Blog yenu ya wananchi yenye habari motomoto za kijamii, Blog yenye kuelimisha, kuburudisha na kufurahisha. Wapenzi na wasomaji wetu tunaomba ushirikiano wenu ili kuendeleza Blog yetu, kwa pamoja tunaweza kuleta mabadiliko ya kweli.

Thursday, December 8, 2011

ATI, "UTALII" NDIYO MAFANIKIO (PEKEE) YA J.K. KWA WATANZANIA ???


Katuni hii ya Said Michael imenifikirisha pamoja na ukweli kwamba pengine imedhamiriwa itazamwe kama kejeli au tashtiti (satire) tu. J.K. ameshaandamwa sana kuhusu safari zake za mara kwa mara na mjadala mkali uliowahi kurindima kuhusu suala hili ni ule ulioanzishwa na Profesa Mbele

Japo sijakisoma kitabu cha Wasifu wa Kisiasa wa J.K na kuona yanayosemwa humo, leo mtu angekuuliza utaje mafanikio na urithi wa J.K. kwa Watanzania ungetaja vitu gani mbali na "utalii" kama katuni hii inavyokejeli?  

http://matondo.blogspot.com/

No comments:

Post a Comment

Msomaji wetu hakikisha unaheshimu mila na tamaduni za mwafrika,lugha zenye utata au kumkashifu mtu haitapendeza kuonekana kwenye post.Kumbuka vigezo na masharti ya comments kuzingatiwa.Asanteni sana kwa kuwa nasi kwenye blog yenu.