tag:blogger.com,1999:blog-88917869912885837892024-03-14T10:58:08.521+03:00Geofemtz.Jisikie huru kabisa kuchangia lolote linalohusiana na jamii, uchumi, siasa, imani na elimu katika Blog yetu. Tunakaribisha habari, taarifa, picha za matukio, maoni na ushauri ili kuwekana sawa katika dunia yetu hii ndogo. Wote mnakaribishwa katika kuimarisha mshikamano wa kuleta mabadiliko ya kweli nchini mwetu!!Felix Wilbard Mpozemenyahttp://www.blogger.com/profile/07871139124516316683noreply@blogger.comBlogger451125tag:blogger.com,1999:blog-8891786991288583789.post-44204995326948740022022-08-19T10:33:00.000+03:002022-08-19T10:33:02.129+03:00Umuhimu wa Sensa<p> Kupanga ni kuchagua ukizingatia idadi ya unaowapangia kutegemeana na malighafi uliyonayo</p>Felix Wilbard Mpozemenyahttp://www.blogger.com/profile/07871139124516316683noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8891786991288583789.post-80269621874076314242022-08-19T10:31:00.001+03:002022-08-19T10:31:25.213+03:00Maisha ya uyaya na changamoto zake<div class="read-title">
Maisha ya uyaya na changamoto zake
</div>
<div class="read-news-date">
12 Mei, 2014</div>
<div class="read-news-icons">
<div class="fb-share-button fb_iframe_widget" data-href="http://www.tbc.go.tz/tbc/makala/Maisha-ya-uyaya-na-changamoto-zake.php" data-type="button_count">
<span style="height: 20px; vertical-align: bottom; width: 86px;"></span></div>
</div>
<img src="http://www.tbc.go.tz/makala/images/Binti%20kazi%202.jpg" />
<div class="file-title">
Binti wa Kazi</div>
Saa 10 Alfajiri huku mhazini akinadi kuwaamsha walio waamini kuelekea
kusali, naye jimbi akiwika akiwa na nia ya kuujulisha umma kuwa
kumekucha. Pengine ishara zote mbili azana na kuwika kwa jogoo zikiwa
ni kiashiria tosha cha kuukatisha usingizi wa binti wa kazi ambaye
anayetakiwa kuyaanza kuyatekeleza majukumu yake ya kila siku.<br /><br />
Hapo awali kulikuwa na msemo kuwa mayaya huamka Kombora na kulala Lala
salama wakilinganisha na vipindi vya redio hii wakati ule wa redio
Tanzania Dar es Salaam.
Basi msomaji leo hii katika makala haya maalumu ya siku ya wafanyakazi
Duniani inayofanyika Mei Mosi ya kila mwaka tunayajibu maswali haya:Yaya
anapatwa na matatizo gani akiwa kazini? Wana haki zipi na Je hali
mayaya huko ughaibuni ikoje? <br /><br />
Miaka ya hivi karibuni tumeshudia huitaji mkubwa wa mayaya majumbani,
mikahawani na ata katika maofisi ya kibalozi. Hilo linatokana na nchi
kusonga mbele, kwani katika nchi zinazoendelea hivi sasa kati ya asilimi
4 mpaka 10 ya watu wa mataifa haya likiwamo taifa letu
wanajishughulisha na kazi za majumbani. <br /><br />
Mwaka 2008 yaani miaka sita iliyopita shirika la kazi Duniani ILO
lilibainisha kuwa watu Milioni 100 duniani kote , mkono huenda kinywani
kwa kazi hizo.
ILO inapambanua kuwa kuongezeka kwa majukumu ya majumbani, kukosekana
kwa sera sahihi na zenye mizani kwa wafanyakazi wenye majukumu mengi
ofisini mathalani ujauzito na likizo na kukuwa kwa maendeleo ni ithibati
tosha ya kuongezeka kwa mahitaji ya mayaya majumbani.
<h1>
Maoni ya viongozi wa CHODAWU</h1>
CHODAWU ni chama chenye
dhamana ya wafanyakazi hawa nchini Tanzania na Bi Deoglasia Vuluwa ni
miongoni mwa maafisa waandamizi wa chama hiki. <br /><br />
“Mfanyakazi wa kazi za ndani anapaswa kuheshimika kama mfanyakazi
mwingine kwakulipwa mshahara stahiki mathalani mfanyakzi wa kawaida
anatakiwa kulipwa elfu arobaini kwa mwezi kama anaishi nyumbani kwako na
anaishi nyumbnai kwake mshahara wake unatakiwa kuwa zaidi.”Anasema
Bi Vuluwa <br /><br />
Jamii za kiafrika wakati na ata baada ya ujima zimekuwa na mgawanyiko wa
kazi, kuna majukumu ya wanawake na ya wanaume . Wanaume
wakijishugulisha na kuzalisha mali huku akinamama wakitekeleza na mambo
ya uzazi na nyumbani. <br /><br />
Mintarafu ya majukumu hayo ya kimaumbile, mahitaji kwa sasa yameongezeka
sana hasa ya kuwatunza watoto na kazi nyingine majumbani. Wanawake wa
leo wanafanya kazi ambazo zinaiongezea kipato kaya husika. Nako
majumbani majukumu yakiongezeka mzigo huo wanatishwa wafanyakazi wa
majumbani kwa hivyo soko la huhitaji wa mabinti lipo juu. <br /><br />
“Wafanyakazi wa majumbani wanapaswa kuheshimiwa mno na siyo kuwalisha
makombo na kuwapa ujira mdogo, nimeshudunia kuna familia wanalipwa elfu
ishirini yaani elfu kumi kumi mbili tu tunapaswa kuheshimu kazi
hizi.”Anabainisha mdau mmoja Mkoani Dar es Salaam. <br /><br />
Kutokana na mtazamo kuwa majukumu ya nyumbani ni ya wanawake kumefanya
jamii nyingi kuona kuwa ata haki ya umiliki wa mali zote za majumbani
ni za wanaume hili linaoneka ata hii leo katika hatua mbalimbali za
maamuzi ya mahakama mathalaini pale migogoro ya ndoa inapotokea. Mchango
wa mwanmke kulea na kutunza nyumba hauna thamani. Mathalani katika
kesi ya ndoa ya Omari Chikamba dhidi ya Fatuma Malunga shauri nambari
39 la mwaka 1989 la mahakama kuu palionekana mtazamo huu. Ninaweza
kusema kuwa hilo ndilo linalosababisha ata uthamani wa kazi za majumbani
kutopewa hadhi ya juu. <br /><br />
Bibi Chungu Wagala na Kiongozi wa CHODAWU Mkoa wa Dar es salaam
anazitaja haki zaidi za mayaya kuwa ni kwenda likizo, kupewa kazi
nyepesi akiwa mjamzito na kuheshimu sheria zote za kazi kama mfanyakazi
mwingine. <br /><br />
Kazi hizi mara zote zinafanywa na vijana ambao ndiyo kwanza wnayaanza
maisha na mara nyingi wanakuwa wamemaliza elimu yao ya msingi na
wachache sana huwa wamepata elimu ya sekondari. <br /><br />
Mwaka 2006 , Benki ya Dunia ilisema kuwa katika nchi nyingi
zinazoendelea kusini mwa jangwa la Sahara idadi ya watu inaongezeka kwa
kasi. Inabainishwa zaidi kuwa idadi ya vijana ifikapo mwaka 2050 vijana
kati ya umri wa miaka 15-24 itakuwa kubwa mno barani Afrika na Asia.
Ingawa idadi hiyo ikiongezeka hakuna hima inayofanyika kuongeza ajira ya
vijana hawa ambapo kwa nchi ya Kenya vijana kati ya miaka 15-30 ambao
ni asilimia 32 ya wakenya wote inakadiliwa asilimia 25 tu ndio wanaopata
ajira ambazo nyingi ni za kawaida kama za wakaka na wadada wa kazi. <br /><br />
Hapa nyumbani Tanzania vijana wa kati ya miaka 15—34 ni asimiia 56 ya
Watanzania wote ambapo theluthi ya hao wapo vijiweni wakizamia katika
kazi za majumbani kama vijana wenzao wa Kenya.
<h1>
Kisa cha dada Mfilipino</h1>
Hali imekuwa na ahuweni kwa wasichana kuliko wavulana kutokana na mtu
anayeweza kufanya kazi za nyumbani ni mwanamke tu kuliko mwanaume kwani
wasichana wengu hupata kazi hizi. Hali hii inasababisha baadhi ya vijana
hao kukimbilia ng’ambo ili wakiamini kuwa huko kazi zina nafuu. Lakini
hali ya huko si salama kweli Kama anavyothibitisha dada huyo mfilipino
aliyekimbilia Katari.<br /><br />
“Kufanya kazi majumbani nchini Katari ni pagumu sana, nimekuja mwaka
2008 miaka kadhaa iliyopita wakati nafanya kazi na mwajiri wangu wa
awali, hakunipa chakula, mishahara ilicheleweshwa na hakukuwa na muda wa
kupumzika. Kwa siku nilifanya kazi saa 14 kazi nikianza saa 12 asubuhi.<br /><br />
Ukilala, kama wao wameamka wakitaka uwatayarishie chochote huna budi
kuamka na kutekeleza hilo, huku majukumu mengine ya kupika na kupokea
simu zao kila mara wanapohitaji kuuliza jambo hapo nyumbani, sasa
kwanini yaya afanye kazi bila ya kula na hakuna muda wa kupumzika na
kulala. Ata mikataba haitiliwi maanani. Katika mkataba wangu natakiwa
kulipwa dola 400 lakini nalipwa dola 200 tu . Mbaya zaidi ata kibali
changu cha kusafiria kilichukuliwa na mwajiri wangu.<br /><br />
Niliruka jivu na kukanyaka moto, mwajili wangu wa pili alikuwa hatari
zaidi, yeye alitaka kunibaka ndani ya chumba changu. Alinipa pesa ambayo
niliikataa na kukataa kufanya nae ngono. Kwani kufanya hivyo halikuwa
jukumu lililonipeleka . Nilifika hapa kufanya kazi kwa manufaa ya
familia yangu na siyo michezo hiyo Kukataa kwangu kulisababisha kuondoka
kwake niliacha kila kitu changu isipokuwa nguo zangu na pesa ya nauli
ya Taxi tu iliyoweza kunipeleka kwa mwajiri mwingine. <br /><br />
Sasa kila nimuonapo mwanaume wa hapa katari naogofya mno, nadhani watanikamata, kunifunga na kunirejesha kwetu Ufilipino<br /><br />
Sasa nikirudi huko, Je familia yangu watakula nini? Kwa hiyo haina budi
nijifiche tu na kufanya vibarua vya muda ili nipate pesa ya kupeleka
kwetu. Kwa kweli hapa Katari ukiondoka kwa bosi wako ni tatizo kubwa
kwani utakosa uhalali wa kufanya kazi na vibali vyako vyote vitapotea.
Unaweza kupata kazi ya muda lakini wakigundulika wamekupa kazi
wanalipishwa faini na mie nitarudishwa kwetu.<br /><br />
Hivi sasa nimepanga nina chumba kidogo na najinunulia chakula .Pia nina
Kigali kidogo ila kikikaguliwa na polisi ni tatizo kubwa. Bado nahitaji
kuishi huku . Nahitaji kufanya kazi ili nipate kibali cha kuishin huku
kutoka uhamiaji.<br /><br />
Ninadhani kibali changu kipo Basmutaba eneo ambalo nilikaguliwa vidole
vyangu hapo awali. Ninajaribu kutafuta msaada kutoka idara ya CID
lakini hawajanipatia kibali changu hadi leo <br /><br />
Kibali hili kilitoka 2011 ili nikipate natakiwa kulipa rila 6500 na rila
6000 kupata mwajiri mwengine halali. Natakiwa kulipia tiketi ya kwenda
na kurudi nyumbani na kulipa faini ya rila 10 kila siku tangu mwaka 2008
mpaka leo hii. Kwa hiyo natakiwa kulipa rila 19500 wakati nafanya kazi
ya muda mfupi tu huo mshahara wenyewe, vipi familia yangu Ufilipino
sijui watafanya nini<br /><br />
Kulingana na ripoti Human Right watch ya Aprili 23 mwaka inabainisha
kuwa hali ni mbaya katika taifa hili linalojiandaa na kufanyika kwa
Kombe la dunia la mwaka 2022. Nchini nyengine zenye hali hii ni Saudi
Arabia na Imarachi ambapo mfanyakzi wa ndani kwa juma zima anafanya kazi
zaidi ya saa 100 ambapo ni sawa kwa siku anafanya kazi saa 17 ambapo
kihalali mfanyakazi anatakiwa kufanya kazi saa 8 kwa siku ama kama
kutakuwa na ziada ya kazi basi kutakuwepo na malipo ya ziada kwa muda
unaongezeka.
<h1>
Tume ya usuluhishi na mahakama ya kazi</h1>
Panapokuwepo na unyanyasaji wowote nchini petu sheria ya kazi ya mwaka
2004 na kanuni zake za mwaka 2007 zinatoa nafasi ya muhusika kupeleke
suala hilo Kwenye Tume ya Usuluhishi na uamuzi yaani CMA ata mayaya wana
nafasi hiyo kisheria lakini ni ukweli ulio wazi kuwa mayaya wengi
wamekuwa hawana mikataba ya kazi ambayo inaweza kuwasaidia pale hali
inapokuwa tofauti. Kwani mkataba ndiyo uthibitisho pekee wa mtu kufanya
kazi sehemu fulani na ndipo sehemu pekee panapoweza kubainisha haki na
wajibu wa kila mmoja . Chakusikitisha kwa muda mrefu uajiri wa
wafanyakazi za ndani inatumia mitindo ya kijamaa na kidugu huku wengine
wakiwaita binti na kaka wa wa kakazi kaka,/dada , wakimaanisha kuwa ni
sehemu ya familia zao lakini vitendo vimekuwa kinyume. Ukweli uliowazi
kuwa yaya au kaka wa kazi si ndugu ni mwajiriwa sehemu husika hivyo ni
wajibu wa kila mmoja kutenda haki stahiki.
<h1>
Mashauri ya mayaya mahakamani</h1>
Kwa hakika hali ya unyanyasaji wa mayaya imekuwa ni tatizo kubwa dunia
ebu soma kisa hiki cha binti Mtanzania.
“Mahakama ya kazi nchini Uingereza ilitoa hukumu ya ushindi kwa binti
yaya Mtanzania Bi Elizabeth Kawongo kwa kulipwa Paundi 58,583 sawa na
milio 130 kwa wakati huu kutokana na kutolipwa mishaharayake , kutopewa
nafasi ya kupumzika na kufanywa mtumwa.<br /><br />
Watuhumiwa walikabiliwa na tuhuma nyingine za kibaguzi kwa mfanyakzi
huyo. Mahakama hiyo ya Watford ilitoa uamuzi wake dhidi ya Ramadhani
Dhanji na mkewe Kudra Dhanji waliokuwa ni wazazi wa Zainab Alibhai
Muingereza aishie nchini Tanzania. Bi Zainabu Alibhai alimchukuwa binti
Elizabeth Kiwango na kumpeleka Uingereza kufanya kazi ya uyaya.
<img src="http://www.tbc.go.tz/makala/images/Binti%20wa%20kazi%201.jpg" />
<div class="file-title">
Binti wa Kazi</div>
Wakati wa kusikiliza ushahidi wa pande zote ilibainika kuwa kulikuwa na
makos kadhaa yaliyofanyika na walalamikiwa dhidi ya yaya Elizabeti,
ilibainika kuwa mara baada ya kutendewa ubaya huo aliyekuwa Kaimu
Balozi wa Tanzania nchini Uingereza wakati huo Bi Radhia Msuya na chama
cha Wanawake walimsaidia Elizabeth kupatia ushauri wa kisheria na
kufungua kesi.
Kulingana na mlolongo wa shitaka hilo Elizabeth alipelekwa London Julai
2006 na mmoja wa waaajiri wake ili kumsaida wakati alipoenda kufanyiwa
matibabu ya mguu lakini alipofika huko London Mama Alibhai
alimshurutisha Elizabeth kufaya kazi kwa wazazi wake kama yaya. Baadaye
alipokonywa kibali chake cha kusafiri.
Ilibainika kuwa Elizabeti alifanya kazi hadi saa 15 kwa kwa siku moja
kila siku ya juma bila mapumziko. Chakushangaza mama Alibhai alibaki
Uingereza kwa majuma mawili tu bila ya kupata matibabu yoyote ya kiungo
chochote cha mwili wake ila alikwenda kuhudhuria harusi ya binti yake.<br /><br />
Mahakama ilijulishwa kuwa baadaye Elizabeth aliambiwa kuwa hatorudi naye
Tanzania atabaki uingereza akiwa yaya kwa Mama wa Alibhai. Elizabeth
alitumikishwa sana na alipomwomba mama Alibhai waweze kurudi wote
Tanzania, Ombi hilo lilipokelewa na sikio lisilo sikivu. Badala yake ya
kufanya kazi kwa wazazi wa Bi Alibhai, Binti Elizabeth alipelekwa
nyumbani kwa ndugu mwingine wa familia hiyo akifanya kazi za ndani kama
vile kufua kupika na kufanya usafi.<br /><br />
Mtu kwake na mkataa kwao mtumwa, alipofika huko kila alipouliz na
kuomba kurudi nyumbani Tanzania aliambiwa kuwa kuwepo Ulaya kwake ni
ngekewa, ingawaje binti huyo alilazwa jikoni tena sakafuni na wakati wa
baridi kali. Akila makombo na vyakula vilivyopita muda wake.<br /><br />
Mungu bahati, siku moja aliomba ruhusa ya kwenda kusali , alilopata
ruhusa hiyo alipofika kanisani aliwaeleza jamaa wengine kwa yaliyomsibu
ndipo walipoweza kufanikisha kuonana na ubalozi wa Tanzania na chama cha
utetezi wa wanawake na kufanikisha kupata kibali chake cha kusafiri na
kurudi nyumbani Tanzania lakini ndugu Dhanji aliomba suala hilo
limalizika kimya kimya kwa kumpa Elizabeth paundi 380 ambapo Eliza
alizikatata hadi suala lake lilipomalizwa na mahakama.”<br /><br />
Wakati wafanyakazi wote wakisherekea siku hii ni wajibu wa kila mmoja
wetu kuthamini mchango wa mabinti na kaka wa kazi majumbani kwetu . Basi
kwa Kisa hicho ndiyo naufunga ukurasa wa makala haya ya siku ya
wafanyakazi duniani. Kumbuka Leo hii tulitupia jicho suala la
wafanyakazi wa majumbani
Felix Wilbard Mpozemenyahttp://www.blogger.com/profile/07871139124516316683noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8891786991288583789.post-22868917413275432422022-08-19T10:31:00.000+03:002022-08-19T10:31:05.767+03:00 ~Ngugi wa Thiong'o wrote:<p><br /></p><p><br /></p><p>Raila had refused to eat.He was on hunger strike. .He grew thin and pale.His right palm had gone dark,the arm had pimples and boils as well. He was receiving extraordinary punishment. He stood for his words. Dictators had to go. Moi had to go. </p><p><br /></p><p>I had been initially jailed for a year by the Kenyatta's regime. For criticising the government acts on my book,, "l will marry when I want". I had set up a revolutionary theatre ,this provoked the dictatorial regime. I was jailed for a year. </p><p><br /></p><p>Odingas's was involving. Seven years already in jail. He kept his words. Kenya needed a fresh air. He was willing to pay the price. I felt touched by his story. When I came to see him, he was denied a chance to talk to me. However he wisely did it in a writing. "Tell lda to ask the doctor to prescribe me these drugs, am slowly dying ".</p><p><br /></p><p>Soon his mother died.His other relatives including his aunt followed. He would never be allowed to attend any of the burrials. It was painful. It was Real torture. </p><p><br /></p><p>He remained in detention without trial. The government would not allow it. Soon he was transfred to Kamiti maximum prison. He was taken the torture corner. The isolation block. The detention camp. A prison within a prison. Here he was daily served with half cooked ugali with vegetable water with a few limp leaves floating around. And for the first time in two weeks, he was served with food. </p><p><br /></p><p>The blows to his head dazed him.He fell on the floor and lay there. Rono,a GSU officer, and others jumped from his head to his genitals.His left leg twisted and was confirmed broken. He was either going to speak the truth or become a dead meat. He waited for the end, but it did not come. But still Odinga refused to give in. ...</p><p><br /></p><p>Raila Odinga genuinely fought for our second liberation,</p><p>(Copy and paste)</p>Felix Wilbard Mpozemenyahttp://www.blogger.com/profile/07871139124516316683noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8891786991288583789.post-69732256148452789292022-08-19T10:27:00.002+03:002022-08-19T10:27:17.068+03:00Nionyeshe rafiki nitakueleza tabia zako<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEgUJsCNcTh1rlsamYmltPGlYWUjduN_DONLFmZOx_Eh5evmMRgd_eQeNWA8aAOcWe3puxpUeKzbRlguZKChoIdAAMZ8C0TR6pEhiYh6XbpGqAZ7nkOJOKgp9yed3ARKyBpuhkd5d0jyextSfH-kEGPR0TaosdekvlhLfv8PVGhBzyzQswlrXOFQfadwfg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img alt="" data-original-height="540" data-original-width="526" height="240" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/a/AVvXsEgUJsCNcTh1rlsamYmltPGlYWUjduN_DONLFmZOx_Eh5evmMRgd_eQeNWA8aAOcWe3puxpUeKzbRlguZKChoIdAAMZ8C0TR6pEhiYh6XbpGqAZ7nkOJOKgp9yed3ARKyBpuhkd5d0jyextSfH-kEGPR0TaosdekvlhLfv8PVGhBzyzQswlrXOFQfadwfg" width="234" /></a></div><br />Felix Wilbard Mpozemenyahttp://www.blogger.com/profile/07871139124516316683noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8891786991288583789.post-37588333368209613392014-06-07T14:38:00.001+03:002014-06-07T14:42:54.686+03:00MASHABIKI MILIONI 3.5 KUTAZAMA MECHI 64 ZA KOMBE LA DUNIA BRAZIL<h3 class="post-title entry-title" itemprop="name">
</h3>
<div class="post-header">
</div>
<h1 style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: Georgia, serif; font-size: 12pt;"> <div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://1.bp.blogspot.com/-NVk-YZlqrGc/U5K9n5ulRFI/AAAAAAAAEBw/0PP-WUMWFDg/s1600/480px-WC-2014-Brasil.svg.png" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://1.bp.blogspot.com/-NVk-YZlqrGc/U5K9n5ulRFI/AAAAAAAAEBw/0PP-WUMWFDg/s1600/480px-WC-2014-Brasil.svg.png" height="320" width="257" /></a></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
</span></h1>
<div class="MsoNormal" style="margin-bottom: 0.0001pt;">
<span style="font-family: "Georgia","serif"; font-size: 12.0pt;"><b>Na James Truman, brotherdanny5.blogspot</b></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-bottom: 0.0001pt;">
<span style="font-family: "Georgia","serif"; font-size: 12.0pt;"><b><br /></b></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-bottom: 0.0001pt;">
<span style="font-family: "Georgia","serif"; font-size: 12.0pt;"><b>Sao Paulo, Brazil</b></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-bottom: 0.0001pt;">
<span style="font-family: "Georgia","serif"; font-size: 12.0pt;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-bottom: 0.0001pt;">
<span style="font-family: "Georgia","serif"; font-size: 12.0pt;">JUMLA ya
mashabiki 3,531,211 wanatarajiwa kuingia viwanjani kutazama mechi 64 za fainali
za Kombe la Dunia zitakazofanyika nchini Brazil kuanzia Juni 12, mwaka huu.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-bottom: 0.0001pt;">
<span style="font-family: "Georgia","serif"; font-size: 12.0pt;">Mashabiki
hao watatinga kwa nyakati tofauti katika viwanja 12 vitakavyotumika katika
fainali hizo za 20, ikiwa ni idadi kubwa zaidi kulinganisha na fainali za mwaka
2010 zilizofanyika nchini Afrika Kusini.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-bottom: 0.0001pt;">
<span style="font-family: "Georgia","serif"; font-size: 12.0pt;">Hata
hivyo, Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) limetenga jumla ya tiketi
3,334,524 kwa ajili ya fainali hizo, lakini ikiwa mashabiki wataingia kwa idadi
halisi ya viwanja hivyo, jumla yake watakuwa 3,531,211.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-bottom: 0.0001pt;">
<span style="font-family: "Georgia","serif"; font-size: 12.0pt;">Sehemu
kubwa ya tiketi zilizotengwa na FIFA zitagawiwa kwa makundi kama ya
wafanyabiashara washirika, wanahabari na wageni maalum. Tiketi zitakazouzwa
zinakadiriwa kuwa 1.1 milioni ambapo 400,000 kati yake ni kwa ajili ya
Wabrazili na 700,000 kwa mashabiki kutoka nje. Kwa kila mechi, asilimia 8 ya
mauzo ya tiketi itakwenda kwa timu zinazoshiriki. </span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-bottom: 0.0001pt;">
<span class="mw-headline"><span style="font-family: Georgia, serif; font-size: 12pt;">Hadi kufikia Agosti 20, 2013 jumla ya tiketi 2.3 milioni zilikuwa
zimeuzwa ndani ya saa 24 tu na hadi kufikia Oktoba 2013 kulikuwa na maombi ya
tiketi milioni 6. Bei ya tiketi hizo inaanzia Dola 12.50 kwa mechi za awali
wakati mechi ya fainali tiketi zitauzwa kwa Dola 990.</span></span><span class="mw-headline"><span style="font-family: "Georgia","serif"; font-size: 12.0pt;"></span></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-bottom: 0.0001pt;">
</div>
<div class="MsoNormal" style="margin-bottom: 0.0001pt;">
<b><span style="font-family: "Georgia","serif"; font-size: 12.0pt;">Estadio do Maracana</span></b></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://4.bp.blogspot.com/-FSLObdFYIEA/U5K-pI_26AI/AAAAAAAAEB4/mzQjN5q-sjc/s1600/Maracan%C3%A3.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://4.bp.blogspot.com/-FSLObdFYIEA/U5K-pI_26AI/AAAAAAAAEB4/mzQjN5q-sjc/s1600/Maracan%C3%A3.jpg" height="213" width="320" /></a></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-bottom: 0.0001pt;">
<span style="font-family: "Georgia","serif"; font-size: 12.0pt;"><br /></span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-bottom: 0.0001pt;">
<span style="font-family: "Georgia","serif"; font-size: 12.0pt;">Taarifa
zinaonyesha kwamba, uwanja wa Maracana ulioko jijini Rio de Janeiro
umekarabatiwa upya kwa ajili ya fainali za mwaka huu zinazofanyika miaka 64
tangu zilipofanyika nchini humo mwaka 1950. Uwanja huo unaotumiwa na klabu
kongwe nchini humo za Fluminense na Flamengo na ulifunguliwa Juni 2013 kwa
mechi baina ya Brazil na England.</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Estadio
do Maracana ulitumiwa kwenye mechi ya fainali ya Kombe la Dunia mwaka 1950,
ambapo mashabiki 174,000 waliingia na kuishuhudia Uruguay ikiichapa Brazil 2-1.</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Uwanja
huo wenye uwezo wa kuingiza watazamaji 73,531 ndio utakaotumika kwa mechi ya
fainali Julai 13, 2014, lakini pia utahusisha mechi nyingine sita na hivyo
kufanya jumla ya watazamaji watakaoingia uwanjani hapo kuwa 514,717.</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Mechi
nyingine zitakazochezewa hapo ni mechi za Kundi F baina ya Argentina na
Bosnia&Herzegovina (Juni 15, 2014); Hispania na Chile (Juni 18, 2014);
Ubelgiji na Russia (Juni 22, 2014); Ecuador na Ufaransa (Juni 25, 2014);
Mshindi Kundi C na Mshindi wa Pili Kundi D (Juni 28, 2014); na Robo Fainali
(Julai 4, 2014).</span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-bottom: 0.0001pt;">
</div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<b><span style="font-family: "Georgia","serif";">Arena de Sao Paulo (Corinthians)</span></b></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://2.bp.blogspot.com/-r_LIIroS10g/U5LAHgVFI-I/AAAAAAAAECE/62Kkf_5ObEE/s1600/Arena+de+S%C3%A3o+Paulo+-+Arena_Corinthians_West_Building.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://2.bp.blogspot.com/-r_LIIroS10g/U5LAHgVFI-I/AAAAAAAAECE/62Kkf_5ObEE/s1600/Arena+de+S%C3%A3o+Paulo+-+Arena_Corinthians_West_Building.jpg" height="266" width="400" /></a></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<b><span style="font-family: "Georgia","serif";"><br /></span></b></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Uwanja
huu uko jijini hapa Sao Paulo, ambako ndiko soka ilikozaliwa kwa nchi ya Brazil.
Unatumiwa na klabu kongwe ya Corinthians na una uwezo wa kuingiza watazamaji
65,000. Sao Paulo ni mji ulioko Kusini Mashariki ma Brazil na unafahamika kama
Terra da Garoa kutokana na mvua kunyesha mara kwa mara.</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<b><span style="font-family: "Georgia","serif"; font-weight: normal; mso-bidi-font-weight: bold;">Katika uwanja
huu jumla ya mechi sita zitachezwa na kuingiza watazamaji 390,000 katika
fainali hizo. </span></b></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<b><span style="font-family: "Georgia","serif"; font-weight: normal; mso-bidi-font-weight: bold;">Mechi
zitakazochezewa hapo ni ile ya ufunguzi baina ya wenyeji Brazil na Croatia</span></b><b><span style="font-family: "Georgia","serif";"> (</span></b><span style="font-family: "Georgia","serif";">Juni 12, 2014); Uruguay na England (Juni 19, 2014); Uholanzi
na Chile (Juni 23, 2014); Korea Kusini na Ubelgiji (Juni 26, 2014); Mshindi
Kundi F na Mshindi wa Pili Kundi E (Julai 1, 2014); na Nusu Fainali (Julai 9,
2014).</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
</div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<b><span style="font-family: "Georgia","serif";">Estadio Nacional Mane
Garrincha</span></b></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://2.bp.blogspot.com/-jdGoVU0OAOg/U5LAdA--TyI/AAAAAAAAECM/lpuiOaZUINQ/s1600/Est%C3%A1dio+Nacional-Brasilia_Stadium_-_June_2013.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://2.bp.blogspot.com/-jdGoVU0OAOg/U5LAdA--TyI/AAAAAAAAECM/lpuiOaZUINQ/s1600/Est%C3%A1dio+Nacional-Brasilia_Stadium_-_June_2013.jpg" height="266" width="400" /></a></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<b><span style="font-family: "Georgia","serif";"><br /></span></b></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Uwanja
huu wenye uwezo wa kuingiza jumla ya watazamaji 68,009 kwa wakati mmoja, uko
jijini Brasilia, mji mkuu wa Brazil tangu mwaka 1960 uliochukua nafasi ya Rio
de Janeiro.</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Jina
la uwanja huo limetokana na nyota wa zamani wa klabu ya Botafogo na Brazil, Manuel
‘Mane’ Garrincha, ambaye alikuwa mmoja wa wanasoka mahiri nchini humo katika
miaka ya 1950 na 1960.</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Ndani
ya uwanja huo mpya kutachezwa mechi 7 na jumla ya mashabiki 476,063 anatarajiwa
kuhudhuria mechi hizo.</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Mechi
zitakazochezwa hapo ni baina ya Uswisi na Ecuador (Juni 15, 2014); Colombia na
Brazil (Juni 19, 2014); Cameroon na Brazil (Juni 23, 2014); Ureno na Ghana (Juni
26, 2014); Mshindi Kundi E na Mshindi wa Pili Kundi F (Juni 30, 2014); Robo
Fainali (Julai 5, 2014); na Mechi ya kutafuta mshindi wa tatu (Julai 12, 2014).</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
</div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<b><span style="font-family: "Georgia","serif";">Estadio Castelao</span></b></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://3.bp.blogspot.com/-g3aLjz-P4Ls/U5LAyuB-4vI/AAAAAAAAECU/FTI1ygSYvSc/s1600/Est%C3%A1dio+Castel%C3%A3o+-+Fortaleza_Arena_on_March_2014..jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://3.bp.blogspot.com/-g3aLjz-P4Ls/U5LAyuB-4vI/AAAAAAAAECU/FTI1ygSYvSc/s1600/Est%C3%A1dio+Castel%C3%A3o+-+Fortaleza_Arena_on_March_2014..jpg" height="266" width="400" /></a></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<b><span style="font-family: "Georgia","serif";"><br /></span></b></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Uwanja
huu uko jijini Fortaleza, Kaskazini Mashariki mwa Brazil, na una uwezo wa
kuingiza watazamaji 58,704. Klabu zinazoutumia uwanja huu ni Ceara SC na
Ferroviario AC na ndio utakaotumika kwa mechi ya pili ya Brazil ya hatua ya
makundi.</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Fortaleza
ni maarufu kwa utalii, fukwe nzuri na vyakula vya aina yake na unatajwa kuwa na
hali ya Kitropiki.</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Jumla
ya mechi sita zitachezwa hapa na mashabiki 352,224 wanatarajiwa kuingia
uwanjani. Mechi hizo ni Uruguay na Costa Rica (Juni 14, 2014); Brazil na Mexico
(Juni 17, 2014); Ujerumani na Ghana (Juni 23, 2014); Ugiriki na Ivory Coast (Juni
24, 2014); Mshindi Kundi B na Mshindi wa Pili Kundi A (Juni 29, 2014); na Robo
Fainali (Julai 4, 2014).</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
</div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<b><span style="font-family: "Georgia","serif";">Estadio Mineirao</span></b></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://2.bp.blogspot.com/-qzOoXh6UImE/U5LBCOhGRYI/AAAAAAAAECc/VSXi48j4ne0/s1600/800px-Novo_mineir%C3%A3o_a%C3%A9rea.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://2.bp.blogspot.com/-qzOoXh6UImE/U5LBCOhGRYI/AAAAAAAAECc/VSXi48j4ne0/s1600/800px-Novo_mineir%C3%A3o_a%C3%A9rea.jpg" height="266" width="400" /></a></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<b><span style="font-family: "Georgia","serif";"><br /></span></b></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Huu
ni uwanja unaotumiwa na klabu ya Cruzeiro. Uko katika Jiji la Belo Horizonte,
umbali wa saa moja tu kutoka Jiji la Rio de Janeiro na ni mji usio na gharama
kubwa sana kwa mashabiki wa kigeni.</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Hapa
ndipo mwanasoka mahiri duniani, Ronaldo de Lima, alipoanza kung’ara akiwa na
klabu ya Cruzeiro.</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Uwanja
huu una uwezo wa kuingiza watazamaji 57,483 ambao utachezewa pia mechi ya nusu
fainali.</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Jumla
ya mashabiki 344,898 wanatarajiwa kuingia kwenye uwanja huu katika mechi sita
zitakazochezwa hapa.</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Mechi
zitakazochezwa ni baina ya Colombia na Ugiriki (Juni 14, 2014); Ubelgiji na
Algeria (Juni 17, 2014); Argentina na Iran (Juni 21, 2014); Costa Rica na
England (Juni 24, 2014); Mshindi Kundi A na Mshindi wa Pili Kundi B (Juni 28,
2014); na Nusu Fainali (Julai 8, 2014).</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
</div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<b><span style="font-family: "Georgia","serif";">Estadio Beira-Rio</span></b></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://3.bp.blogspot.com/-TrDDMqzMNho/U5LBYOjF7cI/AAAAAAAAECk/mGIgL_331X8/s1600/Beira-Rio_Innauguration,_2014.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://3.bp.blogspot.com/-TrDDMqzMNho/U5LBYOjF7cI/AAAAAAAAECk/mGIgL_331X8/s1600/Beira-Rio_Innauguration,_2014.jpg" height="266" width="400" /></a></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<b><span style="font-family: "Georgia","serif";"><br /></span></b></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Uwanja
huu uko jijini Porto Alegre na una uwezo wa kuingiza watazamaji 48,849 ambapo
pia unatumiwa na klabu mbili za Internacional na Gremio. Upo kando ya Mto
Guaiba. </span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Porto
Alegre ni mji wenye mvua kipindi cha Juni na Julai na visiwa kadhaa, kimojawapo
ni Lago de Patos kilichozungukwa na miti karibu milioni moja.</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Hapa
patachezewa mechi tano na hivyo watazamaji 244,245 wanatarajiwa kuingia
uwanjani.</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Mechi
zitakazochezewa hapo ni Ufaransa na Honduras (Juni 15, 2014); Australia na
Uholanzi (Juni 18, 2014); Korea Kusini na Algeria (Juni 22, 2014); Nigeria na
Argentina (Juni 25, 2014); na Mshindi Kundi G na Mshindi wa Pili Kundi H (Juni
30, 2014).</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
</div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<b><span style="font-family: "Georgia","serif";">Arena Pernambuco</span></b></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://1.bp.blogspot.com/-aVHY8cm0Uig/U5LB6w3CrYI/AAAAAAAAECs/BmnvbBwD30U/s1600/Arena+Pernambuco.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://1.bp.blogspot.com/-aVHY8cm0Uig/U5LB6w3CrYI/AAAAAAAAECs/BmnvbBwD30U/s1600/Arena+Pernambuco.jpg" height="266" width="400" /></a></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<b><span style="font-family: "Georgia","serif";"><br /></span></b></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Huu
ni uwanja ulioko jijini Recife na unatumiwa na klabu maarufu za Nautico, Santa
Cruz na Port ukiwa na uwezo wa kuingiza watazamaji 44,248.</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Recife
ni mji ulioko kwenye Pwani ya Kaskazini Mashariki ya Brazil, ulitumika mara ya
mwisho katika mechi ya Kombe la Dunia 1950. </span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Huu
ni mji maarufu kwa uchumi wa Brazil, lakini wakazi wake ni mashabiki wa soka
waliopitiliza.</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Jumla
ya mechi tano zitachezwa hapa na mashabiki 221,240 wanatarajiwa kushiriki.
Mechi hizo ni kati ya Ivory Coast na Japan (Juni 14, 2014); Italia na Costa
Rica (Juni 20, 2014); Croatia na Mexico (Juni 23, 2014); Marekani na Ujerumani
(Juni 26, 2014); na Mshindi Kundi D na Mshindi wa Pili Kundi C (Juni 29, 2014).</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
</div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<b><span style="font-family: "Georgia","serif";">Arena Fonte Nova</span></b></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://3.bp.blogspot.com/-qEEQn0bjB7w/U5LCKcGc1-I/AAAAAAAAEC0/ZlfCSkdESa4/s1600/Arena+Fonte+Nova.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://3.bp.blogspot.com/-qEEQn0bjB7w/U5LCKcGc1-I/AAAAAAAAEC0/ZlfCSkdESa4/s1600/Arena+Fonte+Nova.jpg" height="266" width="400" /></a></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<b><span style="font-family: "Georgia","serif";"><br /></span></b></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Huu
uwanja uko kwenye Jiji la Salvador ukiwa na uwezo wa kuingiza watazamaji 52,048
na unatumiwa na klabu za Bahia na Vitoria. Uwanja huo utashuhudia mechi sita
kwenye fainali hizo. Waandaaji wanasema uwanja huo mpya umejengwa kisasa na una
migahawa, makumbusho ya soka, maduka, hoteli na kumbi za sherehe.</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Mji
wa Salvador ni uko Kaskazini mwa Brazil na ndio uliokuwa mji mkuu wa kwanza wa
nchi hiyo.</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<b><span style="font-family: "Georgia","serif"; font-weight: normal; mso-bidi-font-weight: bold;">Mechi
zitakazochezwa hapo ni kati ya Hispania na Uholanzi (</span></b><span style="font-family: "Georgia","serif";">Juni 13, 2014); Ujerumani na Ureno (Juni
16, 2014); Uswisi na Ufaransa (Juni 20, 2014); Bosnia&Herzegovina na Iran (Juni
25, 2014); Mshindi Kundi H na Mshindi wa Pili Kundi G (Julai 1, 2014); na Robo
Fainali (Julai 5, 2014).</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Jumla
ya watazamji 312,288 wanatarajiwa kushuhudia mechi hizo uwanjani hapo.</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
</div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<b><span style="font-family: "Georgia","serif";">Arena Pantanal</span></b></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://4.bp.blogspot.com/-zVlNcrGawJs/U5LCdVVcyUI/AAAAAAAAEC8/t2J2mwcKXxY/s1600/Cuiaba_Arena+Pantanal.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://4.bp.blogspot.com/-zVlNcrGawJs/U5LCdVVcyUI/AAAAAAAAEC8/t2J2mwcKXxY/s1600/Cuiaba_Arena+Pantanal.jpg" height="266" width="400" /></a></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<b><span style="font-family: "Georgia","serif";"><br /></span></b></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Uwanja
huo upo kwenye mji wa Cuiaba, Magharibi mwa Brazil, Kusini mwa Misitu ya
Amazon. Unafahamika kama ‘Green City’ na ni maarufu kwa utalii licha ya kwamba
kwa kipindi cha Juni hadi Julai hali ya hewa inakuwa tatizo kutokana na joto
kufikia nyuzi 40.</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Uwanja
huo uliboreshwa kwa ajili ya fainali za Kombe la Dunia na utatumika kwa ajili
ya mechi nne. Una uwezo wa kuingiza watazamaji 42,968. Ni nyumbani kwa klabu za
Cuiaba na Mixto.</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Hapa
jumla ya mashabiki 171,872 wanatarajiwa kushuhudia mechi hizo nne za Chile na
Australia (Juni 13, 2014); Russia na Korea Kusini (Juni 17, 2014); Nigeria na
Bosnia&Herzegovina (Juni 21, 2014); na Japan na Colombia (Juni 24, 2014).</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
</div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<b><span style="font-family: "Georgia","serif";">Arena Amazonia</span></b></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://1.bp.blogspot.com/-yXB-uEAUa-0/U5LCqm554JI/AAAAAAAAEDE/HOLwrWoJJVo/s1600/Amazonia_Arena.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://1.bp.blogspot.com/-yXB-uEAUa-0/U5LCqm554JI/AAAAAAAAEDE/HOLwrWoJJVo/s1600/Amazonia_Arena.jpg" height="266" width="400" /></a></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<b><span style="font-family: "Georgia","serif";"><br /></span></b></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Uwanja
huu uko mjini Manaus, mji ambao upo katikati ya misitu ya Amazon. Una uwezo wa
kuingiza watazamaji 42,374.</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Mji
huo unaelezwa kwamba siyo mahali pazuri sana kwa soka kutokana na kuwa katikati
ya misitu, hata hivyo waandaaji wameamua fainali za Kombe la Dunia zichezwe
kila kona ya nchi baada ya kuzikosa kwa miaka 64.</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Huenda
baada ya michuano ya Kombe la Dunia uwanja huo utageuka kuwa mahali pa wanyama.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-bottom: 0.0001pt;">
<span style="font-family: "Georgia","serif"; font-size: 12.0pt;">Inatazamiwa
kwa mashabiki 169,496 watahudhuria mechi nne zitakazochezwa hapo.</span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-bottom: 0.0001pt;">
<span style="font-family: "Georgia","serif"; font-size: 12.0pt;">Mechi hizo
ni baina ya England na Italia (Juni 14, 2014); Cameroon na Croatia (Juni 18,
2014); Marekani na Ureno (Juni 22, 2014); na Honduras na Uswisi (Juni 25, 2014).</span></div>
<div class="MsoNormal" style="margin-bottom: 0.0001pt;">
</div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<b><span style="font-family: "Georgia","serif";">Estadio das Dunas</span></b></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://1.bp.blogspot.com/-urzCx6hWdwg/U5LC_wS9uPI/AAAAAAAAEDM/TEEZsJBxc9Q/s1600/Natal,_Brazil_-_Arena_das_Dunas.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://1.bp.blogspot.com/-urzCx6hWdwg/U5LC_wS9uPI/AAAAAAAAEDM/TEEZsJBxc9Q/s1600/Natal,_Brazil_-_Arena_das_Dunas.jpg" height="266" width="400" /></a></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<b><span style="font-family: "Georgia","serif";"><br /></span></b></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Huu
ni uwanja ulioko jijini Natal ukiwa na uwezo wa kuingiza mashabiki 42,086.
Unatumiwa na klabu ya America na umemalizika kujengwa kwa ajili ya Kombe la
Dunia.</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Estadio
das Dunas utatumika kwa mechi nne za makundi katika fainali hizo. Natal ni mji
unaofahamika kama Cidade do Sol (Sun City) kwa sababu umekuwa na joto
linalokaribia nyuzi 28. Fukwe zilizopo Kaskazini Mashariki mwa jiji hilo zinalifanya
jiji hilo lizidi kupendeza.</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Jumla
ya mashabiki 168,344 wanatarajiwa kuingia kutazama mechi baina ya Mexico na
Cameroon (Juni 13, 2014); Ghana na Marekani (Juni 16, 2014); Japan na Ugiriki (Juni
19, 2014); na Italia na Uruguay (Juni 24, 2014).</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
</div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<b><span style="font-family: "Georgia","serif";">Arena da Baixada</span></b></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://1.bp.blogspot.com/-xIf0STw_VKM/U5LDOpSuOyI/AAAAAAAAEDU/FC8FbrORPd0/s1600/Arena+da+Baixada.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="http://1.bp.blogspot.com/-xIf0STw_VKM/U5LDOpSuOyI/AAAAAAAAEDU/FC8FbrORPd0/s1600/Arena+da+Baixada.jpg" height="285" width="400" /></a></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<b><span style="font-family: "Georgia","serif";"><br /></span></b></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Uwanja
huu uko jijini Curitiba ambao kwa mara ya kwanza ulijengwa mwaka 1914 lakini
ukafanyia ukarabati maka 1999 na umerekebishwa zaidi baada ya Brazil kupata
fursa ya kuandaa fainali za Kombe la Dunia.</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Unatumiwa
na klabu ya Atletico Paranaense na una uwezo wa kuingiza watzamaji 41,456.</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Jumla
ya mechi nne zitachezwa hapa na mashabiki 165,824 wanatarajiwa kutinga.</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<b><span style="font-family: "Georgia","serif"; font-weight: normal; mso-bidi-font-weight: bold;">Mechi hizo ni
Iran na Nigeria</span></b><b><span style="font-family: "Georgia","serif";">
</span></b><b><span style="font-family: "Georgia","serif"; font-weight: normal; mso-bidi-font-weight: bold;">(</span></b><span style="font-family: "Georgia","serif";">Juni 16, 2014); Honduras na Ecuador (Juni 20, 2014);
Australia na Hispania (Juni 23, 2014); na Algeria na Russia (Juni 26, 2014).</span></div>
<div style="margin-bottom: .0001pt; margin: 0in;">
<span style="font-family: "Georgia","serif";">Curitiba
ni mji wa aina yake ndani ya Brazil na unatajwa kuwa na uchumi mkubwa. Hali
yake ya hewa inafanana na Rio de Janeiro na Belo Horizonte.</span></div>
Felix Wilbard Mpozemenyahttp://www.blogger.com/profile/07871139124516316683noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8891786991288583789.post-16827413260949288272014-06-07T14:35:00.002+03:002014-06-07T14:35:46.359+03:00MWENZI WA MAISHA YAKO! TAFUTA KITABU HIKI KIKUONGOZE KUMPATA ANAYEKUFAA, KINAZINDULIWA KESHO MWANZA<h3 class="post-title entry-title" itemprop="name">
<br />
</h3>
<div class="post-header">
</div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://3.bp.blogspot.com/-qJWvOvuYpvE/U5Lc_ZHwoDI/AAAAAAAAEDk/Go8dLT0MmGg/s1600/Uzinduzi+wa+kitabu.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img border="0" height="640" src="http://3.bp.blogspot.com/-qJWvOvuYpvE/U5Lc_ZHwoDI/AAAAAAAAEDk/Go8dLT0MmGg/s1600/Uzinduzi+wa+kitabu.jpg" width="456" /></span></a></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Unataka
kumjua yupi anayekufaa kwa maisha? Unatangatanga kila siku ukichagua
mwenza? Pengine unakosea kwa kutokujua sifa muhimu badala yake
unaangalia umbile na sura. Usipate tabu, wacha kutazama muonekano wa
nje. Muombe Mungu akuongoze. Kitabu cha MWENZI WA MAISHA ambacho
kinazinduliwa kesho jijini Mwanza kina majibu yote na ni msaada mkubwa
kwako wewe na mwingine.</span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Kama unahitaji nakala yako gonga namba hizi: 0767 681078/0784 707551</span></div>
Felix Wilbard Mpozemenyahttp://www.blogger.com/profile/07871139124516316683noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8891786991288583789.post-48787759013569089172014-06-04T17:13:00.000+03:002014-06-04T17:13:32.513+03:00MASKINI TEMBO WETU, WAMEKOSA NINI JAMANI? <h2 class="itemTitle">
</h2>
<div class="itemIntroText">
<div style="text-align: left;">
<span style="font-size: 12pt;"><a href="http://www.kwanzajamii.com/wp-content/uploads/2014/06/Unyama-dhidi-ya-tembo-ambao-unatishia-mnyama-huyo-kutoweka-Tanzania.jpg"><img alt="" class="aligncenter size-large wp-image-6217" height="432" src="http://www.kwanzajamii.com/wp-content/uploads/2014/06/Unyama-dhidi-ya-tembo-ambao-unatishia-mnyama-huyo-kutoweka-Tanzania-567x432.jpg" style="display: block; margin-left: auto; margin-right: auto;" title="Unyama dhidi ya tembo ambao unatishia mnyama huyo kutoweka Tanzania" width="567" /></a></span></div>
<br />
<div style="text-align: left;">
<span style="font-size: 12pt;">Ndugu zangu,</span></div>
<span style="font-size: 12pt;">Ujangili umeendelea kushika kasi nchini Tanzania, hasa wa tembo, licha ya jitihada </span><br />
</div>
<div class="itemFullText">
<span style="font-size: 12pt;">kadhaa zinazofanywa na mamlaka husika.</span><br />
<span style="font-size: 12pt;">Tembo kama huyu pichani anauawa kinyama na wendawazimu wachache ambao wanaangalia <img alt="" class="mceWPmore" src="http://www.kwanzajamii.com/wp-includes/js/tinymce/plugins/wordpress/img/trans.gif" title="More..." />maslahi yao ya kuuza meno yake bila kujali hatma ya baadaye ya rasilimali zetu.</span><br />
<span style="font-size: 12pt;">Zimekuwepo operesheni nyingi nchini,
miongoni mwazo ni ile ya Tokomeza Ujangili iliyoendeshwa mwaka 2013,
ambayo ilisitishwa baada ya kudaiwa kwamba wasimamizi wake waliendesha
vitendo vya utesaji kwa wale walioshukiwa kujihusisha na ujangili.</span><br />
<span style="font-size: 12pt;">Lakini pamoja na kusitishwa huko, bado
kikwazo kikubwa kinaonekana kipo serikalini, kwani tunaelezwa kwamba
wapo maofisa wakubwa wanaojihusisha na biashara hiyo haramu, na
wanatengeneza mamilioni ya fedha.</span><br />
<span style="font-size: 12pt;">Ndugu zangu, lazima tuwe wazalendo,
tuungane kwa pamoja kupinga unyama na ujambazi huu ambao kama
hatukisimama imara unaweza kuwapukutisha hayawani wote nchini na
tukabaki na picha za wanyama kwenye vitabu vyetu vya historia. Tembo
ndiye mnyama mkubwa kabisa aliyesalia duniani katika jamii zile za
dinosaur, hivyo ni urithi mwingine kwa vizazi vyetu.</span><br />
<br />
<span style="font-size: 12pt;">Ndugu yenu,</span><br />
<br />
<span style="font-size: 12pt;"><strong>Daniel Mbega,</strong></span><br />
<br />
<span style="font-size: 12pt;"><strong>Iringa - Tanzania</strong></span><br />
<span style="font-size: 12pt;">Ndugu zangu,</span><br />
<span style="font-size: 12pt;">Ujangili umeendelea kushika kasi nchini Tanzania, hasa wa tembo, licha ya jitihada kadhaa zinazofanywa na mamlaka husika.</span><br />
<span style="font-size: 12pt;">Tembo kama huyu pichani anauawa
kinyama na wendawazimu wachache ambao wanaangalia maslahi yao ya kuuza
meno yake bila kujali hatma ya baadaye ya rasilimali zetu.</span><br />
<span style="font-size: 12pt;">Zimekuwepo operesheni nyingi nchini,
miongoni mwazo ni ile ya Tokomeza Ujangili iliyoendeshwa mwaka 2013,
ambayo ilisitishwa baada ya kudaiwa kwamba wasimamizi wake waliendesha
vitendo vya utesaji kwa wale walioshukiwa kujihusisha na ujangili.</span><br />
<span style="font-size: 12pt;">Lakini pamoja na kusitishwa huko, bado
kikwazo kikubwa kinaonekana kipo serikalini, kwani tunaelezwa kwamba
wapo maofisa wakubwa wanaojihusisha na biashara hiyo haramu, na
wanatengeneza mamilioni ya fedha.</span><br />
<span style="font-size: 12pt;">Ndugu zangu, lazima tuwe wazalendo,
tuungane kwa pamoja kupinga unyama na ujambazi huu ambao kama
hatukisimama imara unaweza kuwapukutisha hayawani wote nchini na
tukabaki na picha za wanyama kwenye vitabu vyetu vya historia. Tembo
ndiye mnyama mkubwa kabisa aliyesalia duniani katika jamii zile za
dinosaur, hivyo ni urithi mwingine kwa vizazi vyetu.</span><br />
<span style="font-size: 12pt;">Ndugu yenu,</span><br />
<span style="font-size: 12pt;"><strong>Daniel Mbega,</strong></span><br />
<span style="font-size: 12pt;"><strong>Iringa - Tanzania</strong></span><br />
<span style="font-size: 12pt;"><strong>source: <a class="jcepopup" href="http://www.kwanzajamii.com/?p=6216%20" target="_blank" title="MASKINI TEMBO WETU">MASKINI TEMBO WETU & www.mjengwablog.com</a></strong></span><br />
</div>
Felix Wilbard Mpozemenyahttp://www.blogger.com/profile/07871139124516316683noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8891786991288583789.post-23276102701655865322013-09-24T06:19:00.001+03:002013-09-24T06:19:29.946+03:00ICC yamruhusu William Ruto kurejea Kenya<div class="g-container">
<h1>
</h1>
</div>
<div class="g-container">
<div class="datestamp">
23 Septemba, 2013 - Saa 09:19 GMT
</div>
<div class="tools-container">
<br />
</div>
</div>
<div class="g-container story-body">
<div class="bodytext">
<div class="module">
<div class="image img-w304">
<img alt="" height="171" src="http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/09/09/130909165335_kenya_vice_president_william_ruto_before_leaving_airport_on_his_way_to_icc_cpi_304x171_reuters_nocredit.jpg" width="304" /><div class="caption">
Ruto alifikishwa ICC kwa tuhuma za uhalifu dhidi ya binadamu</div>
</div>
</div>
<div class="ingress">
Majaji katika mahakama ya
kimataifa kuhusu uhalifu wa kivita ICC wameahirisha kesi ya naibu Rais
wa kenya William Ruto kwa juma moja ili kumpa mda kurejea nyumbani
kushughulikia hali ya kiusalama inayokumba taifa hilo.</div>
Watu wanoaminika kuwa magaidi wa Al Shabaab
wameteka jumba la kifahari lenya maduka la Westgate jijini Nairobi na
kuwazuilia mateka wakenya kadhaa.<br />
</div>
</div>
Felix Wilbard Mpozemenyahttp://www.blogger.com/profile/07871139124516316683noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8891786991288583789.post-33264383045763702972013-09-24T06:18:00.001+03:002013-09-24T06:18:30.538+03:00Vikosi vya usalama vyaingia Westgate<div class="g-container">
<h1>
</h1>
</div>
<div class="g-container">
<div class="datestamp">
23 Septemba, 2013 - Saa 15:32 GMT
</div>
<div class="tools-container">
<br />
</div>
</div>
<div class="g-container story-body">
<div class="bodytext">
<div class="module">
<div class="image img-w304">
<img alt="" height="171" src="http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/09/22/130922134211_kenya_304x171_ap_nocredit.jpg" width="304" /><div class="caption">
Jeshi la Kenya linasema kuwa limedhibiti jengo hilo ingawa hali bado ni mbaya</div>
</div>
</div>
<div class="ingress">
Milio mikubwa ya risasi na
milipuko imesikika huku juhudi za usalama zikiendelea katika jengo la
Westgate ambako wanamgmbo wa Al shabaab wameteka jengo hilo pamoja na
wakenya wachache ambao wangali kuokolewa.</div>
Kwa mujibu wa waziri wa usalama Joseph Ole
Lenku, vikosi vya usalama vimeweza kudhibiti jengo hilo nje na ndani na
kwamba ni mateka wachache waliosalia katika jengo hilo.<br />
<div class="module inline-contextual-links">
<div class="list li-relatedtopics">
<h2 class="title">
Taarifa zinazohusiana</h2>
<div class="content">
<ul>
<li class="primary-topic"><a class="topic" href="http://www.bbc.co.uk/swahili/topics/kenya">Kenya</a></li>
</ul>
</div>
</div>
</div>
Serikali inasema watu 62 wameuawa lakini shirika la Red Cross lilisema kuwa idadi hiyo ni 69.<br />
Westgate ni jumba la kifahari lenye maduka na mikahawa karibia themanini .<br />
Milio hiyo ilidumu kwa dakika tatu na kufuatiwa
na moshi mkubwa juu ya jengo hilo. Hakuna taarifa kamili kuhusu
kilichosababisha moshi huo.<br />
<div class="module">
<div class="image img-w304">
<img alt="" height="171" src="http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/09/23/130923122738_shopping_kenya_304x171_reuters_nocredit.jpg" width="304" /><div class="caption">
Sehemu ya jengo la Westgate ikitoa moshi</div>
</div>
</div>
Wapiganaji wa Al shabaab wamewateka nyara raia
ambao idadi yao haijulikani. Walikuwemo ndani ya jengo wakiendelea na
shughuli zao kuanzia Jumamosi mchana wakati wapiganaji wa Al shabaab
walipowavamia na kuanza kufyatua risasi kiholela.<br />
Inaarifiwa kuna maiti kumi katika ghorofa ya kwanza ya jengo hilo.<br />
Aidha wapiganaji hao wanaoaminika kuwa wanachama
wa Al Shabaab ni kati ya kumi na kumi na watano na bado wangali ndani
ya jengo hilo.<br />
Ripoti zinasema kuwa ufyatulianaji mkubwa wa risasi pamoja na milipuko imesikika katika jengo hilo kwa takriban dakika 15.<br />
Harakati za kuendelea kumaliza operesheni hiyo zinaendelea lakini hali ya mateka walio ndani ya jengo hilo inaendelea kudorora.<br />
Rais Kenyatta amesema kuwa jeshi linajitahidi kuhakikisha kuwa linakabiliana vilivyo na wanamgambo hao.<br />
<div class="module">
<div class="image img-w304">
<img alt="" height="171" src="http://wscdn.bbc.co.uk/worldservice/assets/images/2013/09/23/130923060727_kenya_gunfire_304x171_ap_nocredit.jpg" width="304" /><div class="caption">
Wakenya waliofanikiwa kuondoka katika jengo la Westgate kwa usaidizi wa polisi</div>
</div>
</div>
Helikopta za polisi zinazunguka juu ya jengo
hilo pamoja na ndege za kijeshi kushika doria. Vikosi vya usalama
vinaendelea na operesheni kujaribu kuwanusuru waathiriwa wakati hali
ikiwa ni ya ati ati katika eneo la shambulizi.<br />
Awali jeshi la Kenya lilisema limeweza kudhibiti
jengo hilo lote ingawa bado limetaja hali kuwa tete mno hasa katika
kujaribu kuwaokoa mateka waliosalia ndani ya jengo hilo.<br />
Ripoti zinasema kuwa watu 69 wamefariki katika
shambulizi hilo la Al Shabaab kufikia sasa huku 175 wakijeruhiwa. Baadhi
wametibiwa na kuondoka hospitalini. Baadhi ya majeraha waliyopata ni
majereha ya risasi na kutokana na guruneti ambalo Al shabaab
waliwarushia wale waliokuwa ndani ya mikahawa siku ya Jumamosi.<br />
Kundi hilo limekiri kutekeleza shambulio hilo
kutokana na hatua ya Kenya kupeleka majeshi yake nchini Somalia ili
kukabiliana na wapiganaji hao.<br />
<br />
Chanzo: BBC <br />
</div>
</div>
Felix Wilbard Mpozemenyahttp://www.blogger.com/profile/07871139124516316683noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8891786991288583789.post-56691367282658660272013-09-24T06:13:00.002+03:002013-09-24T06:13:32.333+03:00Chenge (Mb) amesema kodi ya kadi za simu (SimCardTax) ni sahihi kwa utafiti wao; aulizwe kupitia 0754782577 atoe maelezo zaidi na vielelezo vya ziada<div style="margin: 1em 0 3px 0;">
<a href="http://feedproxy.google.com/%7Er/JohnMnyika/%7E3/OMF0EmODoAM/chenge-mb-amesema-kodi-ya-kadi-za-simu.html?utm_source=feedburner&utm_medium=email" name="140169b471d4a1fb_1" style="font-family: Arial,Helvetica,sans-serif; font-size: 18px;" target="_blank"> </a>
</div>
<div style="color: #555555; font-family: Georgia,Helvetica,Arial,Sans-Serif; font-size: 13px; font-size: 13px; line-height: 140%; margin: 9px 0 3px 0;">
<span>Posted:</span> 25 Jul 2013 04:35 AM PDT</div>
<div style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://3.bp.blogspot.com/-fNRAhmvtkSU/UfENUpXfhcI/AAAAAAAABIQ/YlZUOJadg0o/s1600/Chenge+andrew.jpg" style="clear: left; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em;" target="_blank"><img border="0" src="http://3.bp.blogspot.com/-fNRAhmvtkSU/UfENUpXfhcI/AAAAAAAABIQ/YlZUOJadg0o/s1600/Chenge+andrew.jpg" /></a></div>
<div style="text-align: justify;">
Leo
tarehe 25 Julai 2013 chombo kimoja cha habari kimemnukuu Mwenyekiti wa
Kamati ya Bajeti Andrew Chenge (Mb) akisema kwamba uamuzi kuhusu
kodi/tozo ya kadi/laini za simu haukuwa wa kubahatisha. Chenge amesema
kwamba kamati yake ilifanya utafiti wa kina na kisha kufikia uamuzi wa
kuona tozo hiyo ni sahihi.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
<b>Ni
muhimu akatakiwa kupitia namba yake 0754782577 atoe maelezo zaidi
kuhusu usahihi wa tozo hiyo na aeleze ni wapi wananchi na wadau
mbalimbali wanaweza kupata vielelezo vya utafiti walioufanya.</b></div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Aidha,
wenye maswali kuhusu nini hasa kilijiri kwenye kamati ya bajeti mpaka
kamati hiyo ikakataa jedwali la marekebisho nililowasilisha tarehe 27
Juni 2013 kabla ya muswada wa sheria ya fedha kupitishwa bungeni tareheb
28 Juni 2013 kwa kuwa yeye ambaye ndiye msemaji wa kamati ameanza kutoa
majibu. </div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Pia,
aeleze iwapo yupo tayari kumshauri Spika aruhusu kamati ya bajeti
ikutane kwa dharura wiki ijayo kufanya kazi ya kupitia matumizi ya
Serikali kwa lengo la kuanisha maeneo ambayo Serikali inaweza kubana
matumizi kwa haraka kufidia pengo la bilioni 178 zinazotafutwa kwenye
tozo hiyo ya simu. Hatua hii itawezesha kodi hiyo kuacha kutozwa bila ya
kulazimika hata kuongeza vyanzo vingine vya fedha iwapo Serikali
inasuasua kupanua wigo wa mapato.<a href="http://www.blogger.com/null" name="140169b471d4a1fb_more"></a></div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Izingatiwe
kuwa katika kuwawakilisha wananchi kuepusha kutozwa kodi ya kumiliki
kadi ya simu na nyingine zenye kuongeza gharama za maisha kwa wananchi,
kabla ya kupitishwa kwa muswada wa sheria ya fedha nilichukua hatua
kuanzia bungeni katika mkutano uliopita wa Bunge.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Niliwasilisha
kwa Bunge kupitia ofisi ya Katibu wa Bunge jedwali la marekebisho ya
sheria hiyo kwa mujibu wa Kanuni ya 86 (11) ambapo pamoja na mapendekezo
mengine nilitaka kifungu katika jedwali la marekebisho la Serikali
kilichopendekeza kuanzisha ushuru huo kiondolewe.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Ikumbukwe
kwamba kwamba katika mchango wangu kwa kuzungumza bungeni nilisema
muswada wa sheria ya fedha wa mwaka 2013 ni “muswada wa majanga” ambao
utaleta athari za ongezeko la bei ya bidhaa na huduma muhimu.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Hata
hivyo, Kamati ya Bajeti chini ilikataa mapendekezo hayo, hata hivyo kwa
kuwa masharti ya kanuni za kudumu za Bunge yanakataza mbunge mwingine
kutoa taarifa za majadiliano ya ndani ya kamati sitaeleza kwa undani
yaliyojiri katika kikao cha kamati tajwa. </div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Hivyo
taarifa rasmi na sababu za mapendekezo hayo kukataliwa zinaweza
kutolewa na mwenyekiti wa kamati hiyo Mh. Andrew Chenge (Mb) kwa
kuulizwa kupitia namba yake ya simu ya mkononi/kiganjani (0754782577).</div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Uongozi
bora na uraia mwema wenye uwajibikaji ni chimbuko na chachu ya ukuaji
endelevu wa uchumi wa nchi na ustawi wa maisha ya wananchi.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Kwa
ufupi nilielelezwa kwamba tayari chanzo hicho cha mapato na vingine
vilishaingizwa katika bajeti ya Serikali kwa ajili ya matumizi ya
kawaida na ya miradi ya maendeleo kwa mwaka wa fedha 2013/2014 na
kupigiwa kura ya ndio na wabunge wengi kabla ya muswada huo wa sheria ya
fedha kujadiliwa. Hivyo nilitakiwa kuwasilisha mapendekezo ya vyanzo
mbadala vya kuziba pengo litakalotokana na kufuta ushuru huo na kodi
zingine nilizopendekeza zifutwe au zipunguzwe. </div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Katika
muktadha huo kwa upande wa sekta ya mawasiliano pekee, nilipendekeza
vyanzo mbadala vyenye jumla ya zaidi ya bilioni 400 za kitanzania ambazo
ni zaidi ya lengo lililowekwa na Serikali bila ya kuongeza mzigo wa
gharama kwa wananchi wa kawaida. Nilitoa ushuhuda wa kitakwimu kutoka
nchi ya Ghana ambayo makampuni ya simu yanachangia asilimia 10 ya mapato
ya nchi hiyo bila kuongeza mzigo mkubwa wa gharama kwa watumiaji wa
kawaida wa huduma za simu ya kiganjani/mkononi.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Kati
ya mapendekezo niliyotoa ni pamoja na kutaka marekebisho ya Sheria ya
Mawasiliano ya njia Kieletroniki na Posta ya mwaka 2009 ili kuipa uwezo
wa kutosha Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (TCRA) kufanya
ukaguzi wa uwekezaji unaofanywa na makampuni ya simu. Hata hivyo,
mapendekezo hayo yalikataliwa na kamati ya fedha chini ya uenyekiti wa
Andrew Chenge (Mb).</div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Ifahamike
kuwa kwa kurejea masharti ya Kanuni ya 109 (2) niliwasilisha pia
katika ofisi kwa Katibu wa Bunge kabla mjadala kuhusu muswada huo
kufungwa mapendekezo ya ziada ya vyanzo mbadala vya mapato vya kuziba
pengo lililotokana na marekebisho niliyotaka yafanyike kwa lengo la
kupunguza mzigo wa gharama za maisha kwa wananchi kutokana na ongezeko
la kodi.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Marekebisho
hayo yangechangia katika kudhibiti udanganyifu unaofanywa na makampuni
mengi ya simu juu ya uwekezaji na faida wanayoipata. Marekebisho hayo
yangewezesha pamoja na mambo mengine makampuni mengi kuorodheshwa
katika soko la hisa la Dar Es Salaam na pia kudhibiti usajili wa
makampuni katika nchi zenye mfumo wa kuwezesha ukwepaji kodi (Tax
Heavens).</div>
<br /><div style="text-align: center;">
<b>John Mnyika (Mb)</b></div>
<b><div style="text-align: center;">
<b>25 Julai 2013</b></div>
</b>Felix Wilbard Mpozemenyahttp://www.blogger.com/profile/07871139124516316683noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8891786991288583789.post-88768413021468291272013-09-24T06:03:00.003+03:002013-09-24T06:03:50.116+03:00Waraka kuhusu muswada wa Baraza la Vijana la Taifa wa Mwaka 2013<div style="margin: 1em 0 3px 0;">
</div>
Vijana wenzangu na wote wenye dhamira ya kuwezesha maendeleo ya vijana nchini, salaam! <div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Mtakumbuka
kwamba mwezi Januari 2013 nilitoa taarifa kwa umma ya kueleza kuwa
niliwasilisha kwa Katibu wa Bunge Muswada Binafsi wa Sheria ya Baraza la
Vijana la Taifa na kuomba hatua za ziada toka ofisi ya Bunge kwa
kuzingatia Kanuni ya 21 na Kanuni ya 81 ya Kanuni za Kudumu za Bunge. </div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Toka
wakati huo muswada huo mpaka sasa Mei 2013 haujachapwa katika gazeti
la Serikali na nimepokea barua toka kwa ofisi ya Bunge kwamba wamepokea
ushauri toka kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuwa muswada huo hauwezi
kuchapishwa katika gazeti la Serikali kwa kuwa umekiuka masharti ya
ibara ya 99 ya Katiba ya Nchi. </div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Sababu
ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kutoa ushauri huo ni kuwa muswada
unalenga pamoja na mambo mengine kupitia kifungu cha 31 kipengele cha
kwanza kuanzisha Mfuko wa Maendeleo ya Vijana kwa madhumuni ya
kugharamia shughuli za baraza la vijana la taifa, mipango ya baraza na
kutekeleza miradi ya vijana kwa ajili ya maendeleo ya vijana. </div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Kwa
maoni yangu Mwanasheria Mkuu wa Serikali ametoa ushauri huo bila
kuzingatia kwamba kifungu cha 31 kipengele cha pili kinataja vyanzo
mbalimbali vya fedha za mfuko ikiwemo kutaja kuwa fedha za mfuko
zitatokana na fedha zilizotengwa na Serikali na Bunge kwa ajili ya
Baraza kwa mujibu wa Ibara ya 135 kifungu cha pili cha katiba ya Nchi.<br /><a href="http://www.blogger.com/null" name="13ebd9b58bc2f76f_more"></a></div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Ibara
ya 135 (2) ya Katiba ya Nchi inatamka kuwa “fedha ambazo hazitawekwa
kwenye Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali ni zile zote ambazo zimetajwa na
sheria ya kwamba zitumike kwa shughuli maalum au ziwekwe kwenye mfuko
mwingine kwa ajili ya matumizi maalum”. </div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Hivyo,
ni maoni yangu kuwa ibara hiyo ya Katiba ya Nchi inaweza kutumika
kuwezesha kuanzishwa kwa Baraza la Vijana na Mfuko wa Maendeleo ya
Vijana bila kufungwa na Ibara ya 99 ya Katiba kifungu cha kwanza ambacho
kimeweka masharti kuwa “Bunge halitashughulikia jambo lolote kati ya
mambo yanayohusika na ibara hii isipokuwa kama Rais amependekeza kwamba
jambo hilo lishughulikiwe na Bunge na pendekezo hilo la Rais liwe
limewasilishwa kwenye Bunge na Rais.” </div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Kifungu
cha pili kinataja mambo yanayohusika na ibara hiyo ya 99 ni pamoja na
muswada wa sheria kwa ajili ya “kuagiza kwamba malipo au matumizi ya
fedha yafanywe kutokana na Mfuko Mkuu wa Hazina ya Serikali au mfuko
mwingine wowote au kubadilisha kiwango hicho kwa namna nyingine yoyote
isipokuwa kupunguza”. </div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Toka
Sera ya zamani ya maendeleo ya vijana ya mwaka 1996 itamke kwamba
Serikali itawezesha kuanzishwa kwa Baraza la Vijana na suala hilo
kurudiwa katika Sera mpya ya mwaka 2007; miaka takribani 17 imepita
marais wote wa awamu husika na mawaziri wenye dhamana hawajawasilisha
bungeni muswada huo hali ambayo imenifanya niandae muswada binafsi
kuwezesha baraza kuundwa. </div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Muswada
wa Sheria ya Baraza la Vijana la Taifa 2013 niliouwasilisha kwa maoni
yangu hauna lengo la kuagiza malipo au matumizi ya fedha yafanywe
kutokana na Mfuko mkuu wa Hazina ya Serikali au Mfuko mwingine wowote
kwa mujibu wa ibara ya 99 bali unalenga kuanzisha Mfuko wa Maendeleo ya
Vijana kwa kuzingatia masharti ya Ibara ya 135. </div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Hata
hivyo, kwa kuwa muswada huu unahusu mustakabali wa vijana na ni suala
la kitaifa kupitia waraka huu naomba kupata maoni yenu kuhusu suala
hili, mapendekezo ya marekebisho yanayohitajika kufanyika na hatua
zinazopaswa kuchukuliwa. </div>
<br /><b><div style="text-align: justify;">
<b>Maoni, mapendekezo na hatua hizo zitumwe kupitia <a href="mailto:mbungeubungo@gmail.com" target="_blank">mbungeubungo@gmail.com</a> au kwa Afisa wa Ofisi ya Mbunge Ubungo Gaston Garubimbi (0715825025) kabla ya tarehe 24 Mei 2013. </b></div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
<b>Nakala ya rasimu ya muswada wa Baraza la Vijana la Taifa wa mwaka 2013 inapatikana katika mtandao wa <a href="http://mnyika.blogspot.com/" target="_blank">http://mnyika.blogspot.com</a> kwa ajili ya rejea. </b></div>
</b><br /><div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Aidha,
nawaalika kushiriki mikutano ya kupokea maoni kupitia mtandao huo
tarehe 20 mpaka 23 Mei 2013 saa 9 alasiri mpaka 10 Jioni ambayo
nitashiriki na kutoa maelezo ya zaidi kwa kadiri itakavyohitajika. </div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Natarajia
kupokea maoni ya vijana na wananchi wengine bila kujali tofauti
mbalimbali kwa kuwa madai ya kutaka kuundwe Baraza la Vijana la Taifa
yamekuwa yakitolewa na vijana, asasi na taasisi kwa muda mrefu. </div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Vyama
vya siasa kwa kuzingatia matakwa hayo viliahidi kutekeleza azma hiyo
kwa mfano Ilani ya CHADEMA ya mwaka 2010-2015 kipengele 6.4.1 (viii)
ilitamka “Kwa kuwa vijana ndio kundi kubwa hapa nchini, na kwa kuwa uhai
wa muda mrefu wa taifa letu upo mikononi mwa vijana, Serikali ya
CHADEMA itawezesha vijana kuunda Baraza la Vijana (BAVITA) ambalo
limekwamishwa na Serikali ya CCM kwa muda mrefu”. </div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Kwa
upande mwingine, Ilani ya CCM ya mwaka 2010-2015 iliahidi katika
kipengele 80 (k) “Kuhamasisha ushiriki wa vijana katika ngazi mbalimbali
za maamuzi ikiwa ni pamoja na kukamilisha uanzishaji wa Baraza la
Vijana”. </div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Mwaka
2011 niliihoji Serikali bungeni ni lini itakamilisha uanzishwaji wa
baraza hilo na ikaahidi kwamba kazi hiyo itakamilishwa katika mwaka wa
fedha 2011/2012 hata hivyo sasa ni Mei 2013 Serikali haijakamilisha. </div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Hivyo
vijana, wabunge na wananchi kwa ujumla ni muhimu kuboresha muswada huo
na uwasilishwe bungeni kuwezesha baraza la vijana na mfuko wa maendeleo
vijana kuanzishwa; maslahi ya umma kwanza. </div>
<br /><div style="text-align: center;">
Wenu katika uwakilishi wa wananchi,</div>
<br /><div style="text-align: center;">
<b>John Mnyika (Mb) </b></div>
<b><div style="text-align: center;">
<b>19 Mei 2013 </b></div>
<div style="text-align: center;">
<b>Dodoma</b></div>
<div style="text-align: center;">
</div>
<br /><b>Muswada wa Baraza la Vijana 2013-Rasimu ya Kwanza; pakua hapa (download here): </b><br /><a href="https://docs.google.com/file/d/0B8xvLNf5FlohSHJPX2trR3p6YzQ/edit?usp=sharing" target="_blank">https://docs.google.com/file/<wbr></wbr>d/<wbr></wbr>0B8xvLNf5FlohSHJPX2trR3p6YzQ/<wbr></wbr>edit?usp=sharing</a></b>Felix Wilbard Mpozemenyahttp://www.blogger.com/profile/07871139124516316683noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8891786991288583789.post-20457287394314377692013-01-28T09:20:00.001+03:002013-09-24T06:04:44.795+03:00Tamko la makanisa ya P.C.T mkoa wa Mtwara kuhusu gesi ya Mnazi Bay Mtwara<table border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" style="width: 100%;"><tbody>
<tr><td style="vertical-align: top; white-space: nowrap; width: 60px !important;">
</td>
<td>
<h2 style="color: #555555; font-size: 20px; margin: 0.4em 0px 0.3em;">
</h2>
<span style="color: #888888;">by <a href="http://strictlygospel.wordpress.com/author/strictlygospel/" style="color: rgb(136, 136, 136) !important; text-decoration: underline;" target="_blank">Strictly Gospel</a></span>
</td>
</tr>
</tbody></table>
<br />
<div style="margin-top: 1em; max-width: 560px;">
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em; text-align: justify;">
<br />
Baada ya kufuatilia kwa undani, na kwa upana kuhusu swala la gesi ambalo
linaendelea kuwa ni mgongano au, ni mgogoro kati ya Serikali na
wananchi wa Mkoa wa Mtwara/Lindi kuhusu ujenzi wa bomba la kusafirisha
gesi kwenda kinyerezi Dar- es –Salaam, tumebaini yafuatayo:-</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
1.
Hakuna Sera ya gesi ambayo husababisha kupatikana Sheria baada ya
kupelekwa Bungeni na kuidhinishwa bali kilichopo ni rasimu ya sera
ambayo haina ushirikishwaji wa mawazo ya wananchi wa Mkoa wa Mtwara na
Lindi, ambako vyanzo vya gesi hiyo ipo.</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
2.
Elimu kuhusu gesi na manufaa yake kwa wananchi haikutolewa ili kujua
haki zao kwa madhara yatokanayo na (Uvunaji) uzalishaji wa gesi hiyo, na
jinsi watakavyonufaika.</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
Chama
cha Mapinduzi katika Ilani yake ya uchaguzi ya mwaka 2010 inatamka wazi
katika Ibara ya 63 kifungu cha H na K juu ya gesi ya Mnazibay Mtwara na
Songo songo Kilwa, Lindi kuhusu umeme wa (240 MW) Kinyerezi na (300MW)
Umeme wa Mnazi bay Mtwara……</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
-Vifungu hivi vinafafanua:</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
<a href="http://strictlygospel.files.wordpress.com/2013/01/view-of-mikindani-bay-from-top-of-old-boma-mtwara.jpg" style="clear: left; color: #2585b2; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em; text-decoration: underline;" target="_blank"></a><a href="http://strictlygospel.wordpress.com/author/strictlygospel/" style="clear: left; color: #2585b2; display: block; float: left; margin-bottom: 1em; margin-right: 1em; text-decoration: underline;" target="_blank"></a>• Gesi ya Mnazi bay itakuwa kwa ajili ya Mitambo ya kuzalisha umeme ambayo itajengwa Mtwara (300MW)</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
• Mitambo ya kuchakata gesi kujengwa Mtwara</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
• Ujenzi wa viwanda Mtwara ili malighafi itokanayo na gesi itumike kutengeneza mbolea, plastic vikiwemo na viwanda vya Cementi</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
2. Gesi ya Songo songo inafafanua wazi kuwa gesi hiyo itapelekwa Kinyerezi . Dar –es –Salaam kwa madhumuni hayo hayo.</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
• Kuendeleza viwanda mbali mbali</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
• Kuzalisha umeme (240 MW)</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
• Kuchakata gesi kwa kujenga mitambo</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
Katika
ahadi ya Rais wa Jahuri ya Muungano wa Tanzania alizotoa wakati wa
Kampeni za uchaguzi katika hotuba yake ya tarehe 29/10/2010 alitamka
wazi kuwa Mkoa wa Mtwara uwe tayari kwa maendeleo makubwa ambayo
yanakuja kutokana na gesi iliyogunduliwa katika Mkoa wa Mtwara huko
Mnazi bay</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
Alimainisha/aliainisha
juu ya viwanda mbalimbali vitakavyojengwa hapa mkoani vya
mbolea,cement, plastic n.k na kuwataka wananchi wajiandae kupokea
maendeleo hayo kwa kujenga nyumba nzuri zenye sifa kwa ajili ya wageni.
Pia wawasomeshe watoto wao ili wawe na elimu ya juu na kupata ajira
katika Makampuni yanayokuja.</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
Hata
baada ya uchaguzi Rais wetu alipokuja kuwashukuru wananchi wa Mkoa wa
Mtwara kwa kumchagua, alitamka tena katika hotuba yake akisisitiza ahadi
yake ya kujenga viwanda ambavyo vitaleta maendeleo kwa Mikoa ya Kusini
na kusababisha ajira kwa wana kusini, na kuagiza kwa Meya wa Manispaa
Mtwara/Mikindani kuwapa maeneo ya kujenga viwanda hivyo, kwa kile
kilichoonekana kukosa maeneo ya ujenzi huo kwa makampuni hayo. Ahadi
hizi alizozitoa kwa wananchi kwa ujumla wao wamezipokea na kuendelea
kuzifanyia kazi.</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
<b><span style="text-decoration: underline;">Chanzo cha Matatizo:</span></b> Mara
baada ya kuonekana kile walichokitarajia wananchi wa Mkoa wa Mtwara kwa
kutumia gesi ya Mnazi bay kuleta maendeleo yao kuwa imeamriwa
kusafirishwa kwa bomba na kupelekwa Kinyerezi Dar –Es –Salaam ili
kuzalisha umeme na kuchakata gesi na mitambo hiyo iwe huko.(Mgeuko wa
Ilani ya Uchaguzi, na kutozingatia ahadi zake mwenyewe Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania kwa kuwa kinyume na kauli za usemi wake mwenyewe
kwa kukitangaza kituo cha Kinyerezi kuwa ni sehemu ya mitambo ya gesi
ya Mnazi bay-Mtwara na Songosongo-Lindi na kwamba bomba hilo litachukua
miezi (18) mpaka kukamilika kwake, kwa matamshi haya ndiyo yaliyoleta
hasira na chuki kwa wananchi wa Mtwara/Lindi kwa ujumla.</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
Hali
hii imewafanya wananchi wa Kusini kutokuwa na Imani na Serikali na
viongozi wake wahusika na sakata hili la gesi kwa semi mbalimbali za
viongozi hawa-Mfano.</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
(1) Kwa hali yoyote gesi lazima itoke Mtwara (Kwa gharama yoyote ile) kwa kukubali ama kutokubali itakwenda Kinyerezi kwa bomba</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
(2) Kuitwa wahaini wananchi wa Mkoa wa Mtwara kwa kuandamana</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
(3) Kuitwa wajinga, hawakusoma na kuwa watu wa vijiweni wasio na elimu ya gesi</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
(4)
Nitafanya lolote hata kama nitalaumika na Mataifa mengine lakini wapo
watakaochekea yatakayotokea na kauli zinazobadilika kila kunapokucha.</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
(5) Usemi wa kuigawa nchi vipande vipande</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
Viongozi
hawa hawajui kuwa chanzo kipo kwao wenyewe, kwa kutozingatia kuwa
wananchi hao ambao hawana elimu kama yao wanao upeo mkubwa wa kufikiri
na kutoa maamuzi kama wanavyotoa wao….</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
Mfano.</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
(1) Gesi haitoki Mtwara</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
(2) Tupo tayari kufa wote kwa ajili ya gesi</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
(3) Haiwezekan mitambo ya aina zote</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
-Kufua umeme</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
-Kuchakata gesi</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
-Kunufaisha viwanda vya Dar-es-Salaam kwa gesi yetu</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
-Mikataba ya gesi ya Mnazibay kufutwa ili kuanzisha mikataba iliyo na manufaa kwa Mkoa wa Mtwara na wananchi wake.</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
(4)
Kwa nini bomba la gesi kujengwa kwa muda wa miezi 18 na bara bara kwa
miaka 51 ya uhuru haimalizwi kujengwa. Je kwenye gesi kuna nini nyuma
yake.?</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
Hiki
ni kiini cha matatizo yote kwa wananchi wa mkoa wa Mtwara kuandamana na
mikutano mbalimbali ya kuhamasisha kutokubali gesi kuondoka Mtwara</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
Nukuu za Wananchi wa Mkoa wa Mtwara/Lindi</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
1-Kung’olewa kwa Reli</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
2-Kung’olewa kwa mashine za maji Newala na kupelekwa Dodoma.</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
3-Kung’olewa kwa taa za kuongoza ndege uwanja wa Mtwara na kupelekwa Uwanja wa KIA Moshi</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
4-Kuondolewa kwa Mtwara Korido</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
5-Kuwekezwa
kwa bandari ya Mtwara kwa muda usiojulikana inaonyesha jinsi Serikali
na viongozi wake wanavyohujumu Mikoa ya Kusini na wananchi wake kwa
ujumla.</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
-Wananchi
wa Mkoa wa Mtwara na Lindi wamefikia ukomo sasa wa kutengwa
kimaendeleo, kimazingira na kutendewa uonevu wa makusudi na kilio chao
cha mwisho ni hiyo gesi ambayo kauli mbiu yao ni <b>GESI HAITOKI MTWARA KWA BOMBA KWENDA KINYEREZI DAR-ES-SALAAM.</b></div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
-Wananchi
wote wameungana juu ya kuitetea gesi kutoka Mtwara, badala yake
Serikali ifuate mikataba ya kwanza inayohusu gesi ya Mtwara pamoja na
Ilani ya uchaguzi ya CCM ifuatwe na Rais atekeleze ahadi zote alizotoa
hapo kwanza na afute kauli yake ya kupeleka gesi Kinyerezi, na wala
Serikali isitumie nguvu katika swala zima la gesi ya Mnazibay Mtwara.</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
<b><span style="text-decoration: underline;">TAMKO LA UMOJA WA MAKANISA YA KIPENTEKOSTE –P.C.T MKOA WA MTWARA</span></b></div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
1.
P.C.T kwa kuzingatia mwono uliopo wa hali tete yenye mwelekeo wa
kumwagika damu na kuigawa nchi vipande vipande na kuondokewa amani,
yafuatayo yafanyike</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
•
Serikali isitishe mpango wake wa kuondoa gesi kutoka Mnazi bay Mtwara
kwa kuisafirisha kwenda Kinyerezi Dar –es Salaam kwa bomba.</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
•
Mitambo ya kuchakata gesi ijengwe Mtwara ili gesi isafirishwe kama
mazao ya gesi na mabaki yake kutumiwa katika viwanda vya mbolea na
plastic.</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
• Mitambo ya kuzalisha umeme ijengwe Mtwara na kusafirisha umeme na kuunganisha gridi ya Taifa.</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
•
Viwanda vilivyoahidiwa vya mbolea,plastic,cemet n.k vianze kujengwa
sasa na isiwe propaganda tu ya kisiasa toka kwa viongozi kwa kuondoa
dhana iliyotokea huko nyuma ya kuonekana Kusini ni ukanda wa vita
usiendelezwe.</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
Mfano
kule Kilwa Lindi ambako ahadi ya kujenga kiwanda cha mbolea kwa gesi ya
Songo songo mpaka leo hakijajengwa kwa kuwapatia nafasi ya ajira na
kujiajiri kutokana na viwanda hivyo</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
•
Serikali iwe sikivu kwa kilio cha muda mrefu cha wananchi wa Mikoa ya
Mtwara na Lindi ambako vyanzo vya uchumi wa gesi vipo kwa kutekeleza
madai yao, kwa kuwa hawapingi kupelekwa umeme gridi ya Taifa na kuuza
gesi iliyochakatwa tayari kwa kuliingizia Taifa mapato.</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
•
Serikali ikamilishe sera za gesi na mafuta na kupatikana sheria ambayo
italinda mikataba yote inayofanywa na serikali juu ya gesi na kulinda
wananchi wa eneo husika mikoa ya Mtwara na Lindi kwa madhara
yanayotokana na gesi kwa kuwashirikisha kutoa mawazo yao.</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
•
Mazungumzo yafanyike kati ya Serikali na wananchi katika kupata
ufumbuzi wa swala la gesi kwa njia ya Amani na wala isitumie nguvu
zilizonazo kwani kufanya hivyo ni kuleta maafa yasiyo ya lazima kwa
Taifa.</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
•
-Serikali isisikilize wabunge wadanganyifu ambao hawana makubaliano na
wananchi katika majimbo yao wanayotoka, ambao huchochea mgogoro huu kwa
lengo lao binafsi.</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
•
Viongozi ambao wametoa matusi kwa wananchi wafute usemi wao kwa
wananchi wa Mkoa wa Mtwara ambao wamewaita wahaini kwa kuwaomba radhi
bila masharti yeyote kwani semi hizo huleta chuki, uhasama, na matengano
katika nchi, na kusababisha nchi isitawalike.</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
•
Serikali ya Chama Cha Mapinduzi itekeleze Ilani ya Uchaguzi ya Mwaka
2010 Ibara 63 Kifungu H na K ambavyo vipo wazi, hasa kwa kuzingatia kuwa
sera zinazotekelezwa sasa na Serikali ni zile zote zilizoandikwa kwenye
Ilani ya uchaguzi.</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
•
Serikali irudishe tumaini kwa wananchi wa Mikoa ya Kusini na amani
inayoonekana kutoweka kwa matamshi yanayoashiria kumwagika kwa damu bila
kujali kuwa nchi ilipatikana bila kuwaga damu.</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
•
Serikali iwatambue wananchi wa Mikoa ya Kusini kuwa wana haki ya
kutimiziwa matakwa yao kama wananchi wa mikoa mingine kwa kupata
maendeleo kutokana na vyanzo vya uchumi vilivyopo katika maeneo yao.</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
-Sisi
viongozi wa dini tunamwomba Mungu awape hekima viongozi wetu wa
Serikali kwa sababu wamepewa dhamana na Mungu kuliongoza Taifa.</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
<i>-Ukamilifu wao wenye haki utawaongoza, bali ukaidi wao wenye fitina utawaangamiza Methali 11:3</i></div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
<i>-Asiyemcha Mungu humpoteza jirani yake kwa kinywa chake, bali wenye haki watapona kwa maarifa. Methali 11:9</i></div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
<b>Imesainiwa na </b></div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
<b>BISHOP C. CHILUMBA</b></div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
<b>MWENYEKITI MKOA</b></div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
<b>PAMOJA NA:-</b></div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
<b>PASTOR SELEKWA</b></div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
<b>KATIBU PCT- MKOA WA MTWARA</b></div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
Nakala:</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
• Mwenyekiti PCT Taifa-Dar –es –Salaam</div>
<div style="color: #444444; font-family: "Helvetica Neue",Helvetica,Arial,sans-serif; font-size: 14px; line-height: 1.4em; margin: 0px 0px 1em;">
• Maaskofu na Wachungaji wote wa PCT Mkoa wa Mtwara.</div>
</div>
Felix Wilbard Mpozemenyahttp://www.blogger.com/profile/07871139124516316683noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8891786991288583789.post-28621138225465389342013-01-27T21:33:00.003+03:002013-01-27T21:33:29.771+03:00Mtikila amemtaka JK atangaze Kusitisha Mradi wa gas <h2 class="posttitle icon">
<b><span>TAARIFA YA DEMOCRATIC PARTY (DP) KUHUSU</span></b></h2>
<div class="content">
<div id="post_message_5548271">
<blockquote class="postcontent restore">
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<strong><span>GESI NA MASLAHI YA MTWARA CORRIDOR</span></strong>
</div>
</div>
<span>DP tunatoa
tahadhari kwamba hali inayoendelea kuwa mbaya huko Kusini mwa Nchi yetu,
inazidishwa na ukosefu mkubwa wa uzalendo na hekima katika utawala wa
juu wa CCM, kiasi cha kuzidi kuumwagia gesi moto unaowaka badala ya
kutumia historia ya tatizo lenyewe ambayo peke yake ndiyo inayoweza
kuwapa busara ya zimamoto! </span> <span>Tunapenda
ieleweke kuwa madai kwamba umeme wa gesi hiyo ufuliwe kule kule Kusini
yanatoka katika uchungu wa wananchi wote wa Kusini mwa Tanganyika yaani <b>Mtwara Corridor</b>, uchungu wa kudhulumiwa, kudhalilishwa na kusahauliwa kabisa kimaendeleo tangu tulipotapata uhuru mpaka leo. </span> <span>Serikali
ndiyo chombo hasa cha kuzungushia gurudumu la maendeleo, ambalo
lilielekezwa Kaskazini tu mpaka Kusini kukabaki pori na giza nene, kiasi
kwamba watumishi wa umma walipokuwa wanapangiwa kufanya kazi Kusini,
mara nyingi ikiwa kama adhabu, waliamua kuacha kazi. Kupuuza upande
mmoja wa nchi kimaendeleo huwa ni bomu la hatari litakaloteketeza hapo
baadaye, kama inavyokuwa hivi leo</span> <span>Wananchi wa <b>Mtwara Corridor</b>
wanafahamu kwamba sumaku ya wawekezaji wa miradi mikubwa ya kuwaletea
maendeleo ni nishati na miundombinu, lakini watawala wa CCM
waliwanyang’anya Reli ya Kusini kwa uharamia wa kung’oa mpaka mataruma
na kufutilia mbali hata na tuta lenyewe! </span> <span>Wananchi
wa Kusini ni binadamu wanaoumia kwamba hata barabara ya kuwaunganisha
na dunia nyingine haijaisha mpaka leo, lakini wanayaona makufuru ya
ufujaji wa kutisha wa serikali ya CCM hiyo hiyo wa mabarabara ya Jijini
Dar es Salaam sasa kukwanguliwa lami nzuri kabisa ya mabilioni ya fedha,
ambayo ingeishi zaidi ya miaka saba mingine!</span> <span>Serikali
ndiyo yenye jukumu la kuweka misingi yote ya uchumi wa nchi, kwa ajili
ya maendeleo ya Taifa na maisha bora ya wananchi wenyewe, lakini mbali
ya ule uharamia wa kuwang’olea ile reli, fungu la uboreshaji wa Bandari
ya Mtwara ambayo ndiyo yenye kina kikubwa zaidi cha asili kinachofaa
zaidi kuliko hata bandari ya Dar es Salaam, sasa ni fungu la kujengea
bandari ya Bagamoyo nyumbani kwa Kikwete, ambapo ni hatua kadhaa tu
jirani ya Dar es Salaam!</span> <span>Zao
la pamba ambalo utawala wa mkoloni ulilijengea msingi imara kwa ajili
ya uchumi wa nchi na wananchi wake, lilishamiri vizuri zaidi Kusini kama
ulivyoshamiri hata mkonge. Lakini kwa kutowathamini watu wa Kusini na
kutojali kabisa hatima yao kiuchumi na kimaisha, utawala wa CCM
uliyanyima mazao hayo kipaumbele kule na hata ule msukumo unaopasa,
wakati kule Kaskazini mwa nchi hiyo hiyo umeme ulisha sambazwa mpaka
migombani!</span><br />
<span>Zao la korosho lililobaki
angalau katika uwezo wao ulio duni, limekuwa kama mnyororo wa utumwa,
kwa sababu wakivuna hawapati kitu bali kupunjwa kabisa bei kama
zikinunuliwa. Ni zao linalotajirisha sana ma--------- kwa kuwakondesha
vibaya sana walalahoi wa Kusini. </span> <div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<b><span>KUHUJUMIWA KWA MAONO YA SHUJAA OSCAR KAMBONA</span></b></div>
</div>
<span>Watu
wa Mtwara Corridor wanafahamu kwamba shujaa Oscar Kambona ndiye hasa
aliyefanikiwa kuiombea Nchi yetu msaada wa China wa Reli ya Uhuru, na
uwezo wake wa kisiasa na hasa baada ya kung’ara katika ukombozi wa
Afrika na uhusiano wake binafsi na Chou en Lai ulivyotusaidia. </span> <span>Tunajua
kwamba kwa ajili ya hazina za Taifa letu za mafuta na gesi kule Kusini,
pamoja na rutuba isiyo kawaida kwa ajili ya kilimo, pamoja na raslimali
za madini ya thamani njia yote, achilia mbali wanyamapori Selous, na
chuma cha Liganga na mkaa wa mawe Mchuchuma, reli hiyo ilikuwa ianzie
Bandari ya Mtwara iliyopangiliwa pia uboreshwaji wa nguvu, na ilikuwa
iende mpaka Ziwa Nyasa baada ya kona ile ya kwenda Liganga na Mchuchuma
hadi Rukwa kwenye shaba.</span> <span>Hauwezi
kusahaulika ushuhuda kwamba baada ya shujaa Kambona kuelezea baraza la
mawaziri mafanikio haya ya safari yake China, na hasa Bandari ya Mtwara
na reli ya uhuru wetu wa kiuchumi, alitukanwa na mkuu wake kwamba ni
mkabila sana, kwa ‘kosa’ la kutaka hiyo miundombinu ya bandari na reli
iwe Kusini! </span> <span>Mzalendo
Oscar Kambona alijitetea kwa hekima ya rohoni kiasi cha kuwatoa machozi
baadhi ya wenzake kwamba, “Mimi si mkabila wala sina kosa, kama kuna
mwenye makosa basi ni Mwenyezi Mungu”. Alipotakiwa aeleze ana maana gani
alisema, ‘Kwa sababu Mungu angetuwekea kule Kilimanjaro au Musoma hizi
hazina za gesi, mafuta, madini ya thamani na Selous ya wanyamapori,
chuma na mkaa wa mawe na shaba <b>reli ingepita</b>, lakini sasa alikosea akaweka Kusini. </span> <span>Hakuna
mwehu wa kubisha kwamba maono haya ya hayati Oscar Kambona yalikuwa ya
uzalendo wa hali ya juu kwa ajili si ya watu wa Kusini, bali kwa muujiza
wa maendeleo ya kiuchumi ya Taifa la wana wa <b>Tanganyika</b> kuwa katika kilele cha Afrika na hata dunia. </span> <span>Hatushangai
kwamba ingawa shujaa Oscar Kambona ndiye aliyeanzisha Kamati ya
Ukombozi ya Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU), kwa maono yake binafsi
ambayo Nyerere ilibidi ayaafiki, Kambona akayauza kwa rafiki yake mpenzi
Ahmed Sekou Toure aliyempa cheki tupu ya kwanza, wakamhusisha shujaa
Kwame Nkurumah aliyetoa cheki ya pili, na walipomshirikisha Mfalme Haile
Selasie naye akatoa cheki ya tatu, shujaa Oscar Kambona akaupambisha
moto wa ukombozi wa Afrika, mpaka wivu ulipompiga vita kali hadi
akaikimbia Nchi yake. </span> <span>Ni
dhahiri kwamba watu wa Kusini ya Tanganyika au Mtwara Corridor walikuwa
na sababu ya kumpenda na kumheshimu hayati Oscar Kambona, kwa sababu
maono yake kwa ajili ya hatima ya Taifa letu yalikuwa baraka kwao.
Lakini hakuna hata <i>choo</i> ya Jiji iliyoweza kuitwa jina la shujaa Oscar Kambona, licha ya sifa na heshima aliyoiletea Nchi yetu, hii ni aibu!</span> <span>Nyerere
alipogeuka kuwa adui mkuu wa shujaa Oscar Kambona watu wengi wa Kusini
waliteseka kwa ajili hiyo, na koroboi ya maendeleo Kusini ilionekana
kuzimika kiaina, hadi ilipoibuliwa upya na Shirika la Maendeleo la Taifa
(NDC) mikakati mipya ya maendeleo ya Kusini, kwa jina la <b><u>Mtwara Corridor</u></b>,
iliyofanyiwa kazi kwa dhati na mzalendo Simbakalia ambaye sasa ndiye
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara. Koroboi hiyo ikazimika tena alipoondolewa huyu
kutoka NDC.</span> <div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<b><span>UFUMBUZI WA MOTO WA HASIRA ULIOLIPUKA KUSINI</span></b></div>
</div>
<span>Moto
huu usipozimishwa kwa hekima ya hali ya juu, si ajabu ukaimeza mikoa
yote ya Kusini yaani Mtwara, Lindi, Ruvuma, Mbeya, Iringa, Morogoro na
hata Rukwa, tukakuta yanazaliwa mataifa mawili mpaka ukiwa Reli ya Kati!
</span> <span>Tumeeleza kwa kifupi
sana historia na sababu za msingi za hasira za watu wa Kusini, kwamba
wao pia ni binadamu, na kwamba lugha yao ya amani ilipuuzwa kwa miaka
yote 52 tangu nchi yetu ilipopata uhuru. Lakini tunapinga propaganda za
uwongo za watawala waliosababisha hasira hii, kwa ukweli kwamba:</span> <span>1. </span><span>Watu
wa Kusini hawazuii gesi isitoke kwa sababu ni nyingi sana na hazina
yetu ni ya pili duniani kwa uwingi. Wao wanataka umeme ufuliwe kule kule
kwa sababu utaleta mapinduzi ya maendeleo kule. </span> <span>2. </span><span>Faida
ya pili ni kwamba nyaya zitakazo zoubeba umeme kuupeleka mpaka Kenya na
Uganda tukitaka, lazima njia nzima zitakuwepo transfoma za kuusambaza
mpaka miisho yote ya nchi mpaka vitongoji vyote. Kwahiyo wananchi wa
Kusini ndio wazalendo na siyo watawala wa CCM.</span> <span>3. </span><span>Wanataka
mabomba ya gesi yaanze kuisafirisha baada ya kufuliwa umeme, ili na
yenyewe pia humo njiani yachomekwe mabomba yatakayoieneza nchini kote,
kusudi iwe nishati mbadala ya Taifa kwa ajili ya kuiokoa miti yetu kwa
ajili ya vizazi vyetu vyote vijavyo. Mungu ametuzibulia hazina ya gesi
wakati nchi yetu inaelekea kuwa jangwa kutokana na kuteketezwa miti yote
kwa kutumiwa kama nishati. Hawa ndio wazalendo na siyo watawala wa
CCM.</span> <b><span>4. </span></b><span>Ukweli
kwamba ufisadi wa kutisha umetembea katika mikakati hiyo ya kuufulia
hapa Jijini umeme wa gesi ya Kusini, hivyo kwamba kiburi cha watawala na
kutojali maslahi ya Taifa kama umeme utafuliwa kule kule Kusini, ni kwa
sababu mafisadi hawana jinsi kwavile mabilioni ya watu walishakula
sehemu kubwa, na sasa wanatafuta kulazimisha ili wapate lile fungu nono
la mwisho. <b>Saa ya ukombozi ni sasa! </b></span> <span>Njia
pekee ya kuzimisha moto huu kule Kusini na kurejesha amani ni Rais
Jakaya Kikwete kutoa Tamko la kukubali kufuliwa umeme kule kule Kusini
kwa sababu ni kwa maslahi ya Taifa. DP tupo tayari kufanya usuluhishi
kama kutakuwepo uwazi kwa upade wa serikali, kwa ajili ya hatima ya Nchi
yetu.</span> <span style="color: red;"><span>Rais
Jakaya Kikwete analazimika pia kutamka bayana kipaumbele kwa ubereshaji
wa Bandari kuu ya Mtwara, ikibidi hata kwa kusitisha mradi wa Bandari
ya Bagamoyo. Hii ni kwa maslahi ya Taifa letu. Rais Jakaya Kikwete
anapaswa kutamka bayana kuhusu ukamilishaji wa barabara ya Kusini.</span><br />
</span><span style="color: red;"><span>Rais
Kikwete anakabiliwa na utanguaji wa ufisadi wote uliofanyika Mtwara
Corridor mpaka Ludewa kwenye miradi ya Chuma cha Liganga na Mkaa wa mawe
Mchuchuma. <b>Saa ya ukombozi ni sasa! </b></span></span><span style="color: red;"><b><span>Mchungaji C. Mtikila, Mwenyekiti</span></b></span><span style="color: red;"><b><span>0713 430516</span></b></span></blockquote>
</div>
</div>
Felix Wilbard Mpozemenyahttp://www.blogger.com/profile/07871139124516316683noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8891786991288583789.post-29962043688449658412013-01-27T21:32:00.001+03:002013-09-24T06:04:44.805+03:00<h2 class="posttitle icon">
Mtikila amemtaka JK atangaze Kustisha Mradi wa gas Mtwara mara moja Press Leo Traventne Hotel Dar!!!
</h2>
<br />
<div class="content">
<div id="post_message_5548271">
<blockquote class="postcontent restore">
Mch Mtikila amekusudia kutoa tamko leo saa tano asubuhi, Hotel
Traventine la kumtaka Rais Kikwete atangaze Kusitishwa kwa mradi wa
Kusafirisha gas Kutoka Mtwara kuja Dar Mara moja ili kudumisha amani
Mtwara!!!.Asipofanya hivyo ipo hatari mapinduzi ya utawala wake yaka
anzia Mtwara.<br />
<br />
Update: Mtikila ameshatoa Tamko:<br />
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<b><span>TAARIFA YA DEMOCRATIC PARTY (DP) KUHUSU</span></b></div>
</div>
<div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<span>GESI NA MASLAHI YA MTWARA CORRIDOR</span><br />
</div>
</div>
<span>DP tunatoa
tahadhari kwamba hali inayoendelea kuwa mbaya huko Kusini mwa Nchi yetu,
inazidishwa na ukosefu mkubwa wa uzalendo na hekima katika utawala wa
juu wa CCM, kiasi cha kuzidi kuumwagia gesi moto unaowaka badala ya
kutumia historia ya tatizo lenyewe ambayo peke yake ndiyo inayoweza
kuwapa busara ya zimamoto! </span> <span>Tunapenda
ieleweke kuwa madai kwamba umeme wa gesi hiyo ufuliwe kule kule Kusini
yanatoka katika uchungu wa wananchi wote wa Kusini mwa Tanganyika yaani <b>Mtwara Corridor</b>, uchungu wa kudhulumiwa, kudhalilishwa na kusahauliwa kabisa kimaendeleo tangu tulipotapata uhuru mpaka leo. </span> <span>Serikali
ndiyo chombo hasa cha kuzungushia gurudumu la maendeleo, ambalo
lilielekezwa Kaskazini tu mpaka Kusini kukabaki pori na giza nene, kiasi
kwamba watumishi wa umma walipokuwa wanapangiwa kufanya kazi Kusini,
mara nyingi ikiwa kama adhabu, waliamua kuacha kazi. Kupuuza upande
mmoja wa nchi kimaendeleo huwa ni bomu la hatari litakaloteketeza hapo
baadaye, kama inavyokuwa hivi leo</span> <span>Wananchi wa <b>Mtwara Corridor</b>
wanafahamu kwamba sumaku ya wawekezaji wa miradi mikubwa ya kuwaletea
maendeleo ni nishati na miundombinu, lakini watawala wa CCM
waliwanyang’anya Reli ya Kusini kwa uharamia wa kung’oa mpaka mataruma
na kufutilia mbali hata na tuta lenyewe! </span> <span>Wananchi
wa Kusini ni binadamu wanaoumia kwamba hata barabara ya kuwaunganisha
na dunia nyingine haijaisha mpaka leo, lakini wanayaona makufuru ya
ufujaji wa kutisha wa serikali ya CCM hiyo hiyo wa mabarabara ya Jijini
Dar es Salaam sasa kukwanguliwa lami nzuri kabisa ya mabilioni ya fedha,
ambayo ingeishi zaidi ya miaka saba mingine!</span> <span>Serikali
ndiyo yenye jukumu la kuweka misingi yote ya uchumi wa nchi, kwa ajili
ya maendeleo ya Taifa na maisha bora ya wananchi wenyewe, lakini mbali
ya ule uharamia wa kuwang’olea ile reli, fungu la uboreshaji wa Bandari
ya Mtwara ambayo ndiyo yenye kina kikubwa zaidi cha asili kinachofaa
zaidi kuliko hata bandari ya Dar es Salaam, sasa ni fungu la kujengea
bandari ya Bagamoyo nyumbani kwa Kikwete, ambapo ni hatua kadhaa tu
jirani ya Dar es Salaam!</span> <span>Zao
la pamba ambalo utawala wa mkoloni ulilijengea msingi imara kwa ajili
ya uchumi wa nchi na wananchi wake, lilishamiri vizuri zaidi Kusini kama
ulivyoshamiri hata mkonge. Lakini kwa kutowathamini watu wa Kusini na
kutojali kabisa hatima yao kiuchumi na kimaisha, utawala wa CCM
uliyanyima mazao hayo kipaumbele kule na hata ule msukumo unaopasa,
wakati kule Kaskazini mwa nchi hiyo hiyo umeme ulisha sambazwa mpaka
migombani!</span><br />
<span>Zao la korosho lililobaki
angalau katika uwezo wao ulio duni, limekuwa kama mnyororo wa utumwa,
kwa sababu wakivuna hawapati kitu bali kupunjwa kabisa bei kama
zikinunuliwa. Ni zao linalotajirisha sana ma--------- kwa kuwakondesha
vibaya sana walalahoi wa Kusini. </span> <div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<b><span>KUHUJUMIWA KWA MAONO YA SHUJAA OSCAR KAMBONA</span></b></div>
</div>
<span>Watu
wa Mtwara Corridor wanafahamu kwamba shujaa Oscar Kambona ndiye hasa
aliyefanikiwa kuiombea Nchi yetu msaada wa China wa Reli ya Uhuru, na
uwezo wake wa kisiasa na hasa baada ya kung’ara katika ukombozi wa
Afrika na uhusiano wake binafsi na Chou en Lai ulivyotusaidia. </span> <span>Tunajua
kwamba kwa ajili ya hazina za Taifa letu za mafuta na gesi kule Kusini,
pamoja na rutuba isiyo kawaida kwa ajili ya kilimo, pamoja na raslimali
za madini ya thamani njia yote, achilia mbali wanyamapori Selous, na
chuma cha Liganga na mkaa wa mawe Mchuchuma, reli hiyo ilikuwa ianzie
Bandari ya Mtwara iliyopangiliwa pia uboreshwaji wa nguvu, na ilikuwa
iende mpaka Ziwa Nyasa baada ya kona ile ya kwenda Liganga na Mchuchuma
hadi Rukwa kwenye shaba.</span> <span>Hauwezi
kusahaulika ushuhuda kwamba baada ya shujaa Kambona kuelezea baraza la
mawaziri mafanikio haya ya safari yake China, na hasa Bandari ya Mtwara
na reli ya uhuru wetu wa kiuchumi, alitukanwa na mkuu wake kwamba ni
mkabila sana, kwa ‘kosa’ la kutaka hiyo miundombinu ya bandari na reli
iwe Kusini! </span> <span>Mzalendo
Oscar Kambona alijitetea kwa hekima ya rohoni kiasi cha kuwatoa machozi
baadhi ya wenzake kwamba, “Mimi si mkabila wala sina kosa, kama kuna
mwenye makosa basi ni Mwenyezi Mungu”. Alipotakiwa aeleze ana maana gani
alisema, ‘Kwa sababu Mungu angetuwekea kule Kilimanjaro au Musoma hizi
hazina za gesi, mafuta, madini ya thamani na Selous ya wanyamapori,
chuma na mkaa wa mawe na shaba <b>reli ingepita</b>, lakini sasa alikosea akaweka Kusini. </span> <span>Hakuna
mwehu wa kubisha kwamba maono haya ya hayati Oscar Kambona yalikuwa ya
uzalendo wa hali ya juu kwa ajili si ya watu wa Kusini, bali kwa muujiza
wa maendeleo ya kiuchumi ya Taifa la wana wa <b>Tanganyika</b> kuwa katika kilele cha Afrika na hata dunia. </span> <span>Hatushangai
kwamba ingawa shujaa Oscar Kambona ndiye aliyeanzisha Kamati ya
Ukombozi ya Umoja wa Nchi Huru za Afrika (OAU), kwa maono yake binafsi
ambayo Nyerere ilibidi ayaafiki, Kambona akayauza kwa rafiki yake mpenzi
Ahmed Sekou Toure aliyempa cheki tupu ya kwanza, wakamhusisha shujaa
Kwame Nkurumah aliyetoa cheki ya pili, na walipomshirikisha Mfalme Haile
Selasie naye akatoa cheki ya tatu, shujaa Oscar Kambona akaupambisha
moto wa ukombozi wa Afrika, mpaka wivu ulipompiga vita kali hadi
akaikimbia Nchi yake. </span> <span>Ni
dhahiri kwamba watu wa Kusini ya Tanganyika au Mtwara Corridor walikuwa
na sababu ya kumpenda na kumheshimu hayati Oscar Kambona, kwa sababu
maono yake kwa ajili ya hatima ya Taifa letu yalikuwa baraka kwao.
Lakini hakuna hata <i>choo</i> ya Jiji iliyoweza kuitwa jina la shujaa Oscar Kambona, licha ya sifa na heshima aliyoiletea Nchi yetu, hii ni aibu!</span> <span>Nyerere
alipogeuka kuwa adui mkuu wa shujaa Oscar Kambona watu wengi wa Kusini
waliteseka kwa ajili hiyo, na koroboi ya maendeleo Kusini ilionekana
kuzimika kiaina, hadi ilipoibuliwa upya na Shirika la Maendeleo la Taifa
(NDC) mikakati mipya ya maendeleo ya Kusini, kwa jina la <b><u>Mtwara Corridor</u></b>,
iliyofanyiwa kazi kwa dhati na mzalendo Simbakalia ambaye sasa ndiye
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara. Koroboi hiyo ikazimika tena alipoondolewa huyu
kutoka NDC.</span> <div style="text-align: center;">
<div style="text-align: center;">
<b><span>UFUMBUZI WA MOTO WA HASIRA ULIOLIPUKA KUSINI</span></b></div>
</div>
<span>Moto
huu usipozimishwa kwa hekima ya hali ya juu, si ajabu ukaimeza mikoa
yote ya Kusini yaani Mtwara, Lindi, Ruvuma, Mbeya, Iringa, Morogoro na
hata Rukwa, tukakuta yanazaliwa mataifa mawili mpaka ukiwa Reli ya Kati!
</span> <span>Tumeeleza kwa kifupi
sana historia na sababu za msingi za hasira za watu wa Kusini, kwamba
wao pia ni binadamu, na kwamba lugha yao ya amani ilipuuzwa kwa miaka
yote 52 tangu nchi yetu ilipopata uhuru. Lakini tunapinga propaganda za
uwongo za watawala waliosababisha hasira hii, kwa ukweli kwamba:</span> <span>1. </span><span>Watu
wa Kusini hawazuii gesi isitoke kwa sababu ni nyingi sana na hazina
yetu ni ya pili duniani kwa uwingi. Wao wanataka umeme ufuliwe kule kule
kwa sababu utaleta mapinduzi ya maendeleo kule. </span> <span>2. </span><span>Faida
ya pili ni kwamba nyaya zitakazo zoubeba umeme kuupeleka mpaka Kenya na
Uganda tukitaka, lazima njia nzima zitakuwepo transfoma za kuusambaza
mpaka miisho yote ya nchi mpaka vitongoji vyote. Kwahiyo wananchi wa
Kusini ndio wazalendo na siyo watawala wa CCM.</span> <span>3. </span><span>Wanataka
mabomba ya gesi yaanze kuisafirisha baada ya kufuliwa umeme, ili na
yenyewe pia humo njiani yachomekwe mabomba yatakayoieneza nchini kote,
kusudi iwe nishati mbadala ya Taifa kwa ajili ya kuiokoa miti yetu kwa
ajili ya vizazi vyetu vyote vijavyo. Mungu ametuzibulia hazina ya gesi
wakati nchi yetu inaelekea kuwa jangwa kutokana na kuteketezwa miti yote
kwa kutumiwa kama nishati. Hawa ndio wazalendo na siyo watawala wa
CCM.</span> <b><span>4. </span></b><span>Ukweli
kwamba ufisadi wa kutisha umetembea katika mikakati hiyo ya kuufulia
hapa Jijini umeme wa gesi ya Kusini, hivyo kwamba kiburi cha watawala na
kutojali maslahi ya Taifa kama umeme utafuliwa kule kule Kusini, ni kwa
sababu mafisadi hawana jinsi kwavile mabilioni ya watu walishakula
sehemu kubwa, na sasa wanatafuta kulazimisha ili wapate lile fungu nono
la mwisho. <b>Saa ya ukombozi ni sasa! </b></span> <span>Njia
pekee ya kuzimisha moto huu kule Kusini na kurejesha amani ni Rais
Jakaya Kikwete kutoa Tamko la kukubali kufuliwa umeme kule kule Kusini
kwa sababu ni kwa maslahi ya Taifa. DP tupo tayari kufanya usuluhishi
kama kutakuwepo uwazi kwa upade wa serikali, kwa ajili ya hatima ya Nchi
yetu.</span> <span style="color: red;"><span>Rais
Jakaya Kikwete analazimika pia kutamka bayana kipaumbele kwa ubereshaji
wa Bandari kuu ya Mtwara, ikibidi hata kwa kusitisha mradi wa Bandari
ya Bagamoyo. Hii ni kwa maslahi ya Taifa letu. Rais Jakaya Kikwete
anapaswa kutamka bayana kuhusu ukamilishaji wa barabara ya Kusini.</span><br />
</span><span style="color: red;"><span>Rais
Kikwete anakabiliwa na utanguaji wa ufisadi wote uliofanyika Mtwara
Corridor mpaka Ludewa kwenye miradi ya Chuma cha Liganga na Mkaa wa mawe
Mchuchuma. <b>Saa ya ukombozi ni sasa! </b></span></span><span style="color: red;"><b><span>Mchungaji C. Mtikila, Mwenyekiti</span></b></span><span style="color: red;"><b><span>0713 430516</span></b></span></blockquote>
</div>
</div>
Felix Wilbard Mpozemenyahttp://www.blogger.com/profile/07871139124516316683noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8891786991288583789.post-12262548769611944012013-01-27T21:24:00.005+03:002013-01-27T21:24:40.695+03:00Zitto alipuka, amtaka JK aende Mtwara<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: center;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;"><span><span style="font-family: Times New Roman;"><span style="color: #0060bf;"><span style="font-style: italic;">Ifuatayo
ni kauli ya Zitto Kabwe katika mkutano wake na waandishi wa habari Dar
es Salaam, leo. Chini yake kuna kauli ya Ikulu iliyowahi kutolewa pia
katika vyombo vya habari Oktoba mwaka juzi Katika kulinganisha kauli
hizi mbili, Zitto anaona serikali inajikanganya, na inatafuta wachawi wa
mgogoro wa Mtwara, badala ya kutafuta suluhu. Zisome mwenyewe</span></span>.</span></span></span></div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: center;">
<b><span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;"></span></b> </div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: center;">
<b><span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;"></span></b> </div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: center;">
<b><span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;"></span></b> </div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: center;">
<b><span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;"></span></b> </div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: center;">
<b><span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;"></span></b> </div>
<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: center;">
<b><span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">TAARIFA YA
NDUGU ZITTO KABWE (MB) KUHUSU YANAYOENDELEA</span></b></div>
<br />
<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: center;">
<b><span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">MTWARA NA
MRADI WA BOMBA LA GESI ASILIA</span></b></div>
<br />
<div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: center;">
<b><span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;"> </span></b></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<b><span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">Serikali
iache kutafuta mchawi, iende Mtwara</span></b></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<b><span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;"> </span></b></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">Katika kipindi cha wiki nne sasa kumekuwa na maandamamo,
malumbano na vurugu kuhusu mradi wa kujenga bomba la kusafirisha gesi asilia
kutoka Mtwara hadi Dar es Salaam. Mradi huu wa kutandaza bomba la urefu wa
kilometa 542 ni mkubwa sana hapa nchini, na una thamani kubwa zaidi kuliko
miradi mingine yote<span> </span>ya miundombinu
iliyopata kutokea hapa nchini. Mradi huu utajengwa kwa mkopo wa dola za Kimarekani
1.2 bilioni kutoka Benki ya Exim ya China.</span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;"> </span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">Wananchi wa Mtwara kupitia maandamano ya tarehe 27
Desemba 2012 wametaka kujua hatma ya maendeleo ya mikoa wa kusini kutokana na
mradi huu wa bomba la gesi. Serikali imewajibu wananchi hawa kwa kuwaita
wahaini, watu hatari na wasio elewa. Imefika mahali inapotosha madai yao kwamba
hawataki gesi itoke Mtwara.</span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;"> </span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">Kimsingi Serikali haijajibu hoja yeyote ya msingi ya
wananchi wa Mtwara kuhusu mradi wa kusafirisha gesi. Badala yake imekuwa
ikijaribu kupotosha madai ya watu wa Mtwara kupitia mikutano na vyombo vya
habari.</span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;"> </span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">Tangu maandamano haya yatokee, na baadaye mikutano ya
hadhara na<br />
hatimaye matukio ya kusikitisha ya kuharibu mali za watu, mauaji ya<br />
watu na majeruhi mbalimbli, Serikali na hasa Wizara yenye dhamana ya<br />
mradi huu, imekuwa ikitoa matamko kwenye vyombo vya habari badala ya<br />
kwenda Mtwara kuzungumza na wananchi, kusikiliza madai yao na kuona<br />
namna ya kutekeleza madai hayo. Kutokana na Serikali kutofanya hivyo,<br />
kusikiliza na kuzungumza na wananchi wa Mtwara, vurugu mbaya sana zimeendelea
mkoani humo.</span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<a href="http://www.blogger.com/null" name="13c7b48276485fe8__GoBack"></a><span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;"><br />
Mwezi uliopita, Desemba 2012, tatizo lilionekana kuwa ndogo na lenye kuhusiana
zaidi na ukosefu wa kushirikishwa kwa wananchi. Badala ya kushughulikia<br />
tatizo likiwa bado ndogo, Serikali imeona njia pekee ya kushughulikia suala
hili ni kutafuta mchawi na kwa wiki zote hizi imekuwa ikisemakuwa w<b>anasiasa na makampuni ya uwekezaji ya nje
yanachochea mgogoro</b></span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<b><span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">huu</span></b><span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">.</span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;"> </span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">Leo hali iliyopo mkoani Mtwara inasikitisha sana, maana mali
za wananchi zinaharibiwa, nyumba zinachomwa moto na watu wanapoteza maisha. Tunalaani
matukio haya kwa nguvu zetu zote, maana kinachotokea Mtwara si Utanzania.
Tusipowasikiliza wananchi na kutatua mgogoro huu kwa kuwashirikisha, hali
itazidi kuzorota wakati tukitupiana lawama.</span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;"> </span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">Hivi sasa serikali imeona njia pekee ya kushughulikia
suala hili ni kutafuta mchawi na kwa wiki zote hizi <b>imekuwa ikisema kuwa wanasiasa na makampuni ya uwekezaji ya nje
yanachochea mgogoro huu</b>.</span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;"> </span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">Kwanza, Serikali imekuwa ikiaminisha umma kwanza suala
hili limechukuliwa kisiasa. Pili, Serikali imekuwa ikirudia kusema kuwa baadhi
ya makampuni ya uwekezaji nchini na mataifa ya Magharibi yamekuwa yakichochea
wananchi wa Mtwara.</span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;"> </span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">Katika mwendelezo wa mtindo wa Serikali wa ‘<b>management by press conferences’</b> jana
Jumamosi Naibu Waziri wa Nishati na Madini ndugu George Simbachawene aliwaambia
wahariri kwamba mimi Zitto Kabwe ninachochea wananchi wa Mtwara, ninatumiwa, na
si mzalendo. Vile vile alitoa vielelezo kadhaa kuonyesha kuwa mradi wa kujenga
bomba la gesi ni gharama sawasawa. Akasisitiza kwamba mimi ni mwongo.</span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;"> </span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">Katika kipindi chote cha mgogoro wa Gesi Mtwara, sijafika
Mtwara. Sijafanya mkutano wowote na waandishi zaidi ya kuandika mawazo yangu,
kama Mtanzania kuhusu suala hili.</span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;"> </span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">Nimeandika makala nne na zimechapishwa katika magazeti
kadhaa hapa nchini na kwenye blogu yangu (</span><span lang="SW"><a href="http://www.zittokabwe.com/" target="_blank"><span style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">www.zittokabwe.com</span></a></span><span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">).</span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;"> </span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">Niliandika: </span><span lang="SW"><a href="http://zittokabwe.wordpress.com/2012/12/29/utajiri-wa-gesi-asilia-tuwasikilize-watanzania-wa-mtwara-na-lindi-tusipuuze/" target="_blank"><b><span style="color: windowtext; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">Utajiri
wa Gesi Asilia: Tuwasikilize Watanzania wa Mtwara na Lindi. Nikaandika
tena: Tusipuuze </span></b></a>m<a href="http://zittokabwe.wordpress.com/2013/01/03/maandamano-dhidi-ya-bomba-la-gesi-kilio-cha-uwajibikaji/" target="_blank"><b><span style="color: windowtext; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">andamano
dhidi ya Bomba la Gesi: Kilio cha Uwajibikaji</span></b></a></span><span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">; Nikaandika
tena: </span><span lang="SW"><a href="http://zittokabwe.wordpress.com/2013/01/20/mtwara-serikali-inavunja-nchi-kwa-kutosikiliza-wananchi/" target="_blank"><b><span style="color: windowtext; font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">Mtwara
: Serikali inavunja nchi kwa kutosikiliza Wananchi</span></b></a></span><span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">; ni baadhi
ya makala nilizoandika kuhusiana na suala la Mtwara.</span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<b><span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;"> </span></b></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">Sitaki kubishana na Naibu Waziri ama Kiongozi yeyote ya
Serikali kwa sasa. Hatuwezi kuendelea kulumbana, kuzozana, kuzodoana na
kurushiana maneno wakati nchi yetu inaungua. Huu sio wakati wa kutafuta mchawi
bali kutafuta majawabu ya changamoto zilizopo mbele yetu.</span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;"> </span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">Yanayotokea Mtwara ni fundisho kwetu kwa Taifa namna ya
kukabili changamoto za utajiri wa rasilimali, ili kuweka mkakati, mambo haya
yanayotokea Mtwara yasitokee tena Tanzania. Tutaweza kuzuia maafa haya iwapo tutaweka
uwazi katika mikataba, tutashirikisha wananchi kwenye unyonyaji wa maliasili za
nchi, na iwapo tutaweka uwajibikaji.</span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;"> </span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<b><span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;"> </span></b></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<b><span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">Rais Kikwete
Kikwete ana majibu; ayatoe sasa kwa wana Mtwara</span></b></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;"> </span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">Kwa mujibu wa Mpango Kabambe wa Umeme nchini (Power
System Master Plan), kulikuwa na mradi wa kufua umeme MnaziBay, ambao Rais
Jakaya Kikwete aliagiza utekelezwe mara moja. Serikali ieleze umma kuhusu mradi
huo wa kujenga kituo cha kufua umeme 300MW MnaziBay Mtwara na kujenga msongo wa
umeme wa 300KV mpaka Singida. Umeishia wapi? Ikumbukwe kuwa mnamo tarehe 12
Oktoba 2012, Rais Jakaya Kikwete alipokea ripoti ya ujenzi wa mradi huu kutoka
makampuni ya China National Machinery & Equipment Import & Export
Corporation (CMEC) ya China na Siemens ya Ujerumani, ambayo kwa pamoja yalitarajia
kujenga kituo kikubwa cha kuzalisha umeme kutokana na gesi katika eneo la Mnazi
Bay, mjini Mtwara na pia kujenga njia ya kusafirisha umeme ya kilomita 1,100
kutoka Mtwara hadi Singida. Mradi huu ungegarimu dola za kimarekani milioni 684
na Rais aliagiza utekelezwe haraka sana. Huu mradi uliishia wapi? Kwa nini
Serikali ipo kimya kuhusu mradi huu ambao ungejibu kabisa maswali ya watu wa
Mtwara? <i>Taarifa ya Ikulu kuhusu mradi huu
imeambatanishwa hapa</i>.</span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;"> </span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<b><span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">Tufanyeje?</span></b></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<b><span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;"> </span></b></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">Hapa tulipofikia ni lazima kwanza kabisa kusikia kilio
cha wananchi wa Mtwara ikiwemo kuelewa madai yao. Swali kubwa kubwa la watu wa
Mtwara na Kusini kwa ujumla ni ‘tunanufaikaje’? Jibu la swali hili si ahadi za
miradi bali ni vitendo. Hapa ndipo serikali inaposhindwa kushughulikia suala hili,
kutoelewa madai ya wananchi na kuyapotosha.Viongozi wa kisiasa wenye ushawishi
kutoka pande zote, chama tawala na vyama vya upinzani, waende Mtwara kuzungumza
na wananchi, lakini wawasikilize kwanza.</span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;"> </span></div>
<br />
<ol start="1" style="margin-top: 0in;" type="1">
<li class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;"><span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">Lazima viongozi
tujenge utamaduni wa kusikiliza wananchi na si kuwahutubia tu. Wananchi wa
Mtwara wana madai ambayo lazima viongozi tukae kitako kuwasikiliza kisha
kufanya nao majadiliano ambayo yatatoa mwafaka. Rais mstaafu, <b><i>Ndugu
Benjamin Mkapa ameshatoa kauli kuhusu suala hili. Ni wakati mwafaka sasa kwa
viogozi wengine kumuunga mkono kwa kwenda Mtwara na kukaa na wananchi wa
Wilaya zote za Mtwara, kusikiliza hoja zao na kuona namna ya kupata
ufumbuzi wa suala hili. Wakati hatua hii inachukuliwa, wananchi waombwe
kutulia na kuacha vurugu za aina yeyote ile, na Serikali isimamishe mradi
mpaka hapo suluhu na wananchi itakapopatikana</i></b>.</span></li>
</ol>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;"> </span></div>
<br />
<ol start="2" style="margin-top: 0in;" type="1">
<li class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;"><span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">Wakati juhudi
hizo zinaendelea <b><i>Serikali iweke wazi mkataba wa ujenzi
wa bomba, kwani ni dhahiri gharama za mradi huu ni kubwa mno kulingana na
uhalisia wa miradi ya namna hii duniani kote. Katika taarifa zote kwa umma
Serikali imekuwa ikisema kwamba mradi utagharimu jumla ya dola za
kimarekani 1.2 bilioni, lakini katika taarifa ambayo Wizara ya Nishati na
Madini imesambaza jana kwa wahariri wa vyombo vya habari nchini imesema mradi
utagharimu dola za kimarekani milioni 875. Usiri katika mkataba huu
unaashiria kwamba Serikali inaficha kitu.</i></b> Hivyo njia pekee ni
kutaka mkataba uwe wazi kwa wananchi.</span></li>
</ol>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;"> </span></div>
<br />
<ol start="3" style="margin-top: 0in;" type="1">
<li class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;"><i><span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">Wakati
tunawataka wananchi wa Mtwara kuruhusu utulivu, ni vema Serikali ijiandae kutoa
majawabu ya madai ya wananchi hao. Majawabu ya Serikali yajikite kueleza
wananchi wa Mtwara wanafaidikaje na rasilimali ya gesi asilia kwa
maendeleo yao. Wananchi wa Mtwara wanataka uwajibikaji wa Serikali kwenye
utajiri wa nchi, na wamechoka na porojo za orodha ya miradi isiyotekelezwa</span></i><span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">.</span></li>
</ol>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;"> </span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">Viongozi twendeni Mtwara kusikiliza wananchi wetu. Nchi
inaungua na hatuwezi kuendelea kuzozana badala ya kuzima moto huu hatari kama
vita vya MajiMaji. Mimi nakwenda Mtwara haraka na mara baada ya viongozi wangu
wa chama kutoa ridhaa.</span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;"> </span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;"> </span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<b><span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;">ZITTO KABWE</span></b></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 10pt;">Mbunge, Kigoma Kaskazini (Chadema)</span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 10pt;">Waziri Kivuli wa Fedha</span></div>
<br />
<div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin-bottom: 0pt; text-align: justify;">
<span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 10pt;">Naibu Kiongozi wa Upinzani Bungeni</span><span lang="SW" style="font-family: "Arial","sans-serif"; font-size: 12pt;"></span></div>
<br /><br /><span style="font-weight: bold;">KAULI YA IKULU</span><br /><br />
<br />
<div class="MsoNormal">
<b><span lang="SW" style="background: rgb(250, 250, 250); color: #333333; font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 115%;">• Mradi
kabambe wa umeme kujengwa</span></b><span lang="SW" style="background: rgb(250, 250, 250); color: #333333; font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 115%;"><br />
<b>• Rais Kikwete apokea ripoti ya maandalizi</b><br />
<b>• Utagharimu mabilioni ya fedha</b><br />
<b>• Utaunganisha mikoa yote kwenye Gridi ya Taifa</b><br />
</span><span lang="SW" style="color: #333333; font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 115%;"><br />
<span style="background: rgb(250, 250, 250);">Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumatano, Oktoba 12, 2011, amepokea
ripoti kutoka makampuni mawili ya kimataifa kuhusu Mpango Kabambe ya mradi
mkubwa wa umeme ambao utaunganisha kwenye Gridi ya Taifa mikoa yote sita ambayo
kwa sasa haiko kwenye gridi hiyo.<br />
<br />
Rais Kikwete amepokea ripoti hiyo kutoka makampuni ya China National Machinery
& Equipment Import & Export Corporation (CMEC) ya China na Siemens ya
Ujerumani ambayo kwa pamoja yanatarajia kujenga kituo kikubwa cha kuzalisha
umeme kutokana na gesi katika eneo la Mnazi Bay, mjini Mtwara na pia kujenga
njia ya kusafirisha umeme ya kilomita 1,100 kutoka Mtwara hadi Singida.<br />
<br />
Mradi huo mkubwa wa umeme wa megawati 300 utakaogharimu karibu dola za Marekani
milioni 684 na utakaozalisha umeme wa moja kwa moja na wenye nguvu kubwa ya 300
kV (300 kV High Voltage Direct Current – HVDC) utagharimiwa kwa pamoja na mkopo
kutoka Benki ya Exim ya China na Serikali ya Tanzania.<br />
<br />
Umeme kutokana na mradi huo utaunganishwa <a href="http://www.blogger.com/null" name="13c7b48276485fe8__GoBack"></a>kwenye gridi ya
taifa na kutoka Singida hatimaye utavutwa kupelekwa katika mikoa ya Kaskazini
Magharibi mwa Tanzania ya Kagera, Kigoma na Rukwa ambako pia utaongeza
upatikanaji wa umeme katika machimbo ya madini yaliyoko katika mikoa hiyo.<br />
<br />
Kwa mujibu wa ripoti hiyo, mbali na mikoa hiyo mitatu, pia mikoa ya Lindi na
Mtwara ambayo nayo haiko katika Gridi ya Taifa nayo itaunganishwa katika Gridi
hiyo kupitia umeme huo.<br />
<br />
Kuunganishwa kwa mikoa hiyo sita katika Gridi ya Taifa kupitia umeme wa mradi
huo pamoja na Mkoa wa Ruvuma ambao utaunganishwa katika Gridi hiyo kwa mradi
unaogharimiwa na Serikali ya Sweden kutakamilisha mpango wa Serikali ya Awamu
ya Nne kuunganisha mikoa yote ya Tanzania kwenye umeme wa Gridi ya Taifa.<br />
<br />
Kwa sasa Mkoa wa Kagera unahudumiwa na umeme kutoka Uganda, wakati Mikoa ya
Kigoma na Rukwa inahudumiwa na umeme wa mafuta ya dizeli. Mikoa ya Mtwara na
Lindi inapata umeme wake kutoka kampuni ya Wentworth ambao haujaunganishwa
kwenye gridi ya taifa.<br />
<br />
Kuunganisha mikoa yote ya Tanzania kwenye Gridi ya Taifa ilikuwa moja ya ahadi
kubwa zilizotolewa na Serikali ya Rais Kikwete wakati anaingia maradakani na
kwa kuuunganisha mikoa hiyo sita kwenye Gridi hiyo, Serikali hiyo itakuwa
imetimimiza ahadi hiyo.<br />
<br />
Akipokea ripoti hiyo, Rais Kikwete ameishukuru Wizara ya Fedha, Wizara ya
Nishati na Madini pamoja na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa juhudi zao
zilizofanikisha makubaliano ya kujengwa kwa mradi huo mkubwa wa umeme ambao
utachangia kuongeza wingi wa umeme nchini katika kipindi ambacho kwa miezi
kadhaa Tanzania imekabiliwa na mgawo wa umeme kutokana na ukame uliokausha maji
kwenye mabwawa makubwa ya uzalishaji umeme nchini.<br />
<br />
Rais Kikwete pia ameitaka Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na Benki ya EXIM ya
China kuhakikisha kuwa fedha za kutekeleza mradi huo zinapatikana haraka
iwezekanavyo na pia ameitaka TANESCO na makampuni ya CMEC na Siemens baada ya
kupatikana kwa fedha kuanza ujenzi wa mradi huo kwa kasi na kuukamilisha katika
muda na ubora unaotarajiwa.<br />
<br />
Imetolewa na:<br />
<br />
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,<br />
Ikulu<br />
DAR ES SALAAM.<br />
<br />
12 Oktoba, 2011</span></span></div>
Felix Wilbard Mpozemenyahttp://www.blogger.com/profile/07871139124516316683noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8891786991288583789.post-32903876237200698372013-01-27T21:22:00.000+03:002013-01-27T21:22:09.969+03:00CHADEMA Ianzishe mabadiliko ya Ndani; Vinginevyo kuiondoa CCM 2015 ni ndotoNa M. M. Mwanakijiji<br />
<br />
Kama kuna vitu vya kusikitisha na wakati mwingine kukatisha tamaa ni
mgongano ambao umekuwa ukifukuta kwa muda ndani ya CHADEMA kiasi cha
kuwa kama doa chafu ambalo halipaswi kuvumilika. Mambo ambayo yametokea
Arusha, Mwanza, Mbeya na sasa BAVICHA yanaashiria kuwa kama CDM
haitaamua kujiangalia ndani na kuanzisha mabadiliko ya mfumo na muundo
wake basi kuiangusha CCM na kuiondoa madarakani mwaka 2015 itakuwa ni
ndoto ya kutamania tu lakini kamwe haitatokea. <br />
<br />
Migongano hii ambayo imeishia katika watu kutimuana na kutuhumiana
imesababisa watu kuzungumzia migogoro ndani ya chama kuliko maono yake
kwa taifa. Wiki hizi chache zilizopita zimesababisha mazungumzo mengi
ndani ya CDM na nje yake yawe ni kuhusiana na kundi la vijana ambao
walituhumiwa kuendesha uasi ndani ya chama kuliko kuzungumzia mipango ya
CDM kushika dola. Tumeshuhudia kwa masikitiko makubwa wale wanaoitwa
wapiganaji wakitumia muda mwingi kupigana wenyewe kwa wenyewe na sisi
ambao tuko kwenye mitandao ya kijamii tumeshuhudia siyo tu kurushiana
risasi bali mishale, visu, misumari, mawe na ndoana! Inaudhi,
inasikitisha na inaacha maswali mengi kweli.<br />
<br />
<br />
<b>Tushukuru Mungu CHADEMA haikushinda uchaguzi mkuu wa 2010?<br />
</b><br />
Jinsi ambavyo migogoro na milumbano ya chini kwa chini kati ya
viongozi wa CDM ambayo yamefikia mahali pa kulipuana kumenifanya nibakie
na swali ambalo limenikaa kichwani kwa wiki sasa; je wale waliounga
mkono CDM washukuru Mungu kuwa haikushinda uchaguzi mkuu? Swali hili
linakuja kwa sababu najiuliza kama CDM wangeshinda mwaka 2010 wangeunda
serikali ya namna gani? Je wangeweza kuaminiana? <br />
<br />
Je wangeweza kuunda serikali ya namna gani? Je siyo kwamba wao kwa wao
wangeanza kuhujumiana na kurushiana vijembe? Kwa wale ambao tulikuwa
tunafuatilia siasa za ndani ya CCM hasa baada ya kujiuzulu kwa Lowassa
Februari 2008 tunakumbuka jinsi ndani ya CCM kulivyozuka malumbano ya
wao kwa wao, kunyemeleana, kuchimbana na hata – tukiamini maneno ya Rais
Kikwete Butiama – ilifika mahali wao kwa wao CCM wanaogopa kuachiana
glasi za maji mezani kwa kuhofia kutiliana sumu. Je hili ndilo ambalo
nalo lingetokea ndani ya CDM? Leo hii tunaona kuwa CCM chama chenye
mifumo ya zamani na ambacho kina nyenzo nyingi za kushughulikia uasi
imeshindwa kufanya hivyo je CDM ingeweza? <br />
<br />
Tumeshuhudia pamoja na majigambo yote ya “kujivua gamba” CCM
imeshindwa kujisafisha na badala yake wameamua kuvumiliana, kubebana na
kulindana huku wale waliokuwa ni watuhumiwa vitendo vya ufisadi
wakijipanga vizuri zaidi kuweza kuendesha kampeni ya kufa mtu kuugombea
urais. Sasa kama CCM pamoja na watu wake wote mashuhuri ambao
walijipambanua kuwa ni wapinga ufisadi leo si wameshindwa? Wameshindwa
si kwa sababu hawakuwa na nia bali kwa sababu mgawanyo ulioko ndani yake
ni zaidi ya maslahi; ni mgongano wa binafsi (personal conflict) na
hauaisha na naweza kusema hautaisha hadi ama Lowassa awe Rais mwaka 2015
au akataliwe. Na akiwa Rais nina uhakika wa kutosha tu kuwa mpasuko wa
CCM utakuwa ni kamili!<br />
<br />
Sasa leo CDM ambao wanatarajiwa kuwa ndio wenye kuleta nuru mpya ya
uongozi inapofika mahali wanachubuana wenyewe, hakuna nidhamu na
kushindana kila siku kama wangeweza kuuchukua Urais kweli nchi ingekuwa
salama? Je, kama mgongano huu ukiendelea kuvumliwa na kudharauliwa huku
viongozi wakuu wa chama wakifunika vichwa vyao kama mbuni wakidai ati
hakuna ‘mgongano’ ni ‘demokrasia’ kweli CDM itaweza kupambana na CCM na
kushinda uchaguzi mkuu? Kama leo kina Maige wananukuliwa wakimchimba
vijembe Katibu wao wa Uenezi Nape si tunaweza kukuta hay ohayo yanatokea
ndani ya CDM kama ingeunda serikali ambapo baadhi ya wabunge wake au
viongozi wake wangeanza kuirushia vijembe serikali yao au viongozi wao? <br />
<br />
<br />
<b>Mfumo wa CDM wa sasa unalea mno uzembe na viongozi wanaosumbua!</b><br />
<br />
Wengi wetu tumekuwa tukilalamika sana jinsi serikali ya CCM chini ya
Rais Kikwete ilivyojenga mfumo wa kubebana, kulindana na kuvumiliana
kiasi kwamba hadi mtu afukuzwe kazi au aondolewe kwenye naffasi yake
basi ni lazima awe amevurunda mno – awe ameboronga. Na hata akiboronga
bado kuna muda mrefu sana wa mtu huyo kupewa nafasi nyingine sehemu
fulani. Mfumo huu wa CCM ndio uliozaa ufisadi na matokeo yake kwa taifa
ni maangamizi.<br />
<br />
Sasa mfumo kama huo huo ukiangalia kwa karibu unaona ukifanya kazi
ndani ya CDM. Ni mfumo wa kuvumiliana, kusubiriana na kutegeana. Ni
mfumo ambao kwenye serikali ya CCM utasikia wanasema “mwenye ushahidi
alete” wakati kwa CDM ni mfumo “kutafuta ushahidi zaidi”. Matokeo ya
mifumo yote miwili ni kuwa serikali inalea viongozi wabovu, wabinafsi na
hatari kwa taifa na CDM inajikuta inavumilia viongozi wabovu, wabinafsi
na hatari kwa maslahi ya chama. Matokeo yake ni kuwa CDM itajikuta na
yenyewe inazaa serikali dhaifu!<br />
<br />
<br />
<b>CDM ibadilike sasa vinginevyo ijiandae kuwa msindikizaji</b><br />
<br />
Sasa ninachokisema hapa ni kuwa uongozi wa CDM usijifanye wao Mbuni;
wanafichwa kichwa mchangani. Tatizo la CCM ambalo limechelewesha chama
hicho kujisafisha na kuweza kubadilika ni imani kuwa kinapendwa. Na
kweli wapo watu wanaoipenda CCM kama mtoto anavyompenda mzazi wake. Wapo
ambao wameapa kabisa kuwa liwalo na liwe wao na CCM milele. Mapenzi ya
namna hii hayajali ubovu, mapenzi ya namna hii hayajali CCM inatawalaje
au inaongoza vipi. NI mapenzi ambayo ‘hayaoni wala hayasikii’. Ni sawa
na mapenzi ya wapendanao wawili ambapo licha ya mausia ya watu kuwa
mmoja wao ni jambazi au ni kahaba wapenzi hao hawataki kusikia maneno
hayo kwani wanaona ni ya watu wenye wivu, ambao hawataki mapenzi yao
yafane. Hadi siku moja mmoja auawe kwenye matendo yake machafu ndio watu
wanaanza kushangaa ‘mbona sikujua’! <br />
<br />
<br />
<b>Mabadiliko ya msingi ya CDM ni lazima yaanzie kwenye Katiba yake</b><br />
<br />
Binafsi naamini kuwa mojawapo ya mambo yaliyochangia kwa kiasi kikubwa
kwa CDM kushindwa kwenda Ikulu mwaka 2010 ni Katiba yake ambayo
imenakili kwa kiasi kikubwa mfumo ule ule wa CCM – yaani Chama
kimejengwa kutoka makao makuu na kinaongozwa kutoka juu. Ni mfumo mbaya
kwa sababu unategemea maamuzi ya juu kuweza kugusa uongozi wa chini
kabisa na katika demokrasia mfumo huu ambao umetengenezwa kutoka juu
kwenda chini ni mfumo mbaya. CDM inajikuta inalazimika kujibu na
kushughulikia mambo yanayotokea chini kutoka makao makuu. <br />
<br />
Ipo mifano mingi ya kkuweza kuonesha hili likifanyika lakini miwili
inatosha kuitaja hapa. Baada ya baadhi ya viongozi wa CDM Karatu
kuangaza kugongana ilimlazimu Mwenyekiti wa Taifa Mbowe kwenda Karatu na
kujaribu kupatanisha pande mbili na kujaribu kkutafuta suluhisho. Na
tumeambiwa suluhisho limepatikana. Jingine na suala la BAVICHA ambapo
baadhi ya vijana wamejikuta wakitumuliwa toka BAVICHA na CDM kutokana na
lundo la tuhuma dhidi yao. Uamuzi huo umechukuliwa na BAVICHA Taifa.
Sasa baadhi ya watu wanaweza kuona ni jambo zuri lakini kwangu
linathibitisha tu ubovu wa mfumo huo – huwezi kutatua kila kitu toka
makao makuu! Ni lazima Chama kiwe na mifumo inayoweza kushughulikia
matatizo ya chini au ya ngazi fulani na yakaishia huko huko bila
kulazimika kwenda makao makuu. <br />
<br />
Ili kuweza kuleta mabadiliko ambayo yataisaidia CDM kujipanga naamini
mabadiliko ya harakaya Katiba ya CDM yanahitajika. Kama nilivyowahi
kuandika nyuma kuhusu CCM kuwa ilihitaji Mkutano Mkuu Maalum wa Chama
ili kijisafisha – hawakufanya hivyo – naamini CDM nayo inahitaji Mkutano
wake Mkuu (Baraza Kuu) kuweza kukaa chini na kupitisha mabadiliko ya
msingi ya Katiba ili kuweza kukipanga chama. Mabadiliko hayo ni lazima
–kwa maoni yangu – iweke mambo yafuatayo (pamoja na mengine mengi).<br />
<br />
<br />
<br />
<ul>
<li><span style="font-family: Calibri;">a. </span><i><b>Viongozi wa juu wa Chama wa Kitaifa wasiwe wabunge</b></i>
– Wabunge wawe wabunge wasishike nafasi za uongozi makao makuu ya chama
– hili nimuhimu kwa ajili ya kuweza kusimamiana (checks and balances).</li>
<li><span style="font-family: Calibri;">b. </span><b><i>Viongozi
wa kitaifa wanaotaka kugombea nafasi yoyote ya kuchaguliwa (ubunge,
udiwani au Urais) ni lazima waachie madaraka (wajiuzulu) nafasi zao mara
wanapotangaza nia ya kugombea nafasi hizo</i>.</b> Hii itazuia viongozi wa kitaifa kutumia raslimali za chama kusaidia kampeni zao au za watu wao wa karibu.</li>
<li><span style="font-family: Calibri;">c. </span><b>Mgawanyo
wa fedha za ruzuku uongozwe na kanuni zilizowekwa kikatiba ambapo kiasi
kikubwa cha fedha kinaenda mikoani na ngazi zachini kujenga chama
badala ya kutumika makao makuu</b>. Makao makuu ipewe uwezo wa kubuni na kuendesha miradi ya chama kukipatia kipato.</li>
<li><span style="font-family: Calibri;">d. </span><i><b>CDM irudishe chama kwenye majimbo kuonesha kuwa kinaamini kweli sera ya majimbo.</b></i>
CDM imekuwa ikiuza sera kuwa wakishika madaraka wataongoza nchi wa
kuweka madaraka katika majimbo zaidi. Sasa kama hili kweli wanaamini ni
jambo zuri basi waanze nalo kwenye chama. Kwanini chama kiko <i>too centralized?</i>
Naamini CDM kitoe madaraka makubwa kwa chama mikoani au kwa kuunganisha
mikoa na hivyo kuwa na makao makuu ya chama ya Kanda ambayo
yatashughulikia shughuli zote za chama katika ngazi hizo. Kama majimbo
ni mazuri kwa uendeshaji wa serikali bila shaka ni mazuri kwa uendeshaji
wa chama! Hii pia itasaidia kuondoa watu wanaotaka kwenda kufanya kazi
makao makuu ya taifa! Wengine waende kwenye kanda huko!</li>
<li><span style="font-family: Calibri;">e. </span><i><b>Mfumo
wa nidhamu ubadilishwe ili masuala ya nidhamu yashughulikiwe katika
mfumo mmoja, unaoeleweka na ambao unafanya kazi kwa haraka, kwa uwazi,
na kwa uhuru. </b></i>Mfumo unaosubiri miaka au miezi kushughulikia
migongano kwenye majimbo au ngazi fulani ni mfumo mbaya. Ni muhimu mfumo
uwepo ambao mara tatizo linapojitokeza linashughulikiwa mara moja na
kumalizwa siyo kuachwa kiporo wiki baada ya wiki miezi baada ya miezi na
hata inakuwa miaka baada ya miaka. Huo ni mfumo mbaya.</li>
<li><span style="font-family: Calibri;">f. </span><i><b>Kurasimisha M4C kama taasisi ya chama</b></i>.
Sasa hivi M4C sijui ni kitu gani ndani ya chama. Niliandika hili wiki
chache zilizopita kuwa mojawapo ya matatizo mengine ni hili la M4C
kutokuwekwa katika utaratibu unaoleweka ambao utaondoa hisia ya kuwa M4C
inaendesha na makao makuu tu na itaweka utaratibu wa wazi kwa wanachama
na mashabiki wa michango inayopatikana na inavyotumika. M4C ni lazima
iwekwe kama taasisiya chama, uongozi wake utambulishwe rasmi ukiwa
unajulikana majukumu yake na mipaka yake. <u>Isije CDM ikajikuta imetengeneza chama ndani ya chama</u></li>
</ul>
<br />
<br />
CDM ikiamua kujipanga vizuri na kufanya maamuzi ya haraka, thabiti na
kuharakisha maamuzi hayo – yakiwemo ya mabadiliko ya Katiba inaweza
kujipa nafasi ya kushinda uchaguzi mkuu ujao. Sasa hivi baada ya
kuupoteza mwaka 2012 sioni ni jinsi gani bila mabadiliko ya ndani ya
chama tena makini, ya makusudi nay a haraka CDM itaweza kushinda
uchaguzi mkuu ujao. Na hili ni la kwanza hatujagusa suala la mabadiliko
ya sera na maono.<br />
<br />
Heri na fanaka za mwaka mpya mpendwa mzalendo<br />
<br />
<br />
Niandikie: <a href="mailto:mwanakijiji@jamiiforums.com" target="_blank">mwanakijiji@jamiiforums.com</a><br />
<div class="yj6qo ajU">
<div aria-label="Show trimmed content" class="ajR" data-tooltip="Show trimmed content" id=":1vz" role="button" tabindex="0">
<img class="ajT" src="https://mail.google.com/mail/images/cleardot.gif" /></div>
</div>
Felix Wilbard Mpozemenyahttp://www.blogger.com/profile/07871139124516316683noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8891786991288583789.post-76635483087362050452012-10-27T16:32:00.001+03:002012-10-27T16:32:16.192+03:00Mbunge ala mamiloni! Awauzia TANESCO matairi 300 alipwa fedha ya matairi 600 <!-- google_ad_section_start --><!-- google_ad_section_end --><br />
<div class="content">
<div id="post_message_4909464">
<blockquote class="postcontent restore">
<!-- google_ad_section_start --><img alt="" border="0" src="http://www.raiamwema.co.tz/sites/default/files/styles/medium/public/field/image/265_msafiri.jpg" /><br /><br /><span style="color: #362204;"><span style="font-family: Verdana;"><span style="color: navy;"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: courier new;">SIKU chache kabla ya kikao cha Bunge kuanza mjini Dodoma, zimeibuka taarifa kwamba mmoja wa wabunge aliyekuwa mjumbe wa Kamati ya Nishati na Madini iliyovunjwa alishiriki kikamilifu kuendesha biashara na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), ambalo kimsingi anapaswa kulisimamia.</span></span></span><br /><span style="color: navy;"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: courier new;"><br />Taarifa hizo zimekuja huku tayari habari zilizovuja na kuandikwa katika vyombo mbalimbali vya habari kudai kwamba uchunguzi wa kamati ya ndogo chini ya Kamati ya Bunge ya Haki, Kinga na Maadili iliyokuwa chini ya Mbunge wa Mlalo, Brigedia Jenerali (mstaafu), Hassan Ngwilizi haikuwatia hatiani wabunge waliokuwa wakituhumiwa.</span></span></span><br /><span style="color: navy;"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: courier new;"><br />Hao walikuwa ni wabunge wajumbe wa Kamati ya Nishati na Madini iliyovunjwa na Spika Anne Makinda, waliokuwa wakituhumiwa kushiriki vitendo vinavyoashiria rushwa ndani ya TANESCO, kampuni ambayo aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wake, William Mhando amesimamishwa kwa tuhuma mbalimbali.</span></span></span><br /><span style="color: navy;"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: courier new;"><br />Taarifa za karibuni zaidi zinaonyesha kwamba mmoja wa wajumbe wa Kamati hiyo, Sarah Msafiri, alikuwa na uhusiano na Kampuni ya M/S Sharrif’s Services & General Supply iliyokuwa ikifanya biashara na TANESCO na yeye kusimamia malipo yenye utata kutoka shirika hilo ambalo mbunge huyo analisimamia.</span></span></span><br /><span style="color: navy;"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: courier new;"><br />Kampuni hiyo ilikuwa inasambaza matairi ya magari kwa TANESCO ikiwa na mkataba wa matairi yenye thamani ya shilingi milioni 387.</span></span></span><br /><span style="color: navy;"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: courier new;"><br />Anasema mtoa taarifa wetu kuhusu biashara hiyo ya matairi: “Yule mbunge ndiye aliyekuwa akija TANESCO wakati wa kufunga mkataba. Mkataba ulikuwa awali wa matairi 652. Baadaye idadi hiyo ilipungua yakaletwa matairi 356, lakini pamoja na matairi kupungua, kiasi cha pesa zilizolipwa kilibaki kilekile”.</span></span></span><br /><span style="color: navy;"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: courier new;"><br />Lakini wakati hayo yakiendelea, zipo pia taarifa kwamba uongozi wa Wizara ya Nishati na Madini na hasa Waziri, Profesa Sospeter Muhongo na Katibu Mkuu Eliakim Maswi, umekuwa ukifuatilia kwa karibu taarifa zilizovuja za Kamati ya Ngwilizi zinazoonyesha kwamba ripoti ya Kamati hiyo imeukandamiza uongozi huo kwenye sakata linalouhusisha na tuhuma za rushwa za wajumbe wa Kamati ya Nishati na Madini.</span></span></span><br /><span style="color: navy;"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: courier new;"><br />Anasema mtoa habari wetu: “Baada ya kuanza kuvuja kwa ripoti hiyo walikutana kwa nia ya kutaka kujua kwanza kwamba kweli ripoti ya kamati ile imewatuhumu na hali ikiwa ni hiyo wafanye nini, maana wao si wanasiasa, achilia mbali kwamba Profesa Muhongo ni Mbunge wa Kuteuliwa.</span></span></span><br /><span style="color: navy;"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: courier new;"><br />“Hilo la kwamba wamekwenda kumwona Rais kumwambia kwamba wanataka kuondoka sijalisikia. Ninachojua ni kwamba walikutana. Na hiyo inatokana na ukweli kwamba hawa ni watu wawili wanaoshirikiana kwa karibu katika kuendesha wizara, hivyo mmoja akiondoka sioni uwezekano wa mwingine kubaki.</span></span></span><br /><span style="color: navy;"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: courier new;"><br />“Wizara hii pamoja na taasisi zake inahitaji watu waliojitoa kusaidia nchi. Na hawa huwezi kuwalinganisha na ile timu iliyoondoka. Wanapishana sana kwa malengo na maono. Sijui maisha yao yalivyo, lakini nawaona kama watu wasio na makubwa na wasiokuwa na tamaa ya mali.</span></span></span><br /><span style="color: navy;"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: courier new;"><br />“Kwa hali ya kiwango cha ufisadi tulichofikia kama nchi unahitaji ujasiri mkubwa, kwa mfano, kusema waziwazi kwamba sasa hapatakuwa na mgawo wa umeme tena.</span></span></span><br /><span style="color: navy;"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: courier new;"><br />“Kusema hivyo maana yake unajitangazia vita na matajiri na wanasiasa wapenda mali. Lakini hawa wamesema, na wamerudia mara kadhaa, kwamba mgawo uliokuwapo ulikuwa wa kutungwa, hata hotuba ya Waziri wakati wa Bunge la bajeti ilieleza hivyo. Hiyo si kazi rahisi. Lazima watapigwa vita.</span></span></span><br /><span style="color: navy;"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: courier new;"><br />“Hivi unafikiri Kamati ya Bunge ni ya malaika? Ile ilikuwa sawa na kesi ya nyani unampelekea ngedere”.</span></span></span><br /><span style="color: navy;"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: courier new;"><br />Katika mkutano ujao wa Bunge matokeo ya uchunguzi wa kamati iliyoundwa kuchunguza sakata zima la wabunge kuhongwa na wengine kuwa na maslahi katika TANESCO licha ya kuwa wao ni wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini, yatawasilishwa kwa Spika na baadaye kuwekwa wazi kwa wabunge.</span></span></span><br /><span style="color: navy;"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: courier new;"><br />Wabunge walijikuta katika mpasuko miongoni mwao hasa baada ya kusimamishwa kazi kwa aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa TANESCO, William Mhando na wenzake ili kupisha uchunguzi wa tuhuma za ubadhirifu zilizokuwa zikiwakabili.</span></span></span><br /><span style="color: navy;"><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: courier new;"><br />Tayari katika uchunguzi wa Mhando na wenzake zimebainika kasoro lukuki kuhusu mwenendo wao kama viongozi wa TANESCO. Hali pia si swari kwa upande wa Bodi ya TANESCO inayoongozwa na Jenerali (mstaafu) Robert Mboma, ikielezwa kuwa bodi hiyo kwa namna fulani ni sehemu ya uozo uliokuwa ukiendelea TANESCO ikiwa ni pamoja na kulea kile kinachoelezwa kuwa mgawo wa umeme wa kutengeneza ‘mezani.’</span></span></span></span></span><br /><span style="color: #362204;"><span style="font-family: Verdana;"><br /><span style="font-size: medium;"><span style="font-family: microsoft sans serif;">Na bado kachaguliwa CCM-NEC ?</span></span><br /><br /></span></span><br />CHANZO: Raia Mwema | 24 Oct 2012<!-- google_ad_section_end --></blockquote>
</div>
</div>
<!-- edit note --><blockquote class="postcontent lastedited">
<!-- <img src="http://www.jamiiforums.com/template/JamiV1/default/buttons/edit_40b.png" alt="" /> --> </blockquote>
Felix Wilbard Mpozemenyahttp://www.blogger.com/profile/07871139124516316683noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8891786991288583789.post-22889586045035939862012-10-27T16:14:00.000+03:002012-10-27T16:14:03.201+03:00WANAWAKE WANAVYOIVAA MIKENGE KWENYE NDOA..............! <h3 class="post-title entry-title">
</h3>
<div class="post-body entry-content">
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;"></span></div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium; margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" height="213" qba="true" src="http://2.bp.blogspot.com/-9HcchNZLTiE/T7yN2u5NAyI/AAAAAAAAAlc/CAyJHZ2R4Xs/s320/13.jpg" width="320" /></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: justify;">
</div>
<span style="font-size: medium;"></span><br />
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;">Ngoja leo
niyadadavue makosa yanayofanywa na wanawake wengi pale wanapoamua ni nani wa
kuoana naye:</span></div>
<span style="font-size: medium;"></span><br />
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;">1.
<strong>Kosa la kwanza,</strong> unaolewa na mtu ambaye unajua kabisa ni dhaifu
na mkorofi, ukitarajia kwamba ataondoa kasoro zake akiwa ndani ya ndoa. Hili ni
kosa kubwa. Kama huna furaha sasa na mtu kabla hujaoana naye, usikubali kuingia
huo mkenge. Huwezi kutegemea mtu kuadilika aiwa ndani ya ndoa.</span></div>
<span style="font-size: medium;"></span><br />
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;">2.<strong>
Kosa la pili</strong>, unaolewa na mtu asiye sahihi kwa sababu ya msisimko wa
mwili kimapenzi lakini si kwa sababu ya tabia zake. Kuwa mwangalifu na neno
“Nakupenda” neno hili mara nyingi maana yake ni “Nina uchu nawe.” Ndiyo
amevutiwa nawekimaumbile, lakini undani wa tabia yake unaujua? Hapa kuna mambo
manne… Kwanza, Je anapenda kutomfanyia binadamu mwenzie mabaya kama mabavyo yeye
hataki kufanyiwa? Pili, anaishi vipi na watu wengine? Anaishi vipi na watu ambao
ana uadui nao, Anawasamehe au analipiza visasi? Je anatoa misaada kwa masikini?
Tatu, je ni mkweli, anachokisema ndicho anachokifanya? Je anaaminika? Majukumu
anayoahidi kuyafanya anayatimiza? Nne, je anajipenda? Je ni mtu ambaye yuko
imara kimapenzi au ni mtu wa kuyumbayumba na asiye na msimamo? Sio mtu
akishauriwa na marafiki zake au ndugu zake huko, anakuja na maamuzi yasiyo na
kichwa wala miguu</span></div>
<span style="font-size: medium;"></span><br />
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;">3.
<strong>Kosa la tatu</strong>, unaolewa na mtu ambaye hamna malengo na
vipaumbele vya aina moja vya maisha. Je mna utashi wa aina moja? Kwa mfano ni
vyema mwanamuziki akaolewa na mwanamuziki mwenzie kwa kuwa anajua mzingira ya
kazi ya mwenzie ili kupunguza wivu wa kupindukia usio wa
lazima</span></div>
<span style="font-size: medium;"></span><br />
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;">4.
<strong>Kosa la nne</strong>, unaolewa na mtu asiye sahihi kwa sababu mnakutana
kimwili mapema mno. Kukutana kimwili kabla ya ndoa kunaweza kuleta matatizo
makubwa mno. Tendo la ndoa kabla ya ndoa hufunika uwezo wa mtu kufikiri. Mtu
anabaki kufaidi na kubaki kujali mapenzi ya kimwili na kusahau kukuna ubongo juu
ya mambo mengine. Ni lazima mwanamke akune ubongo ili kujua kama huyo mpenzi
anakidhi vigezo vyote vya mume mtarajiwa.</span></div>
<span style="font-size: medium;"></span><br />
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;">5.
<strong>Kosa la tano,</strong> unaolewa na mtu ambaye huna msisimko wa kimwili
umwonapo. Kuna uwezekano mkubwa mwanamke akavutiwa na mwanaume kwa sababu ya
aina ya gari analomiliki. Hapa hakuna msisimko wa kimwili bali mwanamke kavutwa
na gari au rasilimali alizo nazo mwanaume huyo.</span></div>
<span style="font-size: medium;"></span><br />
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;">6.
<strong>Kosa la sita</strong>, unaolewa na mwanaume anayependa kudhibiti. kuwa
na tabia ya kudhibiti wenzako ni ya dalili za mtu jeuri na mwenye kujisikia na
mfujaji. Naomba kutofautisha kati ya “kudhibiti” na “kutoa mawazo.” Mtu
anayekupa mawazo ni kwa faida yako, lakini anayekudhibiti ni kwa faida
yake.</span></div>
<span style="font-size: medium;"></span><br />
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;">7.
<strong>Kosa la saba</strong>, unaolewa na mtu asiye sahihi kwa sababu unakimbia
matatizo uliyo nayo. Unaweza kuwa hujaolewa na huna raha wala amani na ukataka
kuolewa. Ndo haiwezi kukutatulia matatizo yako binafsi ya kisaikolojia nay a
kimapenzi. Badala a kuyapunguza matatizo hayo, ndoa itayaoneza. Kama huna amani
na huyafuahii maisha, chukua jukumu la kurekebisha matatizo hayo sasa kabla
hujaolewa. Itakuwa ni faida kwako na kwa mmeo mtarajiwa.</span></div>
<span style="font-size: medium;"></span><br />
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;">8.
<strong>Kosa la nane</strong>, unaolewa na mtu asiya sahihi kwa kuwa yuko ndani
ya pembe tatu. Mtu ambaye anaishi na wazazi wake ni moja ya mfano wa mtu
anayeishi katika pembe tatu. Watu wengine wanaoweza wakawa wanaishi ndani ya
pembe tatu ni kama wanaofanya kazi saa 24! Huyu mtu halali? Watu wengine walio
katika pembe tatu ni watu wanaotumia madawa ya kulevya, mtu anayetawaliwa na
“hobbie” zake, anapenda sana michezo (Mpira), kuperuzi mitandao ya kijamii na
anapenda sana fedha. Hakikisha kwamba wewe na mpenzi wako , nyote hamtawaliwi na
pembe tatu. Mtu ambaye anatawaliwa na pembe tatu hawezi kumtimizia mpenzi wake
haja ya upendo atakapokuwa anahitaji. Kama mpenzi wako anatawaliwa na pembe tatu
kwa kiasi kikubwa, wewe huwezi kuwa kipaumbele chake. </span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;"></span> </div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;">Chanzo: <a href="http://kaluse.blogspot.com/">http://kaluse.blogspot.com/</a></span></div>
</div>
Felix Wilbard Mpozemenyahttp://www.blogger.com/profile/07871139124516316683noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8891786991288583789.post-82437004788236179712012-10-27T16:12:00.000+03:002012-10-27T16:12:34.011+03:00WANAUME NA WANAWAKE WANAPOLALAMIKA ...........! <h3 class="post-title entry-title">
<span style="font-size: medium;"><br /> </span></h3>
<div class="post-body entry-content">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;"></span><span style="font-size: medium;">
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;"></span></span><span style="font-size: x-small;">
</span><div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="http://3.bp.blogspot.com/-iRNq8ViGfeI/T7x5mHLTFEI/AAAAAAAAAlQ/G7v36IjoOmI/s1600/skd181642sdc.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;"><span style="font-size: x-small;"><img border="0" height="320" qba="true" src="http://3.bp.blogspot.com/-iRNq8ViGfeI/T7x5mHLTFEI/AAAAAAAAAlQ/G7v36IjoOmI/s320/skd181642sdc.jpg" width="320" /></span></span></a></div>
<span style="font-size: medium;">
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;"></span></span><span style="font-size: x-small;">
</span><div style="text-align: justify;">
<strong><span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;">Ngoja
niyadadavue malalamiko ya wanawake kwanza hapa chini:</span></strong></div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<strong><span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;"></span></strong>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;">1.
Wanawake wanalalamika kwamba wanaume sio waelewa wazuri, yaani huwa wanatafsiri
mambo tofauti na isivyo.</span></div>
<span style="font-size: medium;">
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;"></span></span><span style="font-size: x-small;">
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;">2.
Wanalalamika kwamba wanaume huwa hawajali hisia za wapenzi wao wala hawajali pia
kuhusu mahitaji yao.</span></div>
<span style="font-size: medium;">
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;"></span></span><span style="font-size: x-small;">
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;">3.
Wanalalamika kwamba wanaume huwa hawajui kuonesha upendo , yaani hata
wanapopenda inakuwa kama vile wanajisumbua tu, kiasi kwamba mwanamke anaweza
kuhisi kwamba hapendwi.</span></div>
<span style="font-size: medium;">
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;"></span></span><span style="font-size: x-small;">
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;">4.
Wanalalamika kwamba wanaume huwa hawana muda wa kucheza na wapenzi wao kabla
hawajafanya nao mapenzi yaani hawawaandai kabla ya tendo, wao huwarukia tu na
kumaliza haja zao haraka na kugeuka ukutani kabla ya wao (wanawake)
hawajaridhika.</span></div>
<span style="font-size: medium;">
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;"></span></span><span style="font-size: x-small;">
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;">5.
Wanalalamika kwamba wanaume hawana mawasiliano, huwa hawajui kueleza hisia zao
na mawazo yao, bali ni watu wa kunyamaza na kujifungia kwenye dunia yao wenyewe.
Wanahisi kama kuelezea hisia zao na mawazo yao ni kuwa dhaifu.</span></div>
<span style="font-size: medium;">
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;"></span></span><span style="font-size: x-small;">
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;">6.
Wanawake hulalamika kwamba, wanaume hawana muda wa kukaa nyumbani na familia
zao, kwa sehemu kubwa ni watu wa nje tu.</span></div>
<span style="font-size: medium;">
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;"></span></span><span style="font-size: x-small;">
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;">7.
Wanawake pia wanawalaumu wanaume kwamba, hawajali mustakabali wa usafi au
kupendeza kwa nyumba.</span></div>
<span style="font-size: medium;">
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;"></span></span><span style="font-size: x-small;">
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;">8.
Wanawake wanawalalamika kwamba, wanaume huwa wanafanya maamuzi yao bila kujali
kuwa wanawake wapo na wanaweza kuwa na michango mizuri sana kwa hicho
wanachotaka kukifanya. Huamua kama kwamba wanawake siyo sehemu ya
familia.</span></div>
<span style="font-size: medium;">
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;"></span></span><span style="font-size: x-small;">
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;">9.
Wanalaumu kwamba, wanaume ndiyo wanaoanzisha au kuendekeza kutoka nje ya ndoa
ukilinganisha na wao wanawake. </span></div>
<span style="font-size: medium;">
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;"></span></span><span style="font-size: medium;">
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;"></span></span><span style="font-size: medium;">
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;"></span></span><span style="font-size: x-small;">
</span><div style="text-align: justify;">
<strong><span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;">Malalamiko
ya wanaume nayo nayadadavua kama ifuatavyo…..</span></strong></div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<strong><span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;"></span></strong>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;">1.
Wanaume wanalalamika kwamba wanawake ni watu wa kulalamika, kukosoa na wenye
vijineno vya hapa na pale visivyo na maana na vyenye kukera.</span></div>
<span style="font-size: medium;">
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;"></span></span><span style="font-size: x-small;">
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;">2.
Wanaume wanalalamika kwamba wanawake wanajaribu sana kuwadhibiti na
kuwakandamiza pale wanapoachiwa nafasi kidogo.</span></div>
<span style="font-size: medium;">
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;"></span></span><span style="font-size: x-small;">
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;">3.
Wanaume wanadai kwamba wanawake huwa hawana furaha, mara nyingi wanaonekana kama
vile wako kwenye simanzi fulani na wanapenda sana kununanuna hasa pale wanaume
wanaposhindwa kuwatekelezea kile walichotaka hata kama hakina umuhimu kwa wakati
ule. </span></div>
<span style="font-size: medium;">
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;"></span></span><span style="font-size: x-small;">
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;">4.
Wanaume wanalalamika sana kwamba wanawake wanawanyima unyumba kama adhabu ya
kuwakomoa. Siyo kuwakomoa tu, bali huwa wanafanya hivyo kwa lengo la
kuwashurutisha wakubaliane na utashi wao fulani.</span></div>
<span style="font-size: medium;">
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;"></span></span><span style="font-size: x-small;">
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;">5.
Lalamiko lingine la wanaume kuhusu wanawake ni lile la kwamba, huwa hawafikirii
kwa mantiki, bali mara nyingi kufikiri kwao huwa kunakumbwa na mhemko. Kwa hiyo,
uamuzi wao mwingi hauangalii mantiki bali hujali zaidi hisia
zao.</span></div>
<span style="font-size: medium;">
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;"></span></span><span style="font-size: x-small;">
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;">6.
Wanawake wanalalamikiwa na wanaume kwamba, hali zao za kihisia huwa
hazitabiriki. Yaani huwa zinabadilika kufuatana na mabadiliko ya miili yao ya
kihomoni miilini mwao nyakati kama zile za siku zao(hedhi), nyakati za ujauzito
na hata wanapokoma kuziona siku zao(menopause) .</span></div>
<span style="font-size: medium;">
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;"></span></span><span style="font-size: x-small;">
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;">7.
Wanaume wanawalalamikia wanawake kwa tabia yao ya umbea, kwamba midomo yao
huwasha sana hadi waseme kile walichokiona au kukisikia hata kama si lazima na
pengine ni hatari. </span></div>
<span style="font-size: medium;">
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;"></span></span><span style="font-size: x-small;">
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;">8.
Wanawake wanalalamikiwa pia na wanaume kwamba, huwa wanatoka nje ya ndoa, hasa
wanapohisi kukosewa upendo ndani, jambo ambalo haliwezi kuleta suluhu kwa tatizo
hilo.</span></div>
<span style="font-size: medium;">
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif;"></span></span><span style="font-size: x-small;">
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;">Kama wewe
ni mwanaume na umegundua kwamba moja au baadhi ya malalamiko ya wanawake
yanakugusa inabidi ubadilike na kufanya kinyume chake. Kama wewe ni mwanamke pia
hali ni kama hiyo. Kama kweli una mdomo mwingi kwa mfano, ujue wanaume hawapendi
tabia hiyo, hivyo huna budi kubadilika.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;"></span> </div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="font-family: Times, "Times New Roman", serif; font-size: medium;">Chanzo: <a href="http://kaluse.blogspot.com/">http://kaluse.blogspot.com/</a> </span></div>
</div>
Felix Wilbard Mpozemenyahttp://www.blogger.com/profile/07871139124516316683noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8891786991288583789.post-62789471370964125962012-10-27T15:50:00.001+03:002012-10-27T15:50:09.493+03:00Chanzo cha kuchokana katika mahusiano/ndoa na ushauri wa kukabiliana na tatizo hili<div class="content">
<div id="post_message_1148564">
<blockquote class="postcontent restore">
<!-- google_ad_section_start -->Je unahisi umeshaanza kumchoka mmeo ama mkeo????!!!!<br /><br /><br />Imeandikwa na Shams Elmi (Abu 'Ilmi)<br /><span style="font-family: georgia;"><span style="font-size: small;"><br />Takriban katika maisha ya wanandoa walio wengi kama sio wote, ndoa zao hupitia katika vipindi tofauti. Kama ulivyo umri wa Binadamu, ndoa hupitia katika kipindi cha utoto, ujana na uzee, na kila kipindi kina mambo yake na taratibu zake ambazo kama wanandoa watashindwa kuzifuata basi huenda ndoa hiyo ikakumbwa na mtihani mkubwa, nao ni mtihani wa kuchokana.<br /><br /><b>Utoto wa Ndoa:</b><br /><br />Wengine hukiita kipindi hiki (Honey Moon) mwezi wa asali, kipindi cha raha, utulivu, mapenzi, maelewano baina ya wanandoa. Si lazima kiwe mwezi mmoja kama watu wengi wanavyoamini, bali kinaweza kikawa chini ya mwezi mmoja au zaidi ya mwezi mmoja.<br /><br /><br /><b>Ujana wa Ndoa:</b><br /><br />Hiki ni kipindi kinachofuatia baada tu ya utoto wa ndoa, ni kipindi ambacho kila mmoja miongoni mwa wanandoa anakuwa tayari ameshamtambua mwenzake katika shaksia yake (personality) kwa maana ya jinsi anavyoangalia mambo, jinsi anavyofikiri, mitazamo yake, mielekeo yake na matarajio yake.<br /><br /><b>Uzee wa Ndoa:</b><br /><br />Kipindi hiki ni kipindi ambacho wanandoa wanakuwa tayari wameishaingia katika majukumu ya kulea kwa kupata matunda ya ndoa yao ambayo ni mtoto au watoto.<br /><br />Kuchokana kwa wanandoa ni tatizo ambalo linatokea kwa familia nyingi, na kusababisha migogoro mingi na hata kufikia familia kuvunjika au kuishi kwa ajili tu ya kulea watoto na si vinginevyo.<br /><br />Utakuta katika baadhi ya familia, Baba na Mama wanaishi katika nyumba moja, ukiwaona utadhani ni mume na mke wanaopendana, kumbe wanaishi kwa ajili tu ya kuwalea watoto wao na kuogopea maneno ya watu, hali hii ni hali ya talaka ya kimapenzi (emotional Divorce) na ni hali mbaya ambayo mara nyingi humpa msukumo mwanamume wa kuoa mke wa pili katika harakati za kutafuta utulivu na sehemu ya kukimbilia<br /><br />Tatizo hili la kuchokana kwa wanandoa linasababishwa na wanandoa wote wawili kutokuwa na uelewa wa kutosha juu ya haki za mume na mke.<br /></span></span><span style="font-family: georgia;"><span style="font-size: small;">Hivyo basi, sababu kubwa ya wanandoa kuchokana, au kuzeeka kwa ndoa kunasababishwa na mwanamke, pale ambapo atashindwa kutumia nafasi yake na vipawa alivyopewa kuleta utulivu katika ndoa yao, na hapa nitajaribu kujadili baadhi ya visababishi vinavyopelekea kuzeeka kwa ndoa au kuchokana visababishi ambavyo huwa vinadharaulika na kuonekana vitu vidogo vidogo hususan kwa wanawake wengi.<br /><br /><b>a) Kuzoeana: </b> kuzoeana baina ya wanandoa ni jambo zuri, kwa maana ya kila mmoja kumfahamu mwenzake, lakini kuzoeana huku kunaweza kuzalisha dharau hususan kwa upande wa mwanamke kwa kutojali usafi wake, mavazi anayovaa, chakula anchopika, nidhamu ya nyumba na mpangilio kwa ujumla. Matatizo mengi ndani ya nyumba yanaweza kusababishwa na moja au baadhi ya tabia hizo, ambazo huenda ikawa hazitokani na dharau, bali kuzoeana, kwa mfano: siku za utoto wa ndoa mwanamke huwa anajali sana usafi wa mwili wake, umaridadi wa nguo anazovaa, usafi wa nyumba na nidhamu ya hali ya juu, upishi wa chakula unaozingatia vionjo na ubunifu, mapokezi yenye bashasha na wakati mwingine hata kumkumbatia mumewe arudipo kutoka kazini. Lakini baada ya kuzoeana yote hayo hubadilika, mwanamke huhisi kuwa hana jipya la kumuonyesha mumewe, hujiona wameishakuwa watu wazima sasa, na mara nyingi utakuta mwanamke huyu anashinda na sare (uniform) moja kuanzia asubuhi hadi anapopanda kitandani usiku, mambo ya Hinna, nguo za fashion, salon, manukato, kujipamba na dhahabu huyafanya pale anapotoka kwenda harusini na sio nyumbani. Huku ndio kuzoena, na tafsiri sahihi ni kudharau.<br /><br /><b>b) Mazungumzo: </b>Mazungumzo ni njia muhimu ya kujenga ndoa na kuiimarisha , aidha ni njia ya mkato ya kuchokana na kuchukiana. Mwanamke ambaye hajui wakati gani aseme nini na wakati gani asiseme, hujikuta katika wakati mgumu ndani ya ndoa yake. Kwa mfano: Mwanamke ambaye kila anapoongea na mume wake huanza mazungumzo yake na matatizo na lawama humfanya mumewe awe na woga kila anaposikia sauti yake, na kuiona nyumba chungu, kwa sababu hakuna binadamu anayependa kusikia matatizo tu wakati wote. Mwanamke wa aina hii huwa anamsubiri mumewe kwa hamu kubwa, na anapofika tu na kabla hata ya kupata rizki, anaanza kumsomea orodha ya matatizo; watoto wamerudishwa shule, karo haijalipwa, shangazi yako amepiga simu mjomba kalazwa Hospitali na kadhalika na kadhalika. Nyumba ya aina hii huzeeka haraka na wanandoa kuchokana.<br /><br /><b>c) Kusomana Tabia:</b> ni udhaifu mkubwa kwa wanandoa ambao wana mwaka mmoja katika ndoa yao wakawa bado hawajasomana tabia, au wakawa wameishasomana tabia, lakini kila mmoja akawa anataka tabia zake ndio ziwe dira. Kwa mwanamke mwenye busara na mwenye kuithamini ndoa yake, husoma tabia za mumewe na kuangalia jinsi gani anavyoweza kuzioanisha na zile zake ili kuepusha migongano, aidha hutafuta fursa muafaka ya kumkinaisha mumewe juu ya fikra fulani au tabia fulani ambayo yeye haridhiki nayo. Ni muhimu kwa mwanaume vilevile kuzisoma tabia za mke wake, vitu gani vinamuudhi, na vitu gani vinamfurahisha.<br /><br /><b>d) Kutamka na kudhihirisha mapenzi: </b>Ni muhimu sana kwa wanandoa ili kuyaimarisha mapenzi yao yasiote mvi, kutamkiana hisia zao za kupendana bila utangulizi wowote, kwa mume au mke kumwambia mwenzake NAKUPENDA kuna athari nzuri katika nafsi kuliko hata ungemletea zawadi ya kitu cha gharama. <br /><br /><b>e) Kupeana zawadi:</b> Zawadi ni njia nzuri ya kudhihirisha mapenzi yako na nafasi ya mwenzako katika maisha yako, na zawadi ambayo mtu huitoa kwa mwenzake bila ya utangulizi au mnasaba maalum huleta athari njema na huimarisha mapenzi. Na katika zoezi hili la kupeana zawadi, ni vema kila mmoja akaelewa anachokipenda mwengine ili zawadi iwe na athari inayotarajiwa, na iwe ni zawadi maalum kwa mlengwa, isiwe zawadi ambayo mtoaji naye atafaidika na zawadi hiyo, kwa mfano, si vema kwa mwanamme kumletea mkewe zawadi ya sufuria, microwave, pazia, Dinner set, hiyo haitaitwa zawadi, lakini ni juu yake kumletea manukato ayapandayo, hereni, bangili, mkufu au pete ya dhahabu, na vitu ambavyo ni maalumu kwa matumizi yake binafsi. Hali kadhalika kwa mwanamke kumzawadia mumewe achunge vigezo hivyo.<br /><br /><b>f) Kualikana vyakula:</b> Inaweza kushangaza kuwa vipi wanandoa wataalikana chakula wakati wenyewe ni mume na mke, na ni lazima wale pamoja?! Ni vema ikaeleweka kuwa, kubadili mazingira na kufanya vitu makhsusi kwa kushtukizana, huwafanya wanandoa kutozoeana na kuchokana, kwani maisha yenye mtindo na mtiririko mmoja kila siku humfanya mtu kuyachoka, ni vema wanandoa na hasa mwanamke kuwa mbunifu katika kuyapaka rangi mpya maisha yao kwa kubuni vitu vitakavyo tia ladha mpya katika nyumba, njia mojawapo ni hiyo ya kumualika chakula maalum mumewe peke yake, na hata kama itamlazimu kununua au kuagiza aina tofauti ya chakula basi afanye hivyo, na ampe mwaliko mumewe wa kutokosa kuhudhuria katika mnasaba huo. Aidha mwanamume naye anaweza kumualika mkewe katika hoteli ya heshima mlo wa mchana au usiku na kupata nafasi ya kujikumbusha mambo mazuri yaliopita.<br /><br /><b>g) Kubadilisha mpangilio wa nyumba:</b> Wanawake wengi huwalalamikia waume zao kwa kutopenda kukaa nyumbani na badala yake kumaliza muda wao kwenye migahawa na kwa marafiki zao. Mke mwerevu huwa anafanya kila juhudi za kumnasa mumewe apende kukaa nyumbani wakati wa nafasi yake kwa kumbadilishia mazingira ya nyumba, kwani mazingira ya nyumba yanapokuwa ni yale yale tangu ndoa ilipofungwa hadi wanakuwa na watoto watatu, kochi lipo palepale kama kisiki cha mti, saa ya ukutani tangu imetundikwa mpaka imeshikana na ukuta, mapazia yaleyale na kama yanabadilishwa basi rangi ni zilezile, hali hii humfukuza mwanamume ndani ya nyumba na kumfanya arudi kuja kulala tu, na huu ndio mwanzo wa kuchokana na kuichoka nyumba.<br /><br /><b>h) Usafi wa mwili na mavazi:</b> Moja miongoni mwa mambo yanayokera kwa wanandoa ni uchafu wa mmoja wao, uchafu ni sifa isiyovumilika hususan kwa mwanamke, baadhi ya wanawake hudhani kuwa manukato, vipodozi ndio usafi, utakuta anapitisha masiku bila kuoga kikamilifu, bali anapitisha pitisha maji na sabuni tu katika maeneo fulani, kisha kujijaza manukato, lotion na mafuta mengine, bila kuelewa kuwa, anapokuwa karibu zaidi na mumewe harufu ya asili hujitokeza na kuleta mchanganyiko wa harufu mbaya, hali kama hii si rahisi kwa mwanaume mstaarabu kuizungumzia kwa mkewe, atakaa nayo na atavumilia, lakini mwisho wake ni kumchoka mke huyu. Wanaume nao hudhani kuwa kwao wanaume ndio wamepewa kibali cha kuwa wachafu, kwa mfano wanaume wengi huona ni jambo la kawaida kunuka jasho, na wengine wana matatizo sugu ya kunuka miguu, huu ni uchafu ambao hauvumiliki kwa mwanamke msafi, aidha baadhi ya wanaume hawana vionjo katika mavazi yao, na jinsi wanavyojiweka, jambo ambalo linaweza kumsababishia mke maudhi, na hata kujihisi aibu kunasibishwa na mume wake.<br /><br /><b>i) Kufanya Ibada kwa pamoja:</b> Nguzo muhimu na mhimili wa maisha ya ndoa ni kumcha Mungu/Allaah, Sala za usiku humkurubisha mja karibu zaidi na Mungu, hivyo mume na mke kuhimizana kufanya ibada hii pamoja huwazidishia imani na mapenzi baina yao na kuifanya ndoa yao kuwa imara zaidi<span style="font-size: small;">.</span></span></span><br />
<span style="font-family: georgia;"></span> </blockquote>
Chanzo: <a href="http://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/78716-chanzo-cha-kuchokana-katika-mahusiano-ndoa-na-ushauri-wa-kukabiliana-na-tatizo-hili.html">http://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/78716-chanzo-cha-kuchokana-katika-mahusiano-ndoa-na-ushauri-wa-kukabiliana-na-tatizo-hili.html</a></div>
</div>
Felix Wilbard Mpozemenyahttp://www.blogger.com/profile/07871139124516316683noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8891786991288583789.post-11263848759736451942012-10-27T15:47:00.002+03:002012-10-27T15:47:53.732+03:00Tips for Your Long Distance Relationship<span style="font-family: georgia;"><strong><span style="font-size: small;">1. Use a web cam</span></strong><span style="font-size: small;"><br />A web cam is a great way to interact with your mate while you are apart. Connect your web cam to your computer and use your favorite messaging utility (MSN, Yahoo, AOL, etc.) and not only will you be able to hear your mate, but you will also be able to see your mate.<br /><br /><b>2. Take pictures of everyday activities and send them to your mate</b><br />A picture is worth a thousand words and can help you and your mate feel closer together in your long distance relationship. Today, with most cell phones equipped with a digital camera and cameras small enough to fit in your pocket, it’s very easy and convenient to take pictures and email them to your mate. With pictures, your mate can easily know what you are talking about when you describe the great party you went to or the new hairstyle that you just got. Some other examples of when you can take a picture are listed below:<br /><br />* New outfit that your have purchased.<br />* Family or friends get together.<br />* Changes to your bedroom.<br />* Changes to your physical appearance (hairstyle, piercing, etc.)<br />*Pictures of your office or cubicle.<br /><br />3. <b>Send gifts to your mate’s from their local country or city</b><br />You can save a lot of money by searching the Internet for local companies to buy from and deliver your gifts. For example, if you are living in the United States and your mate is from Italy, find an Italian company that has the great gift that you want to send to your mate. In most cases, you will save on international shipping costs and you might even save on the currency exchange rate. Also, a local company will be able to deliver a gift much quicker for those last minute shoppers.<br /><br />4. <b>Use text-messaging capability to keep in touch more frequently</b><br />Text messaging can be a simple was to keep in touch with your mate in a long distance relationship. For those across the border relationships, this can also be an inexpensive way to communicate. It’s not always convenient to call, so text messages are a good alternative. You can send good night messages or little love notes throughout the day.<br /><br /><b>5. Trust your mate</b><br />Ideas of mistrust can easily seep into the minds of those involved in a long distance relationship because you don’t get to physically see your mate. They may be saying that they are not seeing anyone else, but how do you know that for sure hundreds or even thousands of miles away? This mistrust can ultimately lead to the relationship ending. You should approach the trust issue in a long distance relationship the same way as you would in a normal relationship. If there is no indication or evidence of cheating, it is most likely not happening.<br /><br /><b>6. Use Skype to call your mate and talk for free</b><br />Invest in a headset or a Skype phone to make free PC to PC calls anywhere in the world. If you would prefer to call a regular phone or a cell phone, Skype had very low and reasonable rates. Skype can save you and your mate a lot of money without a lot of hassle and technical setup. Just download the software for free from Skype and plug in your headset and now you are ready to talk for free.<br /><br /><b>7. Introduce your mate to your friends and family</b><br />How many times have you been out with your friends and you bring up your mate into conversation and your friends don’t believe he/she even exists? It is typical in a long distance relationship when two people visit each other they spend time only with each other. Although it is necessary to have time together, it is also necessary for your mate to experience other aspects of your life. Introduce him/her to your friends and family, so they can get to know your mate. It will only broaden your relationship and it will have a greater chance to succeed.<br /><br /><b>8. Visit each other frequently</b><br />This is not really a tip for a long distance relationship to be successful, but rather a requirement. To keep your long distance relationship going, you need to have in your mind the feeling and emotions of being with your mate. What keeps you together while you are apart is the idea of eventually being together. This can only be achieved by visiting each other whenever you have a chance.<br /><br /><b>9. Ease into being together</b><br />It can sometimes be difficult for two people who are involved in a long distance relationship to connect easily when they are together with their mate. Yes, you probably know everything about each other and talk everyday, but that is not a substitute for real contact. Both of you will need some time to adjust to being in each other’s presence. Be aware that it may take your mate longer than you and you should allow them that time.<br /><br /><b>10. Write letters and send cards</b><br />Nothing is more romantic than a handwritten letter or card that you send to your mate for no reason at all. Variety in a long distance relationship will help keep things new and fresh. Your mate will appreciate the fact that you took time out to write such a wonderful letter or sent a card.</span></span><span style="font-size: small;"></span>Felix Wilbard Mpozemenyahttp://www.blogger.com/profile/07871139124516316683noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8891786991288583789.post-20846849084141267922012-07-03T21:43:00.002+03:002012-07-03T21:43:26.049+03:00MAONI YA MBUNGE WA UBUNGO KUHUSU HOTUBA YA MH. DKT. JAKAYA KIKWETE RAIS WA TANZANIA KWA WANANCHI TAREHE 30 JUNI 2012<a href="http://feedproxy.google.com/~r/JohnMnyika/~3/IW5LsxH_Vx4/maoni-ya-mbunge-wa-ubungo-kuhusu-hotuba.html?utm_source=feedburner&utm_medium=email">http://feedproxy.google.com/~r/JohnMnyika/~3/IW5LsxH_Vx4/maoni-ya-mbunge-wa-ubungo-kuhusu-hotuba.html?utm_source=feedburner&utm_medium=email</a>Felix Wilbard Mpozemenyahttp://www.blogger.com/profile/07871139124516316683noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8891786991288583789.post-16461591030550061562012-04-06T16:22:00.000+03:002012-04-06T16:22:19.759+03:00Poleni watu wa Mtera kwa kuanguka mikononi mwa chizi<h3 class="post-title entry-title" itemprop="name"> </h3><div class="post-header"> </div><div class="post-body entry-content" id="post-body-2752871339930959117" itemprop="articleBody"> <div class="text1"> <strong style="clear: right; float: right; margin-bottom: 1em; margin-left: 1em;"><img height="268" id="il_fi" src="http://1.bp.blogspot.com/-cI05HdH_SK4/T2M-SCRrcZI/AAAAAAABVUE/yb5vGSwvLCw/s400/4.+Livingstone+Lusinde+aka+Kibajaji+akihutubia+Makiba.jpg" style="padding-bottom: 8px; padding-right: 8px; padding-top: 8px;" width="400" /> </strong><br />
Mbunge wa Mtera CCM, Livingstone Lusinde aka Kichaa akirapu rapu zake za matusi ya nguoni kule Arumeru Mashariki hivi karibuni.<br />
<br />
<strong>KAMPENI zilizopita za uchaguzi mdogo wa Arumeru Mashariki, zilifichua mambo mengi hasa uhovyo wa siasa na viongozi wetu. Mambo yalianza na wazee wazima Benjamin Mkapa, rais mstaafu, kujivua nguo kwa kujifanya msemaji wa ukoo wa marehemu Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere ambaye alimtengeneza na kumnadi Mkapa lakini baadaye akamwangusha vibaya kiasi cha kufa akiwa analilia Watanzania wake.</strong><br />
<br />
<strong> </strong><strong>Nani mara hii kasahau maneno ya mke wa marehemu, Mama Maria Nyerere aliyesema kuwa maneno ya mwisho ya mumewe yalikuwa, "Nawalilia Watanzania wangu"?</strong><br />
<br />
<strong> </strong><strong>Hii maana yake Mwalimu alikufa na roho iliyojikunja; ikizingatiwa Watanzania aliokuwa akiwalilia walikuwa kwenye mikono ya mtu wake lakini aliyeonyesha wazi kuwa wa hovyo kisera.</strong><br />
<br />
<strong> </strong><strong>Mwingine aliyejivua nguo ni mzee Stephen Wassira, Waziri wa Uhusiano na Uratibu Ofisi ya Rais ambaye alianzisha ligi ya matusi na uongo kwenye kampeni kiasi cha kugeuka kuwa uwanja wa wahuni wa chama chake kuja kuonyesha uhuni na uhovyo wao. Wassiara alikaririwa akimtuhumu katibu mkuu wa CHADEMA, Dk. Willibrod Slaa kula pesa ya maandalizi ya ujio wa Papa John Paul II mwaka 1990, madai ambayo yalipingwa vikali na Kanisa Katoliki ambalo bosi wake ndiye alikuwa akitembelea Tanzania.</strong><br />
<br />
<strong> </strong><strong>Rais wa TEC, Askofu Mkuu Juda Thaddeus Ruwa'ichi alimjibu Wassira kwa maneno haya, “Ukiona mwanasiasa anakurupuka na kuanza kumchafua mwenzake ujue amefilisika, vitendo hivyo vinaonyesha udhaifu kwa nchi katika nyanja za siasa,”</strong><br />
<br />
<strong> </strong><strong>Hayo ya Mkapa na Wassira yalikuwa cha mtoto au tuseme ufunguzi tu. Maana baba yao katika ligi hii ya matusi, Mbunge Livingstone Lusinde wa Mtera (CCM) alikuwa hajaja kumaliza kazi hii aliyotumwa na chama chake. Alikaririwa akitamka maneno ambayo si vizuri kuyarudia na wala hayafanani na mtu wa umri na wadhifa wake kama mbunge mwakilishi wa wananchi. Hivi mtu anayeweza kusimama kwenye jukwaa la siasa kutangaza sera akatangaza matusi tena kwa kuiga maneno ya vikundi vya maigizo, umuweke kundi gani? Zamani wengi tulikuwa tukikwazwa na salamu za Mkapa za kihuni za “MAMBO” bila kujua kuwa kumbe kuna wahuni zaidi.</strong><br />
<br />
<strong> </strong><strong>Lusinde alikaririwa akisema kuwa kama CHADEMA ni vichaa wa kurogwa basi yeye ni wa kuzaliwa. Ni bahati mbaya na hasara kuwa na viongozi aina ya Lusinde. Je, ilikuwaje watu wa Mtera wakamchagua chizi anayekiri kuwa chizi tena tangu kuzaliwa? Je, alipitaje kwenye mchujo au ni yale yale ya wananchi kuchoka utawala wa mtu mmoja na wa kurithishana kutokana na ukweli kuwa mbunge wao wa zamani John Malecela alikuwa amewachosha kwa kukaa madarakani kwa muda mrefu?</strong><br />
<br />
<strong> </strong><strong>Nashindwa kujua mantiki ya kumchagua mtu wa hovyo na kichaa kama huyu anayeweza kusimama jukwaani na kuwadhalilisha wenzake tena mbele ya watoto wadogo akionyesha uhodari wa kuchambua mavazi ya wenzake badala ya matatizo ya anaowawakilisha?</strong><br />
<strong> </strong><strong>Hivi mbunge anaposimama jukwaani na kugeuza mdomo wake sehemu ya kutolea uchafu, tena mbele ya kadamnasi na watoto, anajenga picha gani? Je, huu si ushahidi tosha kuwa CCM imeishiwa kiasi cha kushabikia uhuni na mipasho ya kipumbavu? Je hii si kuigeuza CCM kuwa Chama Cha Matusi? Hata waimbaji wa taarabu za matusi na hata rap wana afadhali kwa vile wayafanyayo ni saizi yao.</strong><br />
<br />
<strong> </strong><strong>Sijui kama Lusinde anasoma hata magazeti zaidi ya yale ya udaku kama alivyothibitisha kwa kauli zake za kichovu na kiwendawazimu. Je, maneno na tabia vya Lusinde vinakisaidiaje chama chake zaidi ya kukibomoa? Maana ukiangalia kuzodolewa, kwa mfano, kwa Wassira hata Mkapa ni ushahidi tosha kuwa CCM iko pabaya na imeishiwa.</strong><br />
<br />
<strong> </strong><strong>Je yote haya ni matokeo ya kuua maadili na kuingiza madili kwenye nafasi yake? Maana kwa nchi yenye kufuata sheria na kanuni za maadili, tume ya uchaguzi (NEC) ilipaswa kutoa tamko hata karipio mara moja Lusinde alipogeuza kampeni uwanja wa kushindanisha ukichaa na matusi ya nguoni.</strong><br />
<br />
<strong> </strong><strong>Hivi mtu anayeweza kuwaita wanaume wenzake mashoga na wajawazito ana akili kweli? Heri angeishia pale. Wenye mtindio wa akili wenzake wangedhani amewajibu wapinzani japo siyo. Nani mara hii alivyowaambia wapiga kura kuwa yeyote ambaye hataichagua CCM ni mjamzito? Je, ujauzito ni ugonjwa? Hivi bila ujauzito mama yake angemzaa kweli? Je kutukana watu kwa kutumia ujauzito si kuwadhalilisha wanawake na mama yake akiwamo? Maana huo ujauzito usio na baba maana yake ni umalaya.</strong><br />
<br />
<strong> </strong><strong>Maneno ya Lusinde ni ushahidi kuwa hakupata malezi mema wala elimu ya kutosha kiasi cha kujenga taswira kuwa huenda alizaliwa mitaani. Maana hata tofauti na wahuni wanaopiga debe kwenye mabasi ya daladala wala wauza mitumba Mtaa wa Kongo. Heri ya wao wamefukarishwa na akina Lusinde kuliko Lusinde anayelipwa kodi ya wananchi kwa kuchafua maadili akilinda na kutetea uozo na mgando wa mawazo. Tena uoza wenyewe utawala wa kurithishana kama walivyoonyesha kwenye kuteua wabunge wa Jumuia ya Afrika Mashariki!</strong><br />
<br />
<strong> </strong><strong>Kama siyo CHADEMA kuchelea kukimbizana na kichaa, ilifaa afunguliwe mashitaka. Hata hivyo, kwa kauli za watajwa watatu, kama CHADEMA watashindwa basi wana kila sababu ya kwenda mahakamani na kudai uchaguzi haukuwa huru na wa haki. Maana haki na uhuru ni heshima na si kashfa tena za kuzua na matusi. Laiti Lusinde angewatuhumu CHADEMA mambo ya kweli, hakuna ambaye angehangaika naye. Litakuwa jambo la ajabu na hatari kama CCM na Tume ya Uchaguzi hawatamchukulia hatua za kinidhamu tena za wazi Lusinde.</strong><br />
<br />
<strong> </strong><strong>Kuna haja ya wachambuzi wa mambo kudodosa na kupata historia ya Lusinde ili apewe msaada na wale waliofanya kosa kumwamini wadhifa wa heshima kama ubunge. Kimsingi lugha na matusi ya Lusinde yamewadhalilisha wabunge wote hasa wa chama chake na uongozi mzima. Hivi kama Lusinde ana mke na watoto hata wazazi wake sijui amewaumiza kiasi gani kwa kujivua nguo hadharani hivyo? Poleni sana watu wa Mtera. Huenda ni yale yale kuwa atukanaye wakubwa haishii na mmoja.</strong><br />
<br />
<strong> </strong><strong>Alimtukana John Malecela akazoea sasa anataka kumtukana kila apitaye. Si ajabu akitofautiana hata na mwenyekiti wake hatakosa kumfurumshia mitusi ya nguoni kama alivyozoeshwa na chama chake. Poleni wapiga kura wa Mtera kwa kudhalilishwa na Lusinde ambaye aliwakilisha matusi badala ya heshima na matatizo yenu.</strong><br />
Chanzo: Tanzania Daima Aprili 4, 2012.</div></div><div class="post-footer"> <div class="post-footer-line post-footer-line-1"><span class="post-author vcard"> </span></div><div class="post-footer-line post-footer-line-2"><span class="post-labels"> </span> </div></div><a href="" name="3580087801541672407"></a> <h3 class="post-title entry-title" itemprop="name"> <a href="http://mpayukaji.blogspot.com/2012/04/mbunge-chichim-alivyomwaga-mitusi.html">Mbunge ‘Chichim’ alivyomwaga mitusi Arumeru</a> </h3><div class="post-header"> </div><div class="text1"> <strong>LEO tumeamua kukaa kikao cha wanakijiwe wote ili kumjibu chizi mmoja aitwaye mheshimiwa japo sisi si machizi. Kama mkituona machizi shauri yenu. Tunaweza kuonekana walevi kutokana na kunywa kahawa na shida nyingi lakini bado si machizi kama Leavingstorm Lushinde chizi nambari wani wa Chama Cha Machizi (CCM).</strong><br />
<br />
<strong> </strong><strong>Mie kama mwenyekiti naanzisha mjadala.</strong><br />
<strong> </strong><strong>Nilikohoa kidogo na kuanza, “Waheshimiwa wanywa kahawa, kwanza naona mmechukia kutokana na matusi yalivurumishwa na mbunge wa ndugu yetu na rafiki yetu Mbwamwitu ambaye ni mpiga kura wa jimbo la Mtela,”</strong><br />
<br />
<strong> </strong><strong>Wote kwa pamoja wanatikisa vichwa wakiashiria kukubaliana na pwenti yangu. Naendelea, “Mie leo si msemaji bali mwezeshaji. Hivyo naomba rasmi nifungue kikao hiki kitukufu ambacho licha ya kumjadilli huyu bwana kitatoa maazimio.”</strong><br />
<br />
<strong> </strong><strong>Mbwamwitu anaamsha mkono na ninamruhusu arambe mic. Anaanza, “Ndugu zangu nashukuru sana kwa kuliona hili na pole zenu nimezipokea ingawa bado roho inaniuma. Hata hivyo msishangae sana. huyu jamaa kama alivyosema kweli ni chizi na aliwahi kukamatwa mara nyingi kwa makosa ya kuvuta bangi, udokozi na mazambe mengine mengi. Hivyo nina wasi wasi alipokuwa akiwekwa ndani mara nyingi, huenda lolote limemtokea na ndiyo maana anawasingizia wenzake kufanyiwa mchezo mbaya kama alivyowahi kufanyiwa.”</strong><br />
<br />
<strong> </strong><strong>Kabla ya kuendelea Mchunguliaji anakula mic, “Hakuna kitu kimenikera kama jamaa kuwaita wenzake mashoga kiasi cha kutufanya tuamini yeye ndiye. Halafu anawatukana watu eti wana mimba, kwani mama yake alimzaa bila kubeba hiyo mimba? Huyu jamaa inaonekana anawadhalilisha akina mama akiwamo mama yake wallahi,”</strong><br />
<br />
<strong> </strong><strong>Wakati Mchunguliaji akimwaga usongo wake, Mzee Kidevu anadandia, “Huyu jamaa kweli chizi nimeamini. Kwanza, huyu chizi kihiyo hajui hata Kiswahili. Mnakumbuka aliposema eti dokta Silaha aliposema ana uchungu na nchi hii eti alimshagaa mwanaume anawezaje kuwa na uchungu? Kwani uchungu ni wa kuzaa tu?”</strong><br />
<br />
<strong> </strong><strong>Mara Mipawa anachomekea, “Jamaa ana ugomvi na mimba huyu. Huenda kichaa chake kinachukia mimba.”</strong><br />
<br />
<strong> </strong><strong>Watu hawana mbavu wanacheka ingawa habari yenyewe si ya kuchekesha zaidi ya kuhuzunisha. Mara Mbwamwitu anakatua mic tena, “Basi mwenzenu nina uchungu naye. Laiti nikikutana naye kwenye kiza ataipata hiyo mimba anayowapa wenzake. Huyu inaonakana anataka kupewa mimba.”</strong><br />
<strong> </strong><br />
<strong>Msomi Mkatatamaa aliyekuwa kimya muda wote aliamua kutia guu, “Jamani msijipasue vichwa. Kimsingi, Lushinde alichofanya ni kuthibitisha madai ya siku nyingi kuwa chama chake kimeishiwa sera. Kilianza na usanii, kikachemsha. Kilidandia uongo, kimechemsha. sasa kimeona haitoshi kimedandia matusi.” anavuta kombe lake na kubwia kahawa na kuendelea, “Matusi ya Lushinde kimsingi si ya kuwahuzunisha wala kuwalenga wapinzani bali chama chake na viongozi wake waliokuwa wakichekelea alipokuwa akitumia mdomo wake kutoa haja kubwa. This annoyed me to death so to speak.”</strong><br />
<br />
<strong> </strong><strong>Anakatua kashata na kuendelea. “Kila mtu kwake shoga. Inakuwa vigumu kujua huyu bwana kwanini anapenda sana ushoga na kuchukia mimba,” Msomi Mkatatamaa alizidi kuchanja mbuga kwa taaluma na busara zake baada ya wazee kumwambia apunguze hasira kuongea kikameruni hata kama alikuwa akiongelea habari za mkameruni mhishimiwa.</strong><br />
<br />
<strong> </strong><strong>Aliendelea, “Hakika wazazi wake, mke wake, watoto wa Mkameruni Lushinde wamekula hasara. Anavyowatia aibu sina hamu. Hata yule mheshimiwa Sonko wa Nonihino huvuta bangi, kunywa gongo na kupayuka lakini hajawahi kuona mdomo choo kama wa Lushinde. Maana kama sera basi chama chake cha Matusi (CCM) kimepata mpiga debe. Ila itakuwa muujiza kama walengwa wa makombora ya Lushinde wasipomfikisha mhakamani. Sisi kijiweni ukimtukana mjumbe au mwenyekiti tunasema umetukana kijiwe kizima. Hivi Lushinde anapotukana wabunge si kama anatukana jimbo zima?”</strong><br />
<br />
<strong> </strong><strong>Nami sikujivunga. Nilichomekea, “Namkaribisha Lusenge sorry Lushinde aende Kijiweni Mwenge akapige debe au akiweza aende zake gerezani akauze unga. Namshauri Lushinde aje nimuonyesha picha niliyopiga na mzee Matonya ili aone tofauti ya masikio yaliyotobolewa kimila na haya ya kishoga.” wanakijiwe hawana mbavu.</strong><br />
<br />
<strong> </strong><strong>Mgosi Machungi naye hataki kikao kiishe bila kukifunga. Anakula mic, “Mie sikujua kuwa kumbe Ushinde na wenzake wamechanjwa makalioni tena na poofesa Maji Mafupi. Angejua aipotoka kwao N’koogwe akaja Ushoto kue Irente kutafuta wachawi kioo chake kiivunjika akarudi kwa haraka.”</strong><br />
<br />
<strong> </strong><strong>Mpemba “Yaelekea huyu jamaa ashafungwa sana na kufanyia nchezo mbaya kiasi cha kudhani kila aendaye jela afanyiwa nchezo kama alofanyiwa,” kijiwe hakina mbavu.</strong><br />
<br />
<strong> </strong><strong>Mchunguliaji. Msomi mkatatamaa anaamua kurejea ili kutoa usomi na busara zake. Tunamheshimu na kumtegemea sana maana huwa hana mdomo mchafu ingawa leo ameudhika kiasi cha kuvunja mwiko na kutoa lugha ya ukali. Anakatua mic, “Nilipokuwa masomoni ulaya nilizoea kusikia watu wenye midomo mibovu kama hivi wakiitwa Chiwawa yaani vijimbwa vidogo vinavyobweka sana vikimuona mtu lakini akivikaribia vinafyata mkia na kutoka mkuku,”</strong><br />
<br />
<strong> </strong><strong>Anakunywa kahawa yake na kuendelea, “Kwa hiyo sitashangaa kama Chakudema hawatamchukulia hatua chiwawa huyu </strong>maana<strong> wanajua chiwawa ni chiwawa hata ukimpeleka mahakani bado hakimu atamuachia kwa vile ni chiwawa.”</strong><br />
<br />
<strong> </strong><strong>Mzee Kidevu anatuacha hoi. Anasema, “Ingawa mie sijawahi kwenda Ulaya, anawajua hawa mbwa ambao Kiswahili huitwa kusiri. Hivyo, tuna bahati mbaya kuwa na mbu… samahani simalizii mwenye tabia kama za kusiri. Je, tuseme hiki ni chama cha Makusiri?</strong><br />
<br />
<strong> </strong><strong>Wanakijiwe tunaangaliana kuonyesha jinsi mzee mwenzetu alivyochomekea kitu kingine kwani Kusiri na Chiwawa ingawa wote ni mbwa. Wanakutana kwenye sifa moja yaani uchizi wa kubweka bweka hovyo.</strong><br />
<br />
<strong> </strong><strong>Mpemba ambaye alikuwa akibofyabofya simu yake kiasi cha kuachwa nyuma kimaongezi anastuka na kula mic, “ Yakhe mie naona kama huyu jamaa ashaingiliwa na popobawa. Maana popobawa siku zote aja wakati wa uchaguzi na apenda sana wao wa chama cha Machizi kwani naye chizi.”</strong><br />
<br />
<strong> </strong><strong>Wajumbe hawana mbavu. Wakati tukijiandaa kuendelea na kikao si chizi Lushinde alipita na mshangingi wake. Tuliinuka na kumtoa nje tayari kumfanyizia ili tumpige picha na kuonyesha umma alivyo chakula. Usimwambie mtu, kuwa kweli jamaa si riziki.</strong><br />
Chanzo: Tanzania Daima Aprili 4, 2012.</div>Felix Wilbard Mpozemenyahttp://www.blogger.com/profile/07871139124516316683noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8891786991288583789.post-59054650528904281782012-04-06T15:42:00.000+03:002012-04-06T15:42:55.150+03:00HOTUBA YA WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII MH. EZEKIEL MAIGE (MB) KATIKA UZINDUZI WA BODI YA WAKURUGENZI YA BODI YA UTALII TANZANIA (TTB)<h3 class="post-title entry-title"> </h3><div class="post-header"> </div><a href="http://2.bp.blogspot.com/-OFG9shsaAws/T37NGzQmLfI/AAAAAAAAjxM/eBYVjDfDsVo/s1600/maige5.jpg"><img alt="" border="0" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5728241292784578034" src="http://2.bp.blogspot.com/-OFG9shsaAws/T37NGzQmLfI/AAAAAAAAjxM/eBYVjDfDsVo/s400/maige5.jpg" style="cursor: hand; cursor: pointer; display: block; height: 250px; margin: 0px auto 10px; text-align: center; width: 320px;" /></a><div align="center" class="Body1" style="text-align: center;"><span style="font-weight: bold;">Mhe.Ezekiel Maige </span></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt;"> </span><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">Ndugu Mwenyekiti wa Bodi, Balozi Charles A. Sanga;</span></b></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">Ndugu Wakurugenzi wa Bodi;</span></b></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">Ndugu Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii;</span></b></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">Menejimenti ya Bodi ya Utalii;</span></b></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">Waandishi wa Habari;</span></b></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">Mabibi na Mabwana;</span></b><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;"><br />
</span></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">Ni furaha kubwa kwangu kujumuika nanyi leo katika uzinduzi wa Bodi mpya ya Wakurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania. Napenda kuchukua fursa hii kukupongeza Balozi Charles Sanga kwa kuteuliwa kwako na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania ambacho ni chombo muhimu sana katika maendeleo ya sekta ya utalii hapa nchini. Uteuzi huu ni uthibitisho wa imani kubwa aliyonayo Mh. Rais kwako. Aidha nawapongezeni pia Wakurugenzi wote mlioteuliwa kuongoza Bodi ya Utalii Tanzania (TTB).</span></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">Hongereni sana! </span></b></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;"> Ndugu Mwenyekiti,</span></b></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">Kama mnavyofahamu utalii ni moja ya sekta ambazo ni mhimili mkuu wa uchumi ya nchi yetu hivi sasa. Serikali imekusudia kuendeleza sekta hii ili iongeze mchango wake kwenye pato la taifa na maendeleo ya nchi kwa ujumla.</span></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">Tangu kuundwa kwa Bodi ya Utalii takriban miaka 18 iliyopita, imeweza kuchangia kuleta mafanikio makubwa katika maendeleo ya sekta ya utalii nchini. Mifano michache ya mafanikio hayo ni pamoja na ongezeko la mapato yanayotokana na utalii kutoka dola za kimarekani milioni 146.84 mwaka 1993, hadi kufikia dola za kimarekani bilioni 1.3 mwaka 2010. Aidha idadi ya watalii imeongezeka kutoka 230,166 mwaka 1993 hadi kufikia watalii 867,994 mwaka 2011. Haya ni baadhi tu ya matunda ya kazi nzuri inayofanywa na Bodi ya Utalii Tanzania, sambamba na taasisi nyingine za umma na binafsi. Napenda kuchukua nafasi hii Kwa niaba ya serikali kuipongeza Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) kwa kazi nzuri inayofanya ya kuitangaza Tanzania kama moja ya nchi zenye vivutio vikubwa na vya pekee barani Afrika na duniani kwa ujumla.</span></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">Ndugu Mwenyekiti,</span></b><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;"><br />
</span></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><span style="font-family: "; font-size: 14pt; line-height: 150%;">Serikali itaendelea kutoa kipaumbe katika kuhudumia sekta hii, ikiwa ni pamoja na kujenga miundo mbinu, kuongeza bajeti ya utangazaji, kuweka mazingira mazuri kwa wawekezaji, kuboresha huduma kwa watalii kama vile malazi, chakula, usafiri na kadhalika. Nataka nisisitize kuwa ubora wa huduma kwa watalii sambamba na kuimarika kwa utangazaji wa utalii ndani na nje ya nchi ni masuala muhimu katika kuvutia watalii wengi zaidi kuja hapa nchini.</span></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><span style="font-family: "; font-size: 14pt; line-height: 150%;">Kwa kuzingatia hilo, Serikali hivi sasa iko katika hatua za awali za kuiunda upya Bodi ya Utalii Tanzania ili kuifanya Mamlaka ya Utalii Tanzania ambapo pamoja na jukumu lake kuu la utangazaji utalii, itawajibika pia kudhibiti huduma na kusimamia shughuli zinazohusiana na utalii, ikiwa ni pamoja na kusajili kampuni za kitalii.</span></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;"> Hatua hii inalenga kukiboresha chombo hiki, kukiimarisha na kukipa nguvu zaidi katika utekelezaji wa majukumu yake.</span></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">Ndugu Mwenyekiti,</span></b><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;"><br />
</span></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">Ninafahamu kuwa hivi sasa Bodi ya Utalii Tanzania kwa kushirikiana na sekta binafsi ipo katika mchakato wa kutayarisha mkakati mpya wa utangazaji utalii wa taifa. Napenda kuwatia shime katika hili na ninaamini kabisa utekelezaji wa mkakati huu utasaidia sana katika kuongeza idadi ya watalii wanaotembelea nchi yetu.</span></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">Serikali inatambua changamoto zinazoikabili Bodi ya Utalii na hasa ufinyu wa bajeti katika kutekeleza majukumu yake. Kwa sasa Bodi inategemea kwa asilimia mia moja ruzuku kutoka serikali kuu ambayo haitoshelezi mahitaji ya Bodi. Kwa kiasi kikubwa ufinyu huu wa bajeti unatokana na serikali kuelemewa na majukumu mengine katika sekta nyingine kama vile afya, elimu, usafiri, kilimo, na kadhalika. Ni matumaini yangu kuwa changamoto hii itapungua kwa kiasi kikubwa pale utaratibu wa tozo ya kitanda siku utakapoanza.</span></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">Ndugu Mwenyekiti na</span></b></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">Ndugu Wakurugenzi,</span></b><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;"><br />
</span></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">Mafanikio ya Bodi ya Utalii Tanzania na mengineyo mengi ambayo sikuyataja yametokana na ushirikiano mzuri baina ya Wakurugenzi wa Bodi zilizopita, Menejimenti ya Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) na wafanyakazi wote kwa jumla. Kwa mantiki hiyo, ndugu Mwenyekiti na Bodi yako, ninyi ndio wadau wakuu na chachu ya mafanikio na maendeleo ya Bodi hii. Hivyo naomba nitumie fursa hii kuwakumbusha baadhi ya wajibu na majukumu mliyonayo kwa chombo hiki:</span></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">(i) Kuidhinisha mikakati na mipango ya muda mfupi na mrefu ya kutangaza utalii na kuona inatekelezwa ipasavyo;</span></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">(ii) Kuidhinisha bajeti za Bodi ya Utalii na kushauri Wizara/Serikali kuhusu mbinu za kuboresha bajeti ya utangazaji utalii;</span></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">(iii) Kuishauri serikali juu ya mipango ya kukuza utalii na kuona jinsi Bodi ya <span style="mso-spacerun: yes;"> </span>Utalii inavyoweza kutoa mchango wake;</span></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">(iv) Kuishauri serikali katika masula yanayohusu sera ya utalii, sheria na kanuni zinazohusu ukuzaji na utangazaji utalii;</span></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">(v) Kuiongoza Menejimenti katika kukuza maslahi bora ya wafanyakazi waBodi ili kuongeza ari ya kufanya kazi kwa ustadi na ufanisi; na</span></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">(vi) Kuwa mlinzi msimamizi (watchdog) katika masuala mbalimbali yanayohusu kukuza utalii na kwa hiyo kukuza pato kutokana na utalii.</span></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">Ndugu Mwenyekiti,</span></b><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;"><br />
</span></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">Pamoja na majukumu hayo niliyoyataja, ningependa kuwapa majukumu mahsusi katika miaka hii mitatu ya utumishi wenu,msimamie maeneo yafuatayo:</span></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; margin-left: .5in; text-align: justify;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">(i) Ningependa kuona kwamba wigo wa utalii unapanuka, zaidi ya utalii wa wanyamapori (wildlife tourism);</span></div><div class="MsoListParagraph"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">(ii) Katika mkakati mpya wa utangazaji utalii, Ni vema suala la 'branding nchi' yetu lisimamiwe na kukamilisha mwaka huu.</span><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt;"><br />
</span></div><div class="MsoListParagraph"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">(iii) Kuwepo mbinu mpya na za kisasa za utangazaji utalii hii ikiwa ni pamoja na ukamilishaji na utekelezaji wa mkakati wa utangazaji na ukuzaji utalii wa miaka 5 ijayo (TOURISM MASTER PLAN 2012-16) ikihusisha matumizi ya njia za kielektroniki kutangaza (e-Marketing);Lengo liwe ni kufikia watalii million 1 mwishoni mwa 2013 na kuhakikisha utalii unaendelea kukua kwa asilimia 8-10 kwa mwaka na hivyo kufikia walau watalii milioni 1.2 ifikapo 2015.</span><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt;"><br />
</span></div><div class="MsoListParagraph"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">(iv) Kuboresha mkakati wa uendelezaji na utangazaji utalii wa ndani (Domestic Tourism Marketing Strategy);</span><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt;"><br />
</span></div><div class="MsoListParagraph"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">(v) Kuiongoza Bodi ya Utalii iwe na vyanzo binafsi vya fedha kupitia vitega uchumi mbalimbali;</span><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt;"><br />
</span></div><div class="MsoListParagraph"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">(vi) Kuikuza Bodi kama kitaasisi ili kuwa na uwakilishi (mawakala) kwenye Nchi ambazo ni vyanzo muhimu vya watalii. Aidha, ni vema Bodi kusaidia kuanzishwa Bodi ndogondogo za Utalii za Kimikoa na kuwa na maofisa wawakilishi (liason officers) kwenye maeneo hayo ya mikoa. Na,</span><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt;"><br />
</span></div><div class="MsoListParagraph"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">(vii) Kusimamia vizuri ‘migration’ ya Bodi ya Utalii kutoka ilivyo sasa kama Bodi ya Utangazaji Utalii kwenda kuwa Mamlaka kwa kushirikiana na Idara ya Utalii.</span><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt;"><br />
</span></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">Ndugu Mwenyekiti,</span></b></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">Majukumu haya mnayokabidhiwa leo ni makubwa. Ni matarajio yangu binafsi na serikali kwamba kwa kutumia uzoefu na maarifa mliyonayo na kwa kushirikiana na Menejimenti ya Bodi ya Utalii, mtaweza kukiongoza vema chombo hiki, na mtakuwa kiungo madhubuti baina ya Wizara, Bodi ya utalii, sekta binafsi na sekta ya umma kwa ujumla.</span></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;"> </span></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">Aidha, naelewa uzoefu, umahiri na weledi mlionao wewe Mwenyekiti na wakurugenzi wengine, ninawafahamu, sijabahatisha kuwateua, hivyo, mkidhamiria hamtaniangusha mimi wala taifa na sina shaka kabisa mtakuwa msaada mkubwa sana kwa Bodi ya Utalii Tanzania. Nyote kwa ujumla mtatumia ujuzi na uzoefu wenu katika kukabiliana na changamoto zinazoikabili Bodi ya Utalii. </span></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;"> </span></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">Ni matarajio yangu makubwa pia kuwa chini ya uongozi wako ndugu Mwenyekiti, Bodi itaendelea kuimarisha mahusiano mazuri yaliyopo baina ya Bodi ya Utalii na wadau wengine katika sekta ya utalii nchini yataendelea kuimarishwa zaidi kwa manufaa ya sekta hii na Taifa kwa ujumla.</span></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">Napenda nikuhakikishie ndugu Mwenyekiti kwamba Wizara yangu itaendelea kutoa ushirikiano kwa Bodi yako ili iweze kutekeleza majukumu haya niliyoyataja hapo juu kikamilifu.</span></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">Ndugu Mwenyekiti,</span></b></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">Naomba sasa nitumie nafasi hii kabla sijahitimisha hotuba yangu kuishukuru Menejimenti na wafanyakazi wote wa Bodi ya Utalii Tanzania kwa ushirikiano walioipa Bodi ya Wakurugenzi iliyopita. Ushirikiano wao uliwezesha kufanikisha kwa kiasi kikubwa malengo ambayo walipewa katika kutekeleza majukumu ya kutangaza utalii. Ni matumaini yangu kwamba Menejimenti na wafanyakazi wote wataendelea kutoa ushirikiano huo kwako wewe Mwenyekiti na Wakurugenzi wa Bodi ili majukumu yaliyo mbele yenu yaendelee kutekelezwa ipasavyo.</span></div><div class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: justify;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">Ndugu Mwenyekiti na Wakurugenzi wa Bodi, baada ya kusema hayo ninayo furaha kutamka rasmi kuwa, Bodi mpya ya Wakurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania sasa imezinduliwa rasmi.</span><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;"><br />
</span></b></div><div align="center" class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: center;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">Mhe Ezekiel Maige (MB)</span></div><div align="center" class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: center;"><b style="mso-bidi-font-weight: normal;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII</span></b></div><div align="center" class="Body1" style="line-height: 150%; text-align: center;"><span style="font-family: "; font-size: 14.0pt; line-height: 150%;">5 Aprili 2012</span></div>Felix Wilbard Mpozemenyahttp://www.blogger.com/profile/07871139124516316683noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-8891786991288583789.post-31397829725050782192012-04-06T15:33:00.004+03:002012-04-06T15:33:54.378+03:00WAJUMBE WA TUME YA KATIBA<div><span><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></span></div><div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0in 0in 10pt; text-align: center;"><span style="font-size: small;"><b><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">TUME YA MABADILIKO YA KATIBA </span></b><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt;"></span></span></div><div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></div><div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0in 0in 10pt; text-align: center;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 10pt;">(<b><i>Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura 83, </i></b></span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt;"></span></div><div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></div><div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0in 0in 10pt; text-align: center;"><b><i><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 10pt;">Toleo la 2012, Vifungu 5, 6 na 7)</span></i></b><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt;"></span></div><div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></div><div align="center" class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0in 0in 10pt; text-align: center;"><span style="font-size: small;"><b><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">______________________________</span></b><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt;"></span></span></div><div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></div><div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><b><u><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">UONGOZI WA JUU</span></u></b><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt;"></span></span></div><div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></div><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><table border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" style="border-collapse: collapse;"><tbody>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman;"> </span></td></tr>
</tbody><tbody>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">1.</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 252.2pt;" valign="top" width="336"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Mhe. Jaji Joseph Sinde WARIOBA </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 2.05in;" valign="top" width="197"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">- Mwenyekiti</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">2.</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 252.2pt;" valign="top" width="336"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Mhe. Jaji Mkuu Mstaafu, Augustino </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">RAMADHANI </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 2.05in;" valign="top" width="197"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt; text-align: justify;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">- Makamu Mwenyekiti</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
</tbody></table><div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></div><div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><b><u><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">WAJUMBE KUTOKA TANZANIA - BARA</span></u></b><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt;"></span></span></div><div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></div><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><table border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" style="border-collapse: collapse;"><tbody>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman;"> </span></td></tr>
</tbody><tbody>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">1.</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 252.2pt;" valign="top" width="336"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Prof. Mwesiga L. BAREGU </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 2.05in;" valign="top" width="197"><br />
</td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">2.</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 252.2pt;" valign="top" width="336"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Nd. Riziki Shahari MNGWALI </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 2.05in;" valign="top" width="197"><br />
</td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">3.</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 252.2pt;" valign="top" width="336"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Dr. Edmund Adrian Sengodo MVUNGI </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 2.05in;" valign="top" width="197"><br />
</td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">4.</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 252.2pt;" valign="top" width="336"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Nd. Richard Shadrack LYIMO </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 2.05in;" valign="top" width="197"><br />
</td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">5.</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 252.2pt;" valign="top" width="336"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Nd. John J. NKOLO </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 2.05in;" valign="top" width="197"><br />
</td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">6.</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 252.2pt;" valign="top" width="336"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Alhaj Said EL- MAAMRY </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 2.05in;" valign="top" width="197"><br />
</td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">7.</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 252.2pt;" valign="top" width="336"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Nd. Jesca Sydney MKUCHU </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 2.05in;" valign="top" width="197"><br />
</td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">8.</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 252.2pt;" valign="top" width="336"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Prof. Palamagamba J. KABUDI </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 2.05in;" valign="top" width="197"><br />
</td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">9.</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 252.2pt;" valign="top" width="336"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Nd. Humphrey POLEPOLE </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 2.05in;" valign="top" width="197"><br />
</td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">10.</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 252.2pt;" valign="top" width="336"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Nd. Yahya MSULWA </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 2.05in;" valign="top" width="197"><br />
</td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">11.</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 252.2pt;" valign="top" width="336"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Nd. Esther P. MKWIZU </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 2.05in;" valign="top" width="197"><br />
</td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">12.</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 252.2pt;" valign="top" width="336"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Nd. Maria Malingumu KASHONDA </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 2.05in;" valign="top" width="197"><br />
</td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">13. </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 252.2pt;" valign="top" width="336"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Mhe. Al-Shaymaa J. KWEGYIR (Mb) </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 2.05in;" valign="top" width="197"><br />
</td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">14.</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 252.2pt;" valign="top" width="336"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Nd. Mwantumu Jasmine MALALE </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 2.05in;" valign="top" width="197"><br />
</td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">15.</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 252.2pt;" valign="top" width="336"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Nd. Joseph BUTIKU </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 2.05in;" valign="top" width="197"><br />
</td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
</tbody></table><div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></div><div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><b><u><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">WAJUMBE KUTOKA TANZANIA- ZANZIBAR</span></u></b><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt;"></span></span></div><div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></div><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><table border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" style="border-collapse: collapse;"><tbody>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman;"> </span></td></tr>
</tbody><tbody>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">1.</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 252.2pt;" valign="top" width="336"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Dkt. Salim Ahmed SALIM </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 2.05in;" valign="top" width="197"><br />
</td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">2.</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 252.2pt;" valign="top" width="336"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Nd. Fatma Said ALI </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 2.05in;" valign="top" width="197"><br />
</td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">3.</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 252.2pt;" valign="top" width="336"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Nd. Omar Sheha MUSSA </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 2.05in;" valign="top" width="197"><br />
</td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">4.</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 252.2pt;" valign="top" width="336"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Mhe. Raya Suleiman HAMAD </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 2.05in;" valign="top" width="197"><br />
</td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">5.</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 252.2pt;" valign="top" width="336"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Nd. Awadh Ali SAID </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 2.05in;" valign="top" width="197"><br />
</td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">6.</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 252.2pt;" valign="top" width="336"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Nd. Ussi Khamis HAJI </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 2.05in;" valign="top" width="197"><br />
</td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">7.</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 252.2pt;" valign="top" width="336"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Nd. Salma MAOULIDI </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 2.05in;" valign="top" width="197"><br />
</td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">8.</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 252.2pt;" valign="top" width="336"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Nd. Nassor Khamis MOHAMMED </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 2.05in;" valign="top" width="197"><br />
</td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">9.</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 252.2pt;" valign="top" width="336"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Nd. Simai Mohamed SAID </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 2.05in;" valign="top" width="197"><br />
</td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">10.</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 252.2pt;" valign="top" width="336"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Nd. Muhammed Yussuf MSHAMBA </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 2.05in;" valign="top" width="197"><br />
</td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">11.</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 252.2pt;" valign="top" width="336"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Nd. Kibibi Mwinyi HASSAN </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 2.05in;" valign="top" width="197"><br />
</td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">12.</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 252.2pt;" valign="top" width="336"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Nd. Suleiman Omar ALI </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 2.05in;" valign="top" width="197"><br />
</td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">13.</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 252.2pt;" valign="top" width="336"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Nd. Salama Kombo AHMED </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 2.05in;" valign="top" width="197"><br />
</td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">14.</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 252.2pt;" valign="top" width="336"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Nd. Abubakar Mohammed ALI </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 2.05in;" valign="top" width="197"><br />
</td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">15.</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 252.2pt;" valign="top" width="336"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Nd. Ally Abdullah Ally SALEH </span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 2.05in;" valign="top" width="197"><br />
</td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
</tbody></table><div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></div><div class="MsoNormal" style="line-height: normal; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><b><u><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">UONGOZI WA SEKRETARIETI</span></u></b><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt;"></span></span></div><div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></div><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><table border="0" cellpadding="0" cellspacing="0" style="border-collapse: collapse;"><tbody>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman;"> </span></td></tr>
</tbody><tbody>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">1.</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 166.1pt;" valign="top" width="221"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Nd. Assaa Ahmad RASHID</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 235.95pt;" valign="top" width="315"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">- Katibu</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td></tr>
<tr><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 26.35pt;" valign="top" width="35"><span style="font-family: Times New Roman;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">2.</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 166.1pt;" valign="top" width="221"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">Nd. Casmir Sumba KYUKI</span><span style="font-family: "Times New Roman","serif"; font-size: 12pt; line-height: 130%;"></span></span></div><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span></td><td style="background-color: transparent; border: rgb(0,0,0); padding: 0in 5.4pt; width: 235.95pt;" valign="top" width="315"><span style="font-family: Times New Roman; font-size: small;"> </span><div class="MsoNormal" style="line-height: 130%; margin: 0in 0in 10pt; text-align: justify;"><span style="font-size: small;"><span style="font-family: "Times New Roman","serif";">- Naibu Katibu</span></span></div></td></tr>
</tbody></table>Felix Wilbard Mpozemenyahttp://www.blogger.com/profile/07871139124516316683noreply@blogger.com0