Blog yenu ya wananchi yenye habari motomoto za kijamii, Blog yenye kuelimisha, kuburudisha na kufurahisha. Wapenzi na wasomaji wetu tunaomba ushirikiano wenu ili kuendeleza Blog yetu, kwa pamoja tunaweza kuleta mabadiliko ya kweli.

Tuesday, February 21, 2012

ANATAFUTWA


Kijana SALIM ISSA (Pichani) anatafutwa na Baba yake mzazi kwa kosa la wizi.

Baba yake ISSA ALLY MNGUO amesema kijana huyo ametoweka nyumbani tangu siku ya Jumatatu iliyopita.

MNGUO ameomba mtu yeyote mwenye mawasiliano na kijana huyo au atakayemuona popote pale atoe taarifa katika kituo cha polisi kilicho karibu yake au awasiliane na mzazi huyo kwa nambari za simu zifuatazo:-  0754 – 571810 au 0755 – 847787.

SALIM ISSA hupenda kutembelea maeneo ya Kibaha – Soga na Dar es Salaam.
 
Mjengwa

No comments:

Post a Comment

Msomaji wetu hakikisha unaheshimu mila na tamaduni za mwafrika,lugha zenye utata au kumkashifu mtu haitapendeza kuonekana kwenye post.Kumbuka vigezo na masharti ya comments kuzingatiwa.Asanteni sana kwa kuwa nasi kwenye blog yenu.