Blog yenu ya wananchi yenye habari motomoto za kijamii, Blog yenye kuelimisha, kuburudisha na kufurahisha. Wapenzi na wasomaji wetu tunaomba ushirikiano wenu ili kuendeleza Blog yetu, kwa pamoja tunaweza kuleta mabadiliko ya kweli.

Sunday, January 22, 2012

JK USO KWA USO NA DR SLAA IKULU


 Rais Kikwete akimkaribisha Dk.Slaa na viongozi wa CHADEMA ikulu jana usiku kwa mazungumzo tena kuhusu suala la katiba
 Wanapitia makabrasha kifungu kwa kifungu
 Dk.Slaa akitoa ufafanuzi juu ya masuala ambayo chama chake kinaamini ni muhimu kuzingatiwa kwa maslahi ya wananchi
Maongezi yanaendelea, kifungu kwa kifungu.saa tatu walikaa katika vikundi kile cha CHADEMA na kile cha serikali kujadili misimamo na makubaliano, kisha kikao kiliendelea hadi saa 5:30 usiku.tunasubiri taarifa rasmi
Picha kutoka IKULU

No comments:

Post a Comment

Msomaji wetu hakikisha unaheshimu mila na tamaduni za mwafrika,lugha zenye utata au kumkashifu mtu haitapendeza kuonekana kwenye post.Kumbuka vigezo na masharti ya comments kuzingatiwa.Asanteni sana kwa kuwa nasi kwenye blog yenu.