Wapenzi na wasomaji wetu tunaomba ushirikiano wenu ili kuendeleza Blog yetu, kwa pamoja tunaweza kuleta mabadiliko ya kweli.

Saturday, January 14, 2012

Besigye wa Uganda aachia ngazi


Kiongozi mkuu wa upinzani Uganda, Kiiza Besigye, ametangaza kuachia ngazi mapema kama kiongozi wa chama cha Forum for Democratic Change.
Dr Besigye alisema anataka kujiunga na harakati pana zaidi za kijamii zinazoipa changamoto serikali ya Rais Yoweri Museveni.
Amepuuzilia mbali pendekezo kuwa kuondoka kwake kutauacha upinzani bila uongozi thabit.
Mwaka jana Dr Besigye alikamtwa mara kwa mara kwa kujihusisha na maandamano ya kuipinga serikali.

No comments:

Post a Comment

Msomaji wetu hakikisha unaheshimu mila na tamaduni za mwafrika,lugha zenye utata au kumkashifu mtu haitapendeza kuonekana kwenye post.Kumbuka vigezo na masharti ya comments kuzingatiwa.Asanteni sana kwa kuwa nasi kwenye blog yenu.