Blog yenu ya wananchi yenye habari motomoto za kijamii, Blog yenye kuelimisha, kuburudisha na kufurahisha. Wapenzi na wasomaji wetu tunaomba ushirikiano wenu ili kuendeleza Blog yetu, kwa pamoja tunaweza kuleta mabadiliko ya kweli.

Saturday, June 7, 2014

MWENZI WA MAISHA YAKO! TAFUTA KITABU HIKI KIKUONGOZE KUMPATA ANAYEKUFAA, KINAZINDULIWA KESHO MWANZA


Unataka kumjua yupi anayekufaa kwa maisha? Unatangatanga kila siku ukichagua mwenza? Pengine unakosea kwa kutokujua sifa muhimu badala yake unaangalia umbile na sura. Usipate tabu, wacha kutazama muonekano wa nje. Muombe Mungu akuongoze. Kitabu cha MWENZI WA MAISHA ambacho kinazinduliwa kesho jijini Mwanza kina majibu yote na ni msaada mkubwa kwako wewe na mwingine.
Kama unahitaji nakala yako gonga namba hizi: 0767 681078/0784 707551

No comments:

Post a Comment

Msomaji wetu hakikisha unaheshimu mila na tamaduni za mwafrika,lugha zenye utata au kumkashifu mtu haitapendeza kuonekana kwenye post.Kumbuka vigezo na masharti ya comments kuzingatiwa.Asanteni sana kwa kuwa nasi kwenye blog yenu.