Blog yenu ya wananchi yenye habari motomoto za kijamii, Blog yenye kuelimisha, kuburudisha na kufurahisha. Wapenzi na wasomaji wetu tunaomba ushirikiano wenu ili kuendeleza Blog yetu, kwa pamoja tunaweza kuleta mabadiliko ya kweli.

Saturday, December 10, 2011

Maadhimisho Ya Miaka 63 Ya Haki Za Binadamu Duniani


  |
      
                                                                          



  Maadhimisho haya yameandaliwa na kituo cha sheria na haki za binadamu.Yamefanyika katika viwanja vya wazi kijitonyama karibu na jengo la TTCL.Mgeni rasmi alikuwa Anne Kilango Malechela MB.
Na Mjengwablog

No comments:

Post a Comment

Msomaji wetu hakikisha unaheshimu mila na tamaduni za mwafrika,lugha zenye utata au kumkashifu mtu haitapendeza kuonekana kwenye post.Kumbuka vigezo na masharti ya comments kuzingatiwa.Asanteni sana kwa kuwa nasi kwenye blog yenu.