Blog yenu ya wananchi yenye habari motomoto za kijamii, Blog yenye kuelimisha, kuburudisha na kufurahisha. Wapenzi na wasomaji wetu tunaomba ushirikiano wenu ili kuendeleza Blog yetu, kwa pamoja tunaweza kuleta mabadiliko ya kweli.

Saturday, November 26, 2011

Kikwete Katika Mahafali Ya Uongozi Wa Mahakama Lushoto

 
 JK na wahitimu wa Stashahada (majoho mekundu) na Certificate (Bluu) katika picha za pamoja
JK na Jaji Mkuu na Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo Mh Mohamed Chande Othman

Rais Jakaya Kikwete akihutubia katika mahafali hayo ya 11 ya Chuo cha Uongozi wa Mahakama mjini Luahoto.
Kwa hisani ya Mjengwa Blog

No comments:

Post a Comment

Msomaji wetu hakikisha unaheshimu mila na tamaduni za mwafrika,lugha zenye utata au kumkashifu mtu haitapendeza kuonekana kwenye post.Kumbuka vigezo na masharti ya comments kuzingatiwa.Asanteni sana kwa kuwa nasi kwenye blog yenu.